Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Jitahidi kuwa unasukutua mara 2 kwa siku kuondoa mabaki ya mboga za majani kwenye meno yako itasaidia hata kuwa na mvuto wa kimapenzi.Baada ya kutoka level hii uwe kichaa kabisa
Joel lwaga muimbaji wa injili unamjua? alizalisha mwanamke akamuacha alioa kwa bonge la harusi na bonge la photoshoot baada ya honeymoon mkewe pa kaugua kichaa chizi kabisa mpaka saiz yule dada yupo kwaoJitahidi kuwa unasukutua mara 2 kwa siku kuondoa mabaki ya mboga za majani kwenye meno yako itasaidia hata kuwa na mvuto wa kimapenzi.
Kuhudumia meno yako tu shida bado mnalialia mkizalishwa na kukimbiwa.
Na mimi nikupe mfano kwa waliooa na kuendeleza familia zao baada ya kuachana na single mama?Joel lwaga muimbaji wa injili unamjua? alizalisha mwanamke akamuacha alioa kwa bonge la harusi na bonge la photoshoot baada ya honeymoon mkewe pa kaugua kichaa chizi kabisa mpaka saiz yule dada yupo kwao
Mungu yupo na anajibu
Embu Lete tuone yaani azalishe mwanamke kwao wasimjue, mtoto haaudumii na kafanikiwa?? Ndo Yale Yale tunasubiri miaka ya mbele uyu mbona alikaa miaka Saba ndo yakamkuta.Na mimi nikupe mfano kwa waliooa na kuendeleza familia zao baada ya kuachana na single mama?
WAKATI ANATIWA MIMBA LIKUWA WAPI?Kumtia mimba mtoto wa mtu na kumuacha ni uchawi pia
Alivoona kafiwa si karudi kuomba mtoto ndo tukayajua yote ayo Kwan Dunia ina Siri basikwahiyo kwa muda wote huo mlikuwa mnafuatilia maisha ya huyo mwamba
Alitaka kufa kwasababu ya kumkosa Mwamba? au aliugua?.Dada angu aliolewa ye aliomba mtoto wake
Na kusema ukweli mim nilivoskia ivo bila unafki nilifurahi maana nakumbuka miaka Ile dada angu alitaka kufa
[emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23]ananuka mdomo!Jitahidi kuwa unasukutua mara 2 kwa siku kuondoa mabaki ya mboga za majani kwenye meno yako itasaidia hata kuwa na mvuto wa kimapenzi.
Kuhudumia meno yako tu shida bado mnalialia mkizalishwa na kukimbiwa.
HahaaKwa jinsi ulivyoandika ni kama mlifurahia matatizo yaliyomkuta huyo jamaa. Familia yenu ina roho mbaya na ndiyo maana jamaa alioa na kudumu ndoani miaka 7 na akakuta bado huyo ndugu yako single.
Ulitaka waendelee kuzaa na mwanaume ambae Hana time nae???We watie moyo tu ila kuna wanawake hawajui kutulia ,kiufupi hawapendeki wala kuoleka , wakiingizwa kwenye kundi hilo wanaanza taka huruma ....ni mwendo wa kuvuna walichokipanda . ten unakuta kila mtoto na babake. Alaf stutus zao utaskia najivunia kua fyokofyoko.
MLANGO: ukiwa wazi hatufungui tunauusukuma.
kuna mda mda jokajeusi huwa anamaan fulani. Hizo za kungoja dua la kuku lifike upotevu wa muda.
The same way baba angu alinusulika kufa alilala hospital week he had no part in thisHaukutakiwa kufurahia kilichowakuta hao watoto,sababu tu dada yako aliachwa kwa dharau,those kids have no part in whatever happened before hawajazaliwa.
The level of hate uloonesha inaogopesha dada angu.
Anyway Mungu atusamehe tu.
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app