Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Kwani huyo mkewe alijifungua watoto wawili na wakafariki hakupata changamoto wakati anajifungua?Mbona umepaniki mkuu kitendo cha huyo mwamba unayemsifia kutelekeza damu yake isiyokuwa na hatia unaona ni sawa unafahamu changamoto alizopitia huyo Mwanamke mpaka akajifungua salama bila saport ya baba kuna wengine adui huwa wanamuombea njaa
Adui wa mwanamke ni mwanamke