Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
- Thread starter
-
- #21
Sijawai kuwa na mwanamke wa kisomali!!Moja Kwa Moja kwenye mada vipi nawezaje opoa demu wakutumia na kuacha ukimuacha hawalogi? Vipi vizinga ndo kama akina amids na shelida hapa demu?
🤣🤣🤣mkuu sijui hao ww uliokutana nao labda ni co incedenceNaona kama swali la pili umeliacha.
NB;...wana asili ya mashavu"..(?)Watu wembamba wawe na asili ya mashavu manene(unene related?).
Swali la pili umeliacha tena.🤣🤣🤣mkuu sijui hao ww uliokutana nao labda ni co incedence
Lakin wife beating ipo
Wanajua kula na kipofuSema wasomali hapa dar wanaishi kwa heshima sana.hawataki shida na serikali.
Hata maduka yao mambo ya kona kona hawataki.
Wajanja kama macho yao.Hata South Africa wanaishi hivyo.Wanajua kula na kipofu
ni kama tu wahindi nao wanavofanya ushaona wanazingua.
Wanajua muda wowote ni linaweza tokea jambo
Umejibu vyema sanaSijawai kuwa na mwanamke wa kisomali!!
Lakini wanawake wa kisomali ni kama wanawake wa kimasai vile hawana haki kwa waume zao wanaume ndo kila kitu,,,, kama umemuoa
Sababu kubwa ya mapigano nchini mwao ilikua ni kuanguka kwa serikali ya Saidi Barre dictetor aliyetawala somalia.Swali la pili umeliacha tena.
karibu mkuuUmejibu vyema sana
Sanaaaa!! wanachanga changa mitaji na kushirikishana biasharaWajanja kama macho yao.Hata South Africa wanaishi hivyo.
Ni kweli.Wanajua kula na kipofu
ni kama tu wahindi nao wanavofanya ushaona wanazingua.
Wanajua muda wowote ni linaweza tokea jambo
Wewe utakua baharia kwenye nyumba ya wasomaliLeo nitakua najibu maswali yote yanayohusu somalia na wasomali!!
Uliza chochote…
Mr chromium
Mi naongezea swali ni ukoo gani😂😂😂Rais wa Uto ni msomali wa wapi
Vipi huko mogadishu nasikia kuna mitutu inalia balaamogadishu
Huyu ni wewe kwa picha?Leo nitakua najibu maswali yote yanayohusu somalia na wasomali!!
Uliza chochote…
Mr chromium
Aulizwe haraka alipo.Huyu ni wewe kwa picha?
Kama ni yeye aseme yuko wapi.....Aulizwe haraka alipo.
Ni picha kama ilivo yakoHuyu ni wewe kwa picha?