Binafs sinawahi kuona tofauti zaidi ya utofauti wa miaka ya kusoma.Hizo tofauti ni zipi?nadhani ndio msingi wa swali.
#MaendeleoHayanaChama
Yes ilikuwa ianzishwe na curriculum ilikuwa tayari UDOM ndo walikuwa tayari lakini MAT (Medical Association of Tanzania) walipinga Sana hili kuwa kutatokea ugomvi baina ya MD na BCMS haiwezekani degree mbili zikakaa pamoja .Wakarefer ugomvi uliopo Kati ya AMO na MD kwa siku za nyuma.
Wewe jamaa acha roho mbaya...wewe hizo akili ndio zinakifanya uweke comment ya hovyo..kaa kutulia.Acheni uzembe BCMS ndo Elimu gani hizo.??Someni MD ndiyo maana AMO ilifutwa hamuwezi kusoma MD means hamnaakili ya kuwa madaktari !
Mtu aliyetoka co kupoteza miaka 6 darasani ni wastage of time kabisa.Hoja dhaifu, fear of uncertainty...
nadhani wangeweka hata 3 yrs au 4 ingetoshaMtu aliyetoka co kupoteza miaka 6 darasani ni wastage of time kabisa.
#MaendeleoHayanaChama
Kusoma kote huko laki 9 jamani dahhhhHizi ni ngazi za mishahara za watumishi wa umma (Afya) .TGHS D ~ TSH 900,000/-Basic salary .
We jamaa kama unachat humu huku unasurgerize jiangalie usije ukasahau mswaki tumboni!Mimi ni mhitimu wa kozi hii, nilisomea Chuo kikuu cha Rwanda (UNIVERSITY OF RWANDA) Kwa miaka 4 Na mwaka mmoja wa Internship. Nilihitimu mwaka 2020 .Baada ya kumaliza niliomba kufanya Internship hospitali ya Mnazi mmoja -Zanzibar kupitia wizara ya Afya na MCT nikamaliza mwaka Jana 2021.
Kwasasa ninafanya kazi hospitali ya private iliyoko hapa TANGA, Niko kitengo cha upasuaji tukiwa madaktari wa 3. Kwa level yangu ninafanya procedure zote anazoruhusiwa kufanya AMO na MD
Niliambiwa hapa Tanzania Kuna wahitimu wengine lakini sijajua wako wapi na ninaweza kuwapataje.
NOTE:
1. Sitambuliki kama MD Wala kama AMO bali natambulika kama MEDICAL LANCIENT(ML) au ALLIED HEALTH PRACTIONER.
2. Toufati na AMO Mimi ninaruhusiwa kuanza na prifix "Dr" kama alivyo MD
3. Siruhusiwi kusoma Kwa level ya masters kozi za Masters of medicine (MMED) kama ilivyo kwa MD ,lakini ninaruhusiwa kusoma kozi zote za MSC.
4. MCT waliniambia kuwa pamoja na kuwa Nina utofauti wa AMO lakini kitumishi bado natambulika kama AMO na ngazi ya mshahara ni TGHS D.
5. Usajili nilioupata nisawa na ule wa AMO.
6. Wakati wa kujaza form za wagonjwa wa NHIF ,Nina prescribe kuanzia A mpaka C.
Kama Kuna swali kutoka lolote Kwa anayetaka kufahamu kuhusu kozi hii nakaribisha.
Unaijua TGHS D mkuu?Hizi ni ngazi za mishahara za watumishi wa umma (Afya) .TGHS D ~ TSH 900,000/-Basic salary .
Madhara ya kunywa eagleAcheni uzembe BCMS ndo Elimu gani hizo.??Someni MD ndiyo maana AMO ilifutwa hamuwezi kusoma MD means hamnaakili ya kuwa madaktari !
Bora eagle inapitia mfumo wa utengenezaji..huyo anakunywa mataputapu ambayo hadi ma..vi hua yanawekwa kuongeza ukali.Madhara ya kunywa eagle
Wasomi wa nchi hii akili zao wanazijua wenyewe...hapo ndio maono yao yamefika mwisho?Yes ilikuwa ianzishwe na curriculum ilikuwa tayari UDOM ndo walikuwa tayari lakini MAT (Medical Association of Tanzania) walipinga Sana hili kuwa kutatokea ugomvi baina ya MD na BCMS haiwezekani degree mbili zikakaa pamoja .Wakarefer ugomvi uliopo Kati ya AMO na MD kwa siku za nyuma.
Kuna fursa nyingi sana watanzania wanakosa kwa sababu ya mwasomi wapumbafu na wenye uchu wa mdaraka walio kwenye ngazi za maamuzi...hivi kuna ubaya gani wa hiyo kozi kuanza hapa nchini.Wasomi wa nchi hii akili zao wanazijua wenyewe...hapo ndio maono yao yamefika mwisho?
Mkuu, je rwanda wana course equivalent na md ya kwetu?Mimi ni mhitimu wa kozi hii, nilisomea Chuo kikuu cha Rwanda (UNIVERSITY OF RWANDA) Kwa miaka 4 Na mwaka mmoja wa Internship. Nilihitimu mwaka 2020 .Baada ya kumaliza niliomba kufanya Internship hospitali ya Mnazi mmoja -Zanzibar kupitia wizara ya Afya na MCT nikamaliza mwaka Jana 2021.
Kwasasa ninafanya kazi hospitali ya private iliyoko hapa TANGA, Niko kitengo cha upasuaji tukiwa madaktari wa 3. Kwa level yangu ninafanya procedure zote anazoruhusiwa kufanya AMO na MD
Niliambiwa hapa Tanzania Kuna wahitimu wengine lakini sijajua wako wapi na ninaweza kuwapataje.
NOTE:
1. Sitambuliki kama MD Wala kama AMO bali natambulika kama MEDICAL LANCIENT(ML) au ALLIED HEALTH PRACTIONER.
2. Toufati na AMO Mimi ninaruhusiwa kuanza na prifix "Dr" kama alivyo MD
3. Siruhusiwi kusoma Kwa level ya masters kozi za Masters of medicine (MMED) kama ilivyo kwa MD ,lakini ninaruhusiwa kusoma kozi zote za MSC.
4. MCT waliniambia kuwa pamoja na kuwa Nina utofauti wa AMO lakini kitumishi bado natambulika kama AMO na ngazi ya mshahara ni TGHS D.
5. Usajili nilioupata nisawa na ule wa AMO.
6. Wakati wa kujaza form za wagonjwa wa NHIF ,Nina prescribe kuanzia A mpaka C.
Kama Kuna swali kutoka lolote Kwa anayetaka kufahamu kuhusu kozi hii nakaribisha.
ni ufinyu wa fikra,degree mbili tofauti,kazi moja,shida iko wapi?..watu wanaacha kufikiri kwa maslahi mapana ya uma wanajali interest zao binafsi.Kuna fursa nyingi sana watanzania wanakosa kwa sababu ya mwasomi wapumbafu na wenye uchu wa mdaraka walio kwenye ngazi za maamuzi...hivi kuna ubaya gani wa hiyo kozi kuanza hapa nchini.
#MaendeleoHayanaChama