Niwatie moyo "single mothers"

Niwatie moyo "single mothers"

Baada ya kutoka level hii uwe kichaa kabisa
Jitahidi kuwa unasukutua mara 2 kwa siku kuondoa mabaki ya mboga za majani kwenye meno yako itasaidia hata kuwa na mvuto wa kimapenzi.

Kuhudumia meno yako tu shida bado mnalialia mkizalishwa na kukimbiwa.
 
Wanaume huwa wanawaumiza sana Wanawake pale wanapo wapa Mimba na kukimbia siyo vizuri kabisa, Wanaume haohao wanapopitia kwenye changamoto kama hizi hakuna haja ya kushangilia ni kuwaombea na kuwasamehe maana hukumu ni juu ya Mungu peke yake.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Jitahidi kuwa unasukutua mara 2 kwa siku kuondoa mabaki ya mboga za majani kwenye meno yako itasaidia hata kuwa na mvuto wa kimapenzi.

Kuhudumia meno yako tu shida bado mnalialia mkizalishwa na kukimbiwa.
Joel lwaga muimbaji wa injili unamjua? alizalisha mwanamke akamuacha alioa kwa bonge la harusi na bonge la photoshoot baada ya honeymoon mkewe pa kaugua kichaa chizi kabisa mpaka saiz yule dada yupo kwao
Mungu yupo na anajibu
 
Joel lwaga muimbaji wa injili unamjua? alizalisha mwanamke akamuacha alioa kwa bonge la harusi na bonge la photoshoot baada ya honeymoon mkewe pa kaugua kichaa chizi kabisa mpaka saiz yule dada yupo kwao
Mungu yupo na anajibu
Na mimi nikupe mfano kwa waliooa na kuendeleza familia zao baada ya kuachana na single mama?
 
Na mimi nikupe mfano kwa waliooa na kuendeleza familia zao baada ya kuachana na single mama?
Embu Lete tuone yaani azalishe mwanamke kwao wasimjue, mtoto haaudumii na kafanikiwa?? Ndo Yale Yale tunasubiri miaka ya mbele uyu mbona alikaa miaka Saba ndo yakamkuta.
 
Kwahiyo kwa muda wote huo mlikuwa mnafuatilia maisha ya huyo mwamba
 
We watie moyo tu ila kuna wanawake hawajui kutulia ,kiufupi hawapendeki wala kuoleka , wakiingizwa kwenye kundi hilo wanaanza taka huruma ....ni mwendo wa kuvuna walichokipanda . ten unakuta kila mtoto na babake. Alaf stutus zao utaskia najivunia kua fyokofyoko.
MLANGO: ukiwa wazi hatufungui tunauusukuma.

kuna mda mda jokajeusi huwa anamaan fulani. Hizo za kungoja dua la kuku lifike upotevu wa muda.
 
Jitahidi kuwa unasukutua mara 2 kwa siku kuondoa mabaki ya mboga za majani kwenye meno yako itasaidia hata kuwa na mvuto wa kimapenzi.

Kuhudumia meno yako tu shida bado mnalialia mkizalishwa na kukimbiwa.
[emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23]ananuka mdomo!

Sent from my GT-I9500 using JamiiForums mobile app
 
Kwa jinsi ulivyoandika ni kama mlifurahia matatizo yaliyomkuta huyo jamaa. Familia yenu ina roho mbaya na ndiyo maana jamaa alioa na kudumu ndoani miaka 7 na akakuta bado huyo ndugu yako single.
Hahaa
 
We watie moyo tu ila kuna wanawake hawajui kutulia ,kiufupi hawapendeki wala kuoleka , wakiingizwa kwenye kundi hilo wanaanza taka huruma ....ni mwendo wa kuvuna walichokipanda . ten unakuta kila mtoto na babake. Alaf stutus zao utaskia najivunia kua fyokofyoko.
MLANGO: ukiwa wazi hatufungui tunauusukuma.

kuna mda mda jokajeusi huwa anamaan fulani. Hizo za kungoja dua la kuku lifike upotevu wa muda.
Ulitaka waendelee kuzaa na mwanaume ambae Hana time nae???
Kama unavoamini hawapendeki wala kuoleka na wanastahili kuachwa,,na wao wanaamini kuna siku Mungu atamlipia yote, na hua anajibu aisee.
Kisa hamuwapendi mnawatwisha mizigo na sababu kibao wadada wa watu wanakosa kujiamini.

Nasema ivi wanaume wote mliowadhalolisha wanawake adhabu yenu inakuja.

Pen poul ndoa haikumaliza mwezi, Joel lwaga mkewe kichaa, baba ommy dimpoz dereva bajaji, baba ake Jeff bezos tajiri wa Dunia alikufa kwenye kiapartment kidogo nacho baada ya kukaa muda mrefu ndo wakamjua kafa,alitaman aongee na mwanae lakini hakua level zake tena,
Mifano iko kibao tunaiona...mwingine Jirani tu apa ata si mbali harusi ilikua ghari, alimuacha single mom wake kaoa bonge la mlevi dada mlevi adi kero Jana tu tumeskia kelele kapika samaki Nazi na machicha ake. Sasa ao ndo mliochagua wanaooleka nasema ivi Dua la kuku halimkuti mwewe,,, lakini kuku akimlilia Mungu Alie juu kuliko mwewe Mungu anaweza rusha jiwe likambonda uyo mwewe akaanguka vibaya toka uko juu.
 
Haukutakiwa kufurahia kilichowakuta hao watoto,sababu tu dada yako aliachwa kwa dharau,those kids have no part in whatever happened before hawajazaliwa.

The level of hate uloonesha inaogopesha dada angu.

Anyway Mungu atusamehe tu.



Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
Haukutakiwa kufurahia kilichowakuta hao watoto,sababu tu dada yako aliachwa kwa dharau,those kids have no part in whatever happened before hawajazaliwa.

The level of hate uloonesha inaogopesha dada angu.

Anyway Mungu atusamehe tu.



Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
The same way baba angu alinusulika kufa alilala hospital week he had no part in this
We even asked a guy aje tu wamjue, mzee wangu atulie akitaka. ata gharama za kujitambulisha tutalipa wala sio kumuoa dada, wamjue tu kama baba mtoto but alijibu shit na kwenda kuoa
Mungu sio shemeji ake if the level of my hate was measured it would be as big as Indian ocean waves
May life continue to F him so hard
 
Nawaonea huruma mabinti na hao masingo maza wanaoufuata ushauri wa hawa madada.

You can not be a victim of your own choices. Wanawake wana njia ngapi za kuzuia mimba? Fuata siku zako kwenye kalenda, hakikisha mwenzako amevaa kondomu, morning after pill, abortion na nzuri kuliko zote ni kuhakikisha unavishwa pete kabla ya kubebeshwa mimba. Lakini utashangaa mtu anang'ang'ana kumzalia mtu ambaye ameshamwambia haitaji mtoto kutoka kwake and later on playing victim.

Women it's time to own to your mistakes and start being responsible for your actions.
 
Back
Top Bottom