Niulize swali lolote kuhusu Geology na field zote zinazohusuhiana na Jiolojia

Inawezekana ila kama itakuwepo ni very deep sana af in very low concentration. Kwahiyo hata kuichimba itakuwa ni hasara.

Af gold deposits inapatikana kwa wingi katika ukanda wa Mozambique belt. Na dodoma ipo nje ya ukanda huu.
Nadhani gold hupatikana kwa kwenye Archean greenstone belt maeneo ya Geita, Shinyanga, Mara na maeneo ya karibu yanayojulikana kama Lake Victoria Goldfield.

Maeneo mengine ni ukanda wa Ubendian, maeneo ya Chunya na Mpanda.

Kidogo sana maeneo ya Mozambique belt kama Handeni na Morogoro.
 
Kuna mgodi gani ambao upo kwenye mozambique belt?
Kuna kampuni inafanya exploration maeneo ya Handeni inaitwa Canaco, sio mgodi thou still wapo kwenye exploration.

Migodi mingi ya gold ipo kunako Archean greenstone belt, ndipo kuna deposit kubwa ya gold so far kwa Tz.
 
Swali langu ni je unaweza ukaniambia kuhusu kama ninataka kuianza hii biashara ya mawe, niwe na nunua na kuuza je ni taratibu zipi nianze za kihalali au kisheria,
Kuna watu wazoefu wapo humu.
Wataweza kutusaidia
Hilo swali
 
Kuna swali meuliza lakini sijibiwi, au unalikwepa? Formation ya Gneiss ni ipi?
Gneiss huwa formed wakati rocks zinapokuwa subjected to high pressure na temperature huku ikiambatana na directed stress field perpendicular to the rock inayo under go metamorphism.

Gneiss huwa na mineral bands zinazoji align ( kutokana na directed stress) ambayo kijiolojia huitwa 'foliation'.

Poa gneiss huwa na mineral grains kubwa enough kuwa visible with naked eyes, hii husababishwa na intensity ya metamophism kuwa kubwa ( relatively high temperature and pressure)
 
Not all minerals are formed by magmatic process
 
Safi sana mkuu.

Ila kiswahili kigumu sana

Kama hiyo magma ni uji unaochemka
 
Hapo nataka nikurekebishe kidogo basement ya Crust na upper mantle ni Metamorphic ambayo ndo mama Wa miamba. Magmatism ambayo huzaa intrusive au extrusive rocks inakuwa mainly originated from uppermantle ambayo ni iko metamorphosed
 
Haha, kweli gemstones sio kabisa ... ike biashara kukizana kwingi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…