Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngara Kuna makabila ya washubi na wahangaza tuNgara na Burundi Kuna namna zinapakana??!
Nakama Iko hvoo je makabila ya ngara hasa wahangaza na Burundi wapo, swali kuu watu wa ngara kwann hawana tabia za hovyo kama Hawa jamaa.
Oooh okay,sasa naelewa mana nachojua watu wa ngara ni wastaarab mnoo na wapiganaji sana kwenye maisha.Ngara Kuna makabila ya washubi na wahangaza tu
Warundi wapo Burundi
Umedanganya. Safari lager ya chupa ni Mls 330 ukizidisha mara 4 ni 1320 na lita moja ni mls 1000. Umeandika uongo kumbe kilaza hujui lolote.Niulize historia, fursa, diplomasia, n. K nitakujibu
Inasemakana Taifa la Burundi ndo nchi masikini zaidi duniani.
Ukitaka uone shida za watu fika Burundi, kule ndo Kuna masikini na shida hasa, watu hawana nguo, viatu, watoto hawasoni, pesa ngumu n. K
Burundi Kuna makabila makuu 3 amba ni Wahutu ambao ndo wengi, Watusi na Watwa
Lugha kubwa Burundi ni Kirundi na Kiswahili huko mjini Bujumbura
Majengo na miundo mbinu Burundi ni duni mno, rami ipo maeneo macheche, magari sio mengi
Sokoni au gulioni watu wanaokula tu, wanalewa pombe za kienyeji, n.k ni umasikini sana
Mji mkuu wa Burundi ni Gitega yaani Kwa Hapa kwetu ni kama Dodoma. Huko ndo kuna ofsi za serikali ila ukiambiwa kuwa hii ndo Dodoma ya Burundi utashangaa yaani ni kama kijijini huko
Bunjumbura ndo mji wenye harakati nyingi, ndo mji wa Biashara Kwa Hapa Tanzania ndo kama Dar es salaam lakini inalingana na Bagamoyo mjini au pale Kibaha.
Hapo starehe zipo, bia kubwa inabeba Lita 1 inaitwa primus, hizo safari lager zenu zinaingia mara 4
Fursa za biashara kule ni mazao, kununua mazao Burundi ni bei nafuu na kuja kuuza huku
Au kupeleka mavazi
Warundi ni watu wema na waoga Kwa Watanzania, ukienda Mtanzania wanakuheshimu mno,
Ila uasi mtaani upo sana, kutekwa mchana sokoni na kuibiwa au kuuwawa ni jambo la kawaida.
1 waliogawa mipaka ni wazunguInafahamika kuwa waha wanataka mkoa wa Kigoma.
1. Ni nini kinawatofautisha waha na warundi au wanyarwanda?
2. Kwa nini mkoa wa Kigoma haukuunda nchi yao kama Rwanda na Burundi licha ya kuwa na eneo lake, lugha na utamaduni?.
3. Kwa nini Burundi wanaendeshea magari yao kulia kwa barabara wakati dereva akiketi na usukani kushoto?
Nina akili nyingi dogoUmedanganya. Safari lager ya chupa ni Mls 330 ukizidisha mara 4 ni 1320 na lita moja ni mls 1000. Umeandika uongo kumbe kilaza hujui lolote.
Dogo unaandika tu uharo daily huna la kufanya. Get busy. Hesabu ndogo tu hujui kitu.Nina akili nyingi dogo
Nikikupa japo asilimia 5 ya maarifa yangu, utaacha kuhara hapa jukwaani
Umewahi andika nini tena? Mimi siandiki uzi wowote.Unaufatilia Nondo zangu
Me hata sijawahi kusoma Uzi wako