Niulize chochote kuhusu Taifa la Burundi

Niulize chochote kuhusu Taifa la Burundi

Niulize historia, fursa, diplomasia, n. K nitakujibu
Inasemakana Taifa la Burundi ndo nchi masikini zaidi duniani.

Ukitaka uone shida za watu fika Burundi, kule ndo Kuna masikini na shida hasa, watu hawana nguo, viatu, watoto hawasoni, pesa ngumu n. K

Burundi Kuna makabila makuu 3 amba ni Wahutu ambao ndo wengi, Watusi na Watwa

Lugha kubwa Burundi ni Kirundi na Kiswahili huko mjini Bujumbura

Majengo na miundo mbinu Burundi ni duni mno, rami ipo maeneo macheche, magari sio mengi

Sokoni au gulioni watu wanaokula tu, wanalewa pombe za kienyeji, n.k ni umasikini sana

Mji mkuu wa Burundi ni Gitega yaani Kwa Hapa kwetu ni kama Dodoma. Huko ndo kuna ofsi za serikali ila ukiambiwa kuwa hii ndo Dodoma ya Burundi utashangaa yaani ni kama kijijini huko

Bunjumbura ndo mji wenye harakati nyingi, ndo mji wa Biashara Kwa Hapa Tanzania ndo kama Dar es salaam lakini inalingana na Bagamoyo mjini au pale Kibaha.

Hapo starehe zipo, bia kubwa inabeba Lita 1 inaitwa primus, hizo safari lager zenu zinaingia mara 4

Fursa za biashara kule ni mazao, kununua mazao Burundi ni bei nafuu na kuja kuuza huku
Au kupeleka mavazi

Warundi ni watu wema na waoga Kwa Watanzania, ukienda Mtanzania wanakuheshimu mno,
Ila uasi mtaani upo sana, kutekwa mchana sokoni na kuibiwa au kuuwawa ni jambo la kawaida.

Maswali
1. Rais wa Kwanza wa Burundi anaitwa nani?
2. Marehemu Ndadaye aliuwawa kwa kosa gani?
3. Kuna vyama vikuu viwili vya kisiasa, vitaje
4. Taja sifu kuu Mbili za Mkoa Chibjitoke?
5. Nitajie Redio tatu marufu Nchini Burundi.
6. Nini tukio gani maarufu lilitokea mwaka 1994 nchini Humo?
7.Ardhi ya Burundi ina rutuba sana, True or False?
 
Maswali
1. Rais wa Kwanza wa Burundi anaitwa nani?
2. Marehemu Ndadaye aliuwawa kwa kosa gani?
3. Kuna vyama vikuu viwili vya kisiasa, vitaje
4. Taja sifu kuu Mbili za Mkoa Chibjitoke?
5. Nitajie Redio tatu marufu Nchini Burundi.
6. Nini tukio gani maarufu lilitokea mwaka 1994 nchini Humo?
7.Ardhi ya Burundi ina rutuba sana, True or False?
Utajibiwa na ujuwaji wako
 
Juzi kuna jamaa anasema laki 1 ya Burundi ni amepewa elfu 30 ya Tanzania yaan hela ya Burundi ina nguvu kuliko ya kwetu?
Mbona hesabu rahis yani ka 30 keti ni jilaki la huko sasa unasemaje hela yetu ipo chini
 
Niulize historia, fursa, diplomasia, n. K nitakujibu
Inasemakana Taifa la Burundi ndo nchi masikini zaidi duniani.

Ukitaka uone shida za watu fika Burundi, kule ndo Kuna masikini na shida hasa, watu hawana nguo, viatu, watoto hawasoni, pesa ngumu n. K

Burundi Kuna makabila makuu 3 amba ni Wahutu ambao ndo wengi, Watusi na Watwa

Lugha kubwa Burundi ni Kirundi na Kiswahili huko mjini Bujumbura

Majengo na miundo mbinu Burundi ni duni mno, rami ipo maeneo macheche, magari sio mengi

Sokoni au gulioni watu wanaokula tu, wanalewa pombe za kienyeji, n.k ni umasikini sana

Mji mkuu wa Burundi ni Gitega yaani Kwa Hapa kwetu ni kama Dodoma. Huko ndo kuna ofsi za serikali ila ukiambiwa kuwa hii ndo Dodoma ya Burundi utashangaa yaani ni kama kijijini huko

Bunjumbura ndo mji wenye harakati nyingi, ndo mji wa Biashara Kwa Hapa Tanzania ndo kama Dar es salaam lakini inalingana na Bagamoyo mjini au pale Kibaha.

Hapo starehe zipo, bia kubwa inabeba Lita 1 inaitwa primus, hizo safari lager zenu zinaingia mara 4

Fursa za biashara kule ni mazao, kununua mazao Burundi ni bei nafuu na kuja kuuza huku
Au kupeleka mavazi

Warundi ni watu wema na waoga Kwa Watanzania, ukienda Mtanzaniaw wanakuheshimu mno,
Ila uasi mtaani upo sana, kutekwa mchana sokoni na kuibiwa au kuuwawa ni jambo la kawaida.
Watu wa Burundi Wana heshima na adabu sana ni wanyenyekevu sana wako very humble.....warundi wote naokutana nao Wana hizo sifa....je huwa wanafundishwa hivo tangu shulen au inakuwaje ...tofaut na wakenya na warwanda Hawa watu ni wababe sana wakorofi ngumi mkononi
 
Watu wa Burundi baadhi ni wema Sana nikijaaliwa uhai nitaenda kuona ndg zangu japo waasi waliniulia ndg yangu
 
Niulize historia, fursa, diplomasia, n. K nitakujibu
Inasemakana Taifa la Burundi ndo nchi masikini zaidi duniani.

Ukitaka uone shida za watu fika Burundi, kule ndo Kuna masikini na shida hasa, watu hawana nguo, viatu, watoto hawasoni, pesa ngumu n. K

Burundi Kuna makabila makuu 3 amba ni Wahutu ambao ndo wengi, Watusi na Watwa

Lugha kubwa Burundi ni Kirundi na Kiswahili huko mjini Bujumbura

Majengo na miundo mbinu Burundi ni duni mno, rami ipo maeneo macheche, magari sio mengi

Sokoni au gulioni watu wanaokula tu, wanalewa pombe za kienyeji, n.k ni umasikini sana

Mji mkuu wa Burundi ni Gitega yaani Kwa Hapa kwetu ni kama Dodoma. Huko ndo kuna ofsi za serikali ila ukiambiwa kuwa hii ndo Dodoma ya Burundi utashangaa yaani ni kama kijijini huko

Bunjumbura ndo mji wenye harakati nyingi, ndo mji wa Biashara Kwa Hapa Tanzania ndo kama Dar es salaam lakini inalingana na Bagamoyo mjini au pale Kibaha.

Hapo starehe zipo, bia kubwa inabeba Lita 1 inaitwa primus, hizo safari lager zenu zinaingia mara 4

Fursa za biashara kule ni mazao, kununua mazao Burundi ni bei nafuu na kuja kuuza huku
Au kupeleka mavazi

Warundi ni watu wema na waoga Kwa Watanzania, ukienda Mtanzania wanakuheshimu mno,
Ila uasi mtaani upo sana, kutekwa mchana sokoni na kuibiwa au kuuwawa ni jambo la kawaida.
Chai maandazi
Cc : Tumbili wa mjini
 
Niulize historia, fursa, diplomasia, n. K nitakujibu
Inasemakana Taifa la Burundi ndo nchi masikini zaidi duniani.

Ukitaka uone shida za watu fika Burundi, kule ndo Kuna masikini na shida hasa, watu hawana nguo, viatu, watoto hawasoni, pesa ngumu n. K

Burundi Kuna makabila makuu 3 amba ni Wahutu ambao ndo wengi, Watusi na Watwa

Lugha kubwa Burundi ni Kirundi na Kiswahili huko mjini Bujumbura

Majengo na miundo mbinu Burundi ni duni mno, rami ipo maeneo macheche, magari sio mengi

Sokoni au gulioni watu wanaokula tu, wanalewa pombe za kienyeji, n.k ni umasikini sana

Mji mkuu wa Burundi ni Gitega yaani Kwa Hapa kwetu ni kama Dodoma. Huko ndo kuna ofsi za serikali ila ukiambiwa kuwa hii ndo Dodoma ya Burundi utashangaa yaani ni kama kijijini huko

Bunjumbura ndo mji wenye harakati nyingi, ndo mji wa Biashara Kwa Hapa Tanzania ndo kama Dar es salaam lakini inalingana na Bagamoyo mjini au pale Kibaha.

Hapo starehe zipo, bia kubwa inabeba Lita 1 inaitwa primus, hizo safari lager zenu zinaingia mara 4

Fursa za biashara kule ni mazao, kununua mazao Burundi ni bei nafuu na kuja kuuza huku
Au kupeleka mavazi

Warundi ni watu wema na waoga Kwa Watanzania, ukienda Mtanzania wanakuheshimu mno,
Ila uasi mtaani upo sana, kutekwa mchana sokoni na kuibiwa au kuuwawa ni jambo la kawaida.
Ina marais wangapi mpak Sasa
 
Binadamu wa kwanza kuishi burundi aliitwa nani, aliishi miaka gani na ni nani aliita nchi hiyo Burundi, akiwa na maana gan?
 
Maswali
1. Rais wa Kwanza wa Burundi anaitwa nani?
2. Marehemu Ndadaye aliuwawa kwa kosa gani?
3. Kuna vyama vikuu viwili vya kisiasa, vitaje
4. Taja sifu kuu Mbili za Mkoa Chibjitoke?
5. Nitajie Redio tatu marufu Nchini Burundi.
6. Nini tukio gani maarufu lilitokea mwaka 1994 nchini Humo?
7.Ardhi ya Burundi ina rutuba sana, True or False?
Sasa si ana google tu, au unamuona kama agoogle 😄
 
Back
Top Bottom