Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Part 4 iko wapi mkuuTayari mkuu
Pia usisahau kuendeleaUSISAHAU KU ¶ ku'like ¶
Usisahau kunitag."Jamaa akanisikilizaaaaa,
Kisha akaniambia...basi tuzunguke zunguke ili tuwapate jamii yako!!
Nikamjibu saws.....
Moyoni mwangu nikasema...
Mimi na wewe leo......pumbavvv". Hiki kipande kimenifurahisha sana... .ila hisia zangu zinanifanya niamini kuwa kama kuna kitu unakificha khs wewe, mana nikiangalia mtiririko wa simulizi yako, namna unavyohadithia kwa kuchanganya na sense of humour na ufasaha wa kupangilia matukio then nikija angalia makosa ya sarufi unayoyafanya, naona kama unayafanya makusudi ili kuficha uhusika wako halisi.......yani kwa kifupi namuona genious au writer ambae ni pro anaefanya makosa ya kiuandishi makusudi.
CjaionaBaadhi walithubutu kufanya hivyo
ila tulishindwana bei
Bado upo SA?Nitafanya hivyo
sawa chiefTayari na sasa Part 4 iko ubaoni
USISAHAU ¶ ku'like ¶