Niulizeni swali lolote lile kuhusu mimi, leo nipo tayari hata kufichua identification

Anataka kamsererko
 

Vipi hao dada zako wameshaolewa?
 
We unavituko mara ulisema ulimaliza mawenzi primary school moshi mwaka 1997, mara umezaliwa mwaka 1997 ukiwa muongo huwezi kuwa na kumbukumbu
Wsnasema ukitaka kusema uongo, kumbuka neno la kwanza
 
Kama kuna changamoto katika maisha na tunazikabili basi jua hata JF ni sehemu ya dunia lete tena tumfurahie Kidagaa "imeisha hiyo![emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…