Niulize swali lolote kuhusiana na wapemba na Pemba yenyewe..

Huku dar
Nyumba ina mama,watoto wa kiume na kike watoto wa kiume wameoa wapo hapo hapo na ndugu wengine kibao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Utaratibu huu sio tu wapemba hata wahindi na waarabu wanao.... wenzetu wana umoja sana, wanaishi pamoja lakini wanachangishana unakuta wanachanga ili kumnunulia au kumjengea mmoja wao nyumba wakimaliza na huyu anafata mwingine hivyo hivyo kuja kutahamaki wote wana nyumba wanahamia makwao, au unakuta wao wanachanga kwa ajili ya kununua gari wanahakikisha kila mtu atapata gari....

Pesa wanapata wapi? wanavyoishi pamoja ile pesa badala ya kulipa kodi wao wanachangishana kwa ajili ya kufanya hayo maendeleo.

Pia wanafundishwa upendo, umoja na mshikamano ndio maana hawatupani, popote duniani wakikutana basi wao ni ndugu na watashirikiana na hawadhulumiani.

Sent from Jamii Forums using siemens kidole juu.
 
Misuko suko ipi uliyopitia na kwa mini umeihusisha na ushirikina?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…