Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,773
- 3,471
- Thread starter
-
- #161
Mwambie kama ataka asikie raha wakitongoa ajeee.Kwahiyo hupendi wanavyotongoa Mama sabrina?
Watongoa vyema ukipenjewa lakini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitamtambulishia maneno pya kama hatambuu taa moja.
Mie sebu vyangu pumbazwaNitamtambulishia maneno pya kama hatambuu taa moja.
Au utamfundisha weye.
Sent using Jamii Forums mobile app
We watoka Maziwa ng'ombe?Nitamtambulishia maneno pya kama hatambuu taa moja.
Au utamfundisha weye.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nimeku pmKwahiyo hupendi wanavyotongoa Mama sabrina?
Watongoa vyema ukipenjewa lakini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyekwambia naye kaambiwaNaongelea wapemba mkuu kama mada inavyojieleza sio wake zetu. Na habari zinajulikana kua wapemba wanapenda kula jicho. Mimi binafsi nilikutana na mmoja nikipiga kwenye papuchi anailengesha makusudi kwenye jicho
Mtu Mzito HEAVY WEIGHT
Kwahiyo unakubaliana na kauli za raia wanaodai wapemba wengi ni washirikina?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wapo waliotaka kuwaoa wake wa kisahaba kwa sharti la kusilimu na walisilimu wakaoa vizuri tuu.Nina maana ya kwamba ukislim kwasababu ya mwanamke hapana.. Ila ukisilim kwa kujua ukweli hapo sawa. Kwamaana hiyo sasa.. Ukiwa dini ndo kabisaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye kumpa mdogo wako ndo pazuri...vipi unaye mwingine unipe na mimi?Hata mimi nilimuona mkuu na pia nilimjibu. Ila kama anataka undani zaidi kwakweli aje hapa panamfaa nitampa hata mdogo wangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Utaratibu huu sio tu wapemba hata wahindi na waarabu wanao.... wenzetu wana umoja sana, wanaishi pamoja lakini wanachangishana unakuta wanachanga ili kumnunulia au kumjengea mmoja wao nyumba wakimaliza na huyu anafata mwingine hivyo hivyo kuja kutahamaki wote wana nyumba wanahamia makwao, au unakuta wao wanachanga kwa ajili ya kununua gari wanahakikisha kila mtu atapata gari....Huku dar
Nyumba ina mama,watoto wa kiume na kike watoto wa kiume wameoa wapo hapo hapo na ndugu wengine kibao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Misuko suko ipi uliyopitia na kwa mini umeihusisha na ushirikina?Zamani zao lililoshamiri sana ilikua...
Uwele, mpunga, mbaazi, kunde na mtama kwa wingi sasa hivi ni hafifu sana.. Wanalima mihogo lakini sio zao kuu..
Kwa ufupi Pemba tunaumizana wenyewe kwa wenyewe (husda).. Ukianza kuneemeka kidogo inakubidi uwe mshirikina tofauti na hapo utaishia kufa huku unajiona.
Mi binafsi naenda likizo nakaa siku tatu mpaka nne nageuza maana hawachelewi kunilaza kitandani kweupeee.
Mpemba ambae hajafanya shiriki ni yule anaeishi nje ya Pemba. Mi binafsi nina mganga wangu maalum maana misuko suko ninayoipata naijua mwenyewe.. Na kila nikienda likizo lazima nikamsalimie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Enzi hizo walikua wakisilim walikua wanamaanisha,.. Sasa hivi wakifanikiwa watakalo siku wakichana kila mtu anarudi alikotoka.Mkuu wapo waliotaka kuwaoa wake wa kisahaba kwa sharti la kusilimu na walisilimu wakaoa vizuri tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninao wengi sana watoto wa baba mkubwa, wa baba mdogo wengine wako huko huko Bongo ila hawafati mila za kibongo wamelelewa kipemba.Hapo kwenye jumpa mdogo wako ndo pazuri...vipi unaye mwingine unipe na mimi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Shirazi si kabila ya wa' asili ya Iran? Pemba ina mchanganyiko wengi wa watu.