Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #261
Sikupimwa na hilo Sakata silijui zaidi ya tundu lissu ndoaliambiwa apimweKwenye lile sakata la kupimwa mkojo ili kubaini wanaotumia dawa je nawe ulipimwa mkojo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikupimwa na hilo Sakata silijui zaidi ya tundu lissu ndoaliambiwa apimweKwenye lile sakata la kupimwa mkojo ili kubaini wanaotumia dawa je nawe ulipimwa mkojo?
Nafika pale barabarani nasimama natembea na gambuti kwenda kwao😅😅😅😅Mpwayungu ni distance kidogo na hizi mvua hizi km una gari ndogo ikirudu gereji....barabara mbovu kuanzia mpunguzi Mpk huko kwao kote hakuna lami kabisaa
Shida ya mpwayungu village ni uongo,na kibaya zaidi Kuna watu Kwa kuwa wanafanana misimamo na mleta mada wanamteteaAna stress huyu wa kumpuuza Bure TU
Kwanza anedanganya kasoma Degree mbili na ana 26yrs Kwa nature ya elimu ya bongo na maishaa ya kwao wagogo mtoto anaanza shule na miaka 8 Hadi 10,nilikua naenda minadani huko kote alikokutaja unakutana na vitoto Ile school age wao wanauza chakula ,mbuzi n.k
Mtoto wa miaka Tisa std one
Mpk mpk amalize advance miaka 20 hukooo hapo haya hizo degree mbili kamaliza lini jamani
May be kama Ndo anamaliza this year
Hakikisha unafika mkuuNafika pale barabarani nasimama natembea na gambuti kwenda kwao😅😅😅😅
AaaahaaaWe ni mtu mjinga kuliko wote humu jf
Si rahisi maana network shida I know maeneo yote aliyotaja vzr tuUkifika upatrace mpaka kwao Ili tukate mzizi wa fitina
Ko shule ya msingi umesoma karume au dk omari, halafu hili ongo kweli makurumla inaanzishwa 2007 nipo naona nanimeshiriki kuweka tofali wewe unakuja kubwata apa eti 1997 [emoji28][emoji28][emoji28]1997 nipo la pili miye pale Makurumla mwembechai kabla haijabadilishwa kuwa Mwalimu Nyerere Primary School mwaka 1999 baada ya kifo Cha Baba wa Taifa
Ndiyo hao hao type yakePumbavu sana ana USHAWISHI gani hapa au ndio kama Hance Mtanashati au cocastic 🏳️🌈
,[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]shida hatujui Jina lake halisiTumtafute mwalimu wake wa darasa kwani hakuna mwana jf aliyetokea huko tuwasiliane na serikali za mitaa ili tuokoe wimbi hili la vijana?
Na sisi tunakadekeza shenzi kabisa😠😠😠Shida ya mpwayungu village ni uongo,na kibaya zaidi Kuna watu Kwa kuwa wanafanana misimamo na mleta mada wanamtetea
Badala ya kumkanya wanamsifia hivyo wanampa kichwa kwenye hamna
Na hii inanipa picha kuwa mleta mada amedekezwa kwao,amelelewa kike kike kwa kupetipetiwa
Ndiyo hata humu anapenda maisha ya show off kama mtoto wa kike,kudeka deka na kupenda Misha rahisi yasiyo na hustle
Na weww sijui nikuchane?Ana stress huyu wa kumpuuza Bure TU
Kwanza anedanganya kasoma Degree mbili na ana 26yrs Kwa nature ya elimu ya bongo na maishaa ya kwao wagogo mtoto anaanza shule na miaka 8 Hadi 10,nilikua naenda minadani huko kote alikokutaja unakutana na vitoto Ile school age wao wanauza chakula ,mbuzi n.k
Mtoto wa miaka Tisa std one
Mpk mpk amalize advance miaka 20 hukooo hapo haya hizo degree mbili kamaliza lini jamani
May be kama Ndo anamaliza this year
Basi Kwa kuwa tupo likizo,nikiwa naenda dar nitapita huko nipaoneSi rahisi maana network shida I know maeneo yote aliyotaja vzr tu
Walau ng'ambakhu kidogo tigo IPO active ila mpwayungu network inasumbua mnooo
Ningeweza ningetrace ila mbaaaali kutokea mpunguzi jamani
Inshort vijiji vya Dodoma ni hovyoooooo mnoooo
AaaahaaaaaNa weww sijui nikuchane?
Hicho kichwa unakiona kimebeba hata diploma kichwani?
Hata uitaje digrii?
YaanI leo nikifika BIHAWANA naulizia kijana alifika sekondari ntampata tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😀😅😅😅😅😂😂😂😂Hakikisha unafika mkuu
Mkuu kwani umri unatatizo gani kiasi iwe hoja yako kuu?nilitaka kukuuliza swali fulani juu ya fikra zako, lakin kwa mwaka uliozaliwa, nimeshapata majibu.
Hujui kitu bora ukae kimya, mbuzi mwekundu weMpwayungu ni distance kidogo na hizi mvua hizi km una gari ndogo ikirudu gereji....barabara mbovu kuanzia mpunguzi Mpk huko kwao kote hakuna lami kabisaa
Ni dada mmoja mwenye threads nyingi JF, somehow zinafanana na za Braza MpwayunguN
Nipe abc za huyo@Unique Flower
We pitia nyuzi zake utaoanaNa sisi tunakadekeza shenzi kabisa😠😠😠
We Sio kweli Makurumla haijaanzishwa 2007Ko shule ya msingi umesoma karume au dk omari, halafu hili ongo kweli makurumla inaanzishwa 2007 nipo naona nanimeshiriki kuweka tofali wewe unakuja kubwata apa eti 1997 [emoji28][emoji28][emoji28]