Niulize chochote kuhusu Taifa la Burundi

Niulize chochote kuhusu Taifa la Burundi

1000019674.jpg
 
Inafahamika kuwa waha wanatoka mkoa wa Kigoma.
1. Ni nini kinawatofautisha waha na warundi au wanyarwanda?
2. Kwa nini mkoa wa Kigoma haukuunda nchi yao kama Rwanda na Burundi licha ya kuwa na eneo lake, lugha na utamaduni?.
3. Kwa nini Burundi wanaendeshea magari yao kulia kwa barabara wakati dereva akiketi na usukani kushoto?
 
Niulize historia, fursa, diplomasia, n. K nitakujibu
Inasemakana Taifa la Burundi ndo nchi masikini zaidi duniani.

Ukitaka uone shida za watu fika Burundi, kule ndo Kuna masikini na shida hasa, watu hawana nguo, viatu, watoto hawasoni, pesa ngumu n. K

Burundi Kuna makabila makuu 3 amba ni Wahutu ambao ndo wengi, Watusi na Watwa

Lugha kubwa Burundi ni Kirundi na Kiswahili huko mjini Bujumbura

Majengo na miundo mbinu Burundi ni duni mno, rami ipo maeneo macheche, magari sio mengi

Sokoni au gulioni watu wanaokula tu, wanalewa pombe za kienyeji, n.k ni umasikini sana

Mji mkuu wa Burundi ni Gitega yaani Kwa Hapa kwetu ni kama Dodoma. Huko ndo kuna ofsi za serikali ila ukiambiwa kuwa hii ndo Dodoma ya Burundi utashangaa yaani ni kama kijijini huko

Bunjumbura ndo mji wenye harakati nyingi, ndo mji wa Biashara Kwa Hapa Tanzania ndo kama Dar es salaam lakini inalingana na Bagamoyo mjini au pale Kibaha.

Hapo starehe zipo, bia kubwa inabeba Lita 1 inaitwa primus, hizo safari lager zenu zinaingia mara 4

Fursa za biashara kule ni mazao, kununua mazao Burundi ni bei nafuu na kuja kuuza huku
Au kupeleka mavazi

Warundi ni watu wema na waoga Kwa Watanzania, ukienda Mtanzania wanakuheshimu mno,
Ila uasi mtaani upo sana, kutekwa mchana sokoni na kuibiwa au kuuwawa ni jambo la kawaida.
Umedanganya. Safari lager ya chupa ni Mls 330 ukizidisha mara 4 ni 1320 na lita moja ni mls 1000. Umeandika uongo kumbe kilaza hujui lolote.
 
Inafahamika kuwa waha wanataka mkoa wa Kigoma.
1. Ni nini kinawatofautisha waha na warundi au wanyarwanda?
2. Kwa nini mkoa wa Kigoma haukuunda nchi yao kama Rwanda na Burundi licha ya kuwa na eneo lake, lugha na utamaduni?.
3. Kwa nini Burundi wanaendeshea magari yao kulia kwa barabara wakati dereva akiketi na usukani kushoto?
1 waliogawa mipaka ni wazungu
Tanganyika koloni la German na Kigoma ikiwa Tanganyika
Rwanda koloni la France
Burundi koloni la German
Kwaiyo hakuna nchi iliyojitengeneza ni wakoloni huko mkutanoni Berlin 1884

Utaratibu wa barabarani kwao ni keep right huku Tanzania ni keep left, kusema la ukweli sijui sababu nini
 
Back
Top Bottom