Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Duu aiseeKuna miji nilikuwa nafanyia kazi masuala ya upimaji wa viwanja. Nikakuta mpaka 300sqm. Kuwahoji inakuwaje wakanijibu simple tu, mwongozo wa wizara unaruhusu. Nikawa mpole. Hakika niliona sisi wabongo ni vituko, hatujifunzi kabisa
Kwenye ujenzi hatukadirii kwa macho.Quality
Unajua kwamba kikwete yumo humu JF?Ukifanikisha utakuwa mwanajF mwenye nyumba kali kuliko wote
Mkuu[emoji23][emoji23]
Mkuu Tz ardhi kubwa namna hiyo ila unakuta serikali inakata viwanja vidogo na kufanya watu waishi kama nchi zenye ardhi ndogo sana
Ni ujinga kweli kugawa visehemu kama nyumba za kuchezea watoto
Kweli mtu unajenga nyumba jambo la kwanza kufikiria ni kuwa na fremu za maduka
Hilo nakuunga mkono
Ningependa kuona serikali inagawa ardhi kubwa kama nyumba za USA mpaka raha
Nafikiri Kenya na Afrika kusini wametupiga gap kubwa sanaMkuu
Upo sahihi kabisa
Kenya tu hapo nenda Muthaiga,Karen,etc viwanja ni 5 acres mzee na wana ardhi ndogo kama nchi
Bongo pia tabia zetu kama individuals ni za kipumbavu sana yaani,unakuta mtu humo humo eti anafuga ng'ombe,amejenga upumbavu wa wapangaji chungu nzima na hapo nje kaweka mafremu chungu nzima..na yeye familia yake inakaa hapo hapo...
Yaani kiwanja kilichopimwa still humo humo ndani ya kiwanja owner anageuza squater humo humo ndani kwa kufanya upumbavu wote huu
Zote hizi ni NJAA na mindset za kimasikini kabisa
Hua nashangaa hivi mtu kwenye nyumba yako ya kuishi na familia na mahali pa kulea watoto wako unajenga maduka na baa hapo hapo sijui hizo akili mbovu hivyo zinatoka wapi?I really do not understand this stupidity
Kama ni baa,nunua eneo maalumu,kama ni maduka nunua eneo maalumu,kama ni wapangaji nunua eneo maalumu ufanye yote hayo..
Sio mahali unalelea wanao ndio unafanya ukumamayo wote huo!
Yote hayo unayakuta Tz tu maana hata Burundi wanatuzidiMkuu
Upo sahihi kabisa
Kenya tu hapo nenda Muthaiga,Karen,etc viwanja ni 5 acres mzee na wana ardhi ndogo kama nchi
Bongo pia tabia zetu kama individuals ni za kipumbavu sana yaani,unakuta mtu humo humo eti anafuga ng'ombe,amejenga upumbavu wa wapangaji chungu nzima na hapo nje kaweka mafremu chungu nzima..na yeye familia yake inakaa hapo hapo...
Yaani kiwanja kilichopimwa still humo humo ndani ya kiwanja owner anageuza squater humo humo ndani kwa kufanya upumbavu wote huu
Zote hizi ni NJAA na mindset za kimasikini kabisa
Hua nashangaa hivi mtu kwenye nyumba yako ya kuishi na familia na mahali pa kulea watoto wako unajenga maduka na baa hapo hapo sijui hizo akili mbovu hivyo zinatoka wapi?I really do not understand this stupidity
Kama ni baa,nunua eneo maalumu,kama ni maduka nunua eneo maalumu,kama ni wapangaji nunua eneo maalumu ufanye yote hayo..
Sio mahali unalelea wanao ndio unafanya ukumamayo wote huo!
250M itaisha hapo mkuu.Milioni 50 inavuka? Nalijenga taratibu miaka mitatu, wa nne ni finishing
Asante mkuu. Ukifuatilia mjadala humu. Huu mjengo hauwezi kufika hiyo amount kwa sababu nimeeleza sio ghorofa.250M itaisha hapo mkuu.
finishing ndo itakayokula hela.
Kila la heri mkuu
70M labda nyumba ya kawaida yenye finishing ya kawaida.Nafikiri kuanzia 70m
Na kama umri umesogea, nyumba ya chini kubwa ni nzuri zaidi
Ili usije kuhangaika kupanda na kushuka
Uzee na gorofa hapana
Maana baadae utalazimika uwe unaishia chini tu [emoji1]
Hii ni sawa na mtu mwenye watoto 7, akupigie ukiwa mnadani umletee nguo ya mtoto nawe ukanunua hata bila kujua urefu wa mtoto🤣🤣🤣🤣🤣Asante mkuu. Ukifuatilia mjadala humu. Huu mjengo hauwezi kufika hiyo amount kwa sababu nimeeleza sio ghorofa.
Nimeelewa vizuri kuwa ni one storey ila labda uchakachue ila ukiitende haki iwe na hadhi kama.kwa hiyo picha hasa kwenye finishing inafika amin mkuu.Asante mkuu. Ukifuatilia mjadala humu. Huu mjengo hauwezi kufika hiyo amount kwa sababu nimeeleza sio ghorofa.
Muache adanganywe aishie kati libaki pagala.Kuna watu wana asili ya ubishi hata kama hawajafanya tafiti.
Kuna nyumba najenga hapo Mjini, ni ya ground tu lakini nimeshatumia 135M hadi sasa.
Isingekuwa kujenga kwa awamu nisingeweza kutoboa
Una jina la gari niipendayo sana Jeep rubiconNimeelewa vizuri kuwa ni one storey ila labda uchakachue ila ukiitende haki iwe na hadhi kama.kwa hiyo picha hasa kwenye finishing inafika amin mkuu.
Hapo kuezeka tu ukichukua bati/vigae quality kama.za ALAF na mbao uchukue zile za dawa kweli sio zile feki za bugurun hiyo roofing tu peke.yake 40M inakwenda mkuu.
Material.zimepanda juu sana
Kuna mengine anafanya mwenyewe kupunguza gharama70M labda nyumba ya kawaida yenye finishing ya kawaida.
Mfuko wa cement sasa hv kuna sehemu mpaka 16k mfuko mmoja.
Mkuu hiyo ni mansion.Una jina la gari niipendayo sana Jeep rubicon
Why isiwe 300m?
Au isiwe 150m?
Kukadiria kwa macho bila kujua;
Ukubwa wa nyumba
Matirio zitakazotumika
Huku ni kutoutendea haki ujenzi.
Ujenzi ni sawa na afya ya mtu ambayo huwezi kumwambia anaumwa kitu gani hadi apitie vipimo.
Unajua uzi huu unapitiwa na watu wengi hivyo kukadiria kwa macho kunaweza kuwaingiza wengine mkenge kuona ujenzi kumbe gharama kubwa au mwingine akaona ni rahisi kutokana na kukadiria bei ndogo au ya juu vyote vina madhara.
Hujasoma ukanielewa.Mkuu hiyo ni mansion.
Bila hata ya kujua vipimo najua Haiwezi kuwa na udogo wa kujengwa kwa cost chini ya 250M.
Akilazimisha gharama zishushe atajenga ila atakua amejenga kitu kingine.
Najua ninachoongea mkuu sikurupuki.
Why not 350M or 700M inategemea na mbwembwe zake hasa kwenye finishing.
Kuna watu kwenye finishing wanaagiza container la material Dubai,Italy au Spain ila hizo ni mbwembwe tu lakini hata akijenga kawaida tu 250M inafika.
Hicho anachokiita ki canopy cha kupungia upepo kwa standard nzuri za usalama lazima hela ya maana iingie kwenye hiyo slab itakayomwagwa hapo.Huwez kukijenga kiwnywji enyeji tu kije kiuwe watu
Atakayofanya mwenyewe ni machache sana mkuu.Kuna mengine anafanya mwenyewe kupunguza gharama
Hiyo ni 4 bed tu mkuu
Kikwete hana nyumba kali ya hivoUnajua kwamba kikwete yumo humu JF?
Hongera kwa kurudishiwa ID yakoView attachment 2620115
View attachment 2620116
Wakuu nataka kuwa moja kati ya wanaJF wenye nyumba kali. Hii ni idea ya kunipeleka huko. Hii ndio nyumba ya kudumu ya mkuu wenu itakayowekwa kwenye kiwanja cha mita za mraba 2,000. Inatakiwa kuwa nyumba kali kushinda zote pale. Iwe kali mpaka watu waseme nimejiunga Freemason, wazushe humo ndani nimevuga majoka. Kisha mimi niseme ni kwa neema tu za Bwana.
Nyumba inatakiwa kuwa bangaloo. Hizo picha mbili zinatakiwa ziungwe (merged) ili kuwa plan moja kali sana.
Pamoja na kuwa itakuwa ni single storey, sio ghorofa lakini inatakiwa kuwa ile upper canopy ya juu kwa ajili kutulia pale juu na kula mema ya nchi. Itafanyikaje,mimi sijui mafundi ndio wanajua.
Fundi mwenye uwezo wa kuweka hizo ideas kwenye ramani moja anakaribishwa tufanye biashara. Wakuu wa kutoa kasoro mnakaribishwa sana ili niweze kuwawakilisha wana Jukwaa la Ujenzi