love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
Mbna ana declare atachoma watu sku ya mwisho sio kwasababu hawatendi memambona huyu wa maandiko yetu hana wivu huyu wala hana hasira
sisi waislamu na wakristo wote tunamtumikia vizuri tuu
achana na hao walioua sababu ya dini hao mazuzuMbna ana declare atachoma watu sku ya mwisho sio kwasababu hawatendi mema
Ila kwa kutomfuata yani kutamka yesu au Mohammed ndio pona yako.. huo ni upendo?
Na inakuwaj kila dini inajitanabaisha kuwa ni bora kuliko nyingine?
Na inakutaka uifuate yenyew ili iwe salama yako.
au hawa wafia dini wanaoua kwa sababu ya dini huwaoni,
Hata huko ukristo roma limeua watu zaidi ya 50 milion kwa kutumia jina la Mungu.
Leo wote wadai dini zao na Mungu wao ni wa upendo
upendo upi?
Mpaka hapo umekiri ya kuwa nimeelezea Roho ni nini.Hamna sehem hata moja uliyoelezea roho zaidi ya story na Quote ambazo kila mtu anajua kuw roho haina mwili.
Hakuna kitu.. Chui kavaa Ngozi ya kondoo na Roho wa Bwana alinionyesha mapema Sana...Huyu hana ahadi yeyote kwako yeye anajitosheleza haitaji akumiliki wakati tiali ni wake ndio maana hana ahadi za atakupatia hiki au kile
ukimfuata. Haitaji apewe jina lolote ili limpe utambulisho wake yeye hana jina ila yupo haitaji kujishusha kwetu kwake ili kumplease
Wala haitaji sifa zozote toka kwetu tiali anazo zote mpaka tusizozijua.
Haitaji kumnadi ili ajulikane na wengi wakati yeye ndio aliyewaumba angetaka ajulikane angefanya mechanism wakat wa kutuumba
turetain memory yake ambayo kwa hakika alivyo bila shaka yeyote. Hakutak ivo katupa free will yeye hana dress code wala baya na jema kwake yote sawa.
Kwasababu ubaya una exist kucompesate wema na wema unaexist kucompasate ubaya.
Ispo kuwa ubaya wako au uzuri wake unatunzwa kwenye memory kama vitu vingine na hiyo memory imecarry energy kumbuka kila kitu ni energy and have memory.
Ubaya wako au wema wako utakufuata kupitia memory ulizocarry kama energy mpaka energy hiyo iwe consumped.
Yeye ameshagenerate law ambazo zinajiongoza na zinaguide kila kitu.
Yupo mahali pote na wakati wote hana makazi mbinguni huyu wala hana kiti cha kukalia kam kiti cha enzi ni universal
na kila kitu ni reflection yake.
MUNGU NI MFALME, Anaitwa Mwenyezi, Anakaa kwenye kiti cha enzi (SIO KUKAA UNAKOFIKIRI WEWE Mwanadamu, KITI CHA ENZI KINAWAKILISHA Mamlaka na Umiliki Wake..)Hahahaha
Wale wenye ID tatu tatuuu njooni piaaa... "Mnajitekenya na kuchekaa wenyewee"...
Wengine mnakuja Kama mnaingiaaa kumbe mnatokaaa... Hahahahhahah..
Wengine mnajifanya kondoo (Kulingana na maelezo yenu) kumbe Chui (Uhalisia wenu)
Intelejensia ya Rohoni imetanda mahali hapa..
Karibuni wapendwa
Usiniambie nikasome huu ni mjadala wa wazi. Wewe thibitisha kama energy ina hivyo vyote,ukiweza kufanya hivyo naacha kujadili huu mjadala.Energy inavyote hivo ulivo sema hata kabla hatujafikia kwenye universal consious kasome kuhusu single atom kwa undani
ambayo kila kitu kimetokana nayo. Usiwaze kimiujiza miujiza kila kitu kinamaelezo yake ambayo ni scientific hata kama huyajui maelezo
hayo pitia kuhusu tone la maji linavyoweza kubeba memory yako au maneno uliyotamka kam negative or positive.
Haya yote ni scientific proved elimu ya kweli hutaipat darasani wala kwenye dini hizi
Single Atom haya ni mawazo ya wanafalsafa tu ndiyo maana wakatofautiana walianza na mata wakaja na atomu ndiyo ikaja fizikia ya usasa. Hata hao Waatomia hawakuwa na uthibitisho juu ya mawazo yao. Usilete mawazo mfu kijana sisi tunajishughulisha na uhalisia.unapofikiria kuhusu ulimwengu fikiria kuhusu single atom
Hili huwezi kuthibitisha mpaka unakufa,hizi waasisi wa nadharia hizi ni Wanafalsafa wa kigiriki kina Aristoto hawakuwa na Waatomia hawakuwa na ushahidi wowote zaidi ya nadharia.unapofikiria kuhusu ulimwengu huu usiende mbali fikria kuhusu single atom.
Kila kitu kimerise huko hai sio, hai. kinaonekana, hakionekan.
Thibitisha.Vibration tu ndio inayotofautisha kitu kimoja na kingine.
Nacheka sana. Hivi unasoma unachokiandika ?Tukidissolve mwili wako hakuna sehem tutakuta kitu tofauti na atoms.
Hiyo intelligence na memory inaexist wap tofauti na kwenye atom.
Huu uongo ulio semwa sana,bila kukanushwa niambie ulianza kusemwa lini ? Maana sisi tujuavyo tangu zama za mitume wapo watu walio kuwa wanakataa juu ya uwepo wa Mola,rejea habari za Firauni,sasa sijui mnaongelea muda gani ? Lakini Firauni mwisho wa siku alikuja kukiri ya kuwa Mola yupo.Unaweza kuthibitisha kuwa mungu ndo amekupa hiyo pumzi....
Uongo ukisemwa sana kwa kurudia rudia bila kukanushwa huaminika kuwa ndo ukweli, hata dhana ya uwepo wa mungu ni uongo uliosemwa sana bila kukanushwa hadi miaka ya mbele sana watu walipo anza kuji hoji uwepo wa huyo mungu.
Mind you mungu ni mawazo tu ya binadamu katika kutafuta tumaini la matatizo aliyokuwa nayo
Mimi sipo hapa kukushawishi usimuamin Mungu wako...Hakuna kitu.. Chui kavaa Ngozi ya kondoo na Roho wa Bwana alinionyesha mapema Sana...
MUNGU NI MFALME, Anaitwa Mwenyezi, Anakaa kwenye kiti cha enzi (SIO KUKAA UNAKOFIKIRI WEWE Mwanadamu, KITI CHA ENZI KINAWAKILISHA Mamlaka na Umiliki Wake..)
Ahadi anazozitoa ni kwasababu AMEWAPA uhuru wa kuchagua Mtakalo, ila KWA WALE watakaomfuata Yeye Hakika watapewa Tuzo ya Ushindi.. Wale wampingao Stahiki yao ni Moto wa Jehanamuuuu...
Mungu wetu Hapendi Kuchanganywa na miungu mingine (KUISHI KWA UONGO)... Yaani mbele za watu unasema Lihimidiwe Jina Lake, Nyuma ya pazia unatumia waganga wakulinde na kukupa mali kwa njia ya kafara za kuzimu.. Mungu lazima awe na wivu, wivu wake ni kwasababu UNAMUHUSISHA na vitu ambavyo havipo sawa na uwezo wake, YAANI ni kumdhalilisha kupita maelezo..
Mungu Yupo.. amekuumba wewe, Ameniumba mimi, alimuumba JF Kennedy, akamuumba Hayati Peter Tosh, amemuumba JPM.
SIO WEWE HATA wataliban hawawezi KUNISHAWISHI NISIMUAMINI MUNGU... ALIKONITOA MBALI, ALIYONIFANYIA NI MAKUU SANA Hakuna mfano wake..Mimi sipo hapa kukushawishi usimuamin Mungu wako...
Hajatoa uhuru angetoa uhuru asingewaadhibu watu wasipo mfuata.
Ukweli ni nin??
Mungu wako anaukweli upi?
Na wew niambie Mungu aliufanyaj udongo mpaka ukapatikana wewe?Single Atom haya ni mawazo ya wanafalsafa tu ndiyo maana wakatofautiana walianza na mata wakaja na atomu ndiyo ikaja fizikia ya usasa. Hata hao Waatomia hawakuwa na uthibitisho juu ya mawazo yao. Usilete mawazo mfu kijana sisi tunajishughulisha na uhalisia.
Hili huwezi kuthibitisha mpaka unakufa,hizi waasisi wa nadharia hizi ni Wanafalsafa wa kigiriki kina Aristoto hawakuwa na Waatomia hawakuwa na ushahidi wowote zaidi ya nadharia.
Niambie Atomu inafanyaje mpaka ukapatikana wewe ? Hizi akili za kitoto kweli.
Thibitisha.
Nacheka sana. Hivi unasoma unachokiandika ?
Kila siku nime tamani kuingia katika jukwaa la haya mambo ya dini nimefurahi kuona hii kituSoma na hii mkuu aise
Zaburi 14:1-6
Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu;
Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo,
Hakuna atendaye mema.
Toka mbinguni BWANA aliwachungulia wanadamu,
Aone kama yuko mtu mwenye akili,
Amtafutaye Mungu.
Wote wamepotoka, wameoza wote pamoja,
Hakuna atendaye mema,
La! Hata mmoja.
Je! Wote wafanyao maovu hawajui?
Walao watu wangu kama walavyo mkate,
Hawamwiti BWANA.
Hapo ndipo walipoingiwa na hofu nyingi,
Maana Mungu yupo pamoja na kizazi cha haki.
Mnalitia aibu shauri la mtu mnyonge,
Bali BWANA ndiye aliye kimbilio lake."
Nimekuambia ukasome nikijua hutaenda kusomUsiniambie nikasome huu ni mjadala wa wazi. Wewe thibitisha kama energy ina hivyo vyote,ukiweza kufanya hivyo naacha kujadili huu mjadala.
Sasa kama ni scientifi proved unacho shindwa kuthibitisha hapa ni nini ? Thibitisha ya kuwa maji yana yajua yanacho kifanya,thibitisha ya kuwa maji yana malengo thibitisha ya kuwa maji yana sanifu jambo kadhalika thibitisha ya kuwa maji yana hekima.
Twende taratibu jibu maswali ninayo kuuliza kwanza.Na wew niambie Mungu aliufanyaj udongo mpaka ukapatikana wewe?
Mungu hajawahi pingana na sayansi.
Kitu kimoja nina uhakika kuhusu wewe ni kuwa unacombination ya many atoms sio zaid.
ukomplex wako haukufanyi uwe sio atoms.
Law zote yeye ndio creator sasa atapingana vipi nazo.
Tuach kutumia Mungu kama kivuli cha kuficha upuuzi uliopo kwenye dini zetu
msikilize imam.
Kama hali iko hivyi ili ujue nasoma au sisomi jibu hoja zangu hili rahisi sana.Nimekuambia ukasome nikijua hutaenda kusom
kwasabu you have a blind faith unaamini bila kuhoji imani yako.
kama principle ni kuamini bila kuhoji kila mtu yuko sahihi kwa anacho amini.
lakini sio kila anachoamini mtu kinakuwa kweli.
Mimi iman yangu inaniambia ni utafte ukweli katika kila jambo wewe imani yako inakwambia inamiliki
ukweli wote so huna haja ya kutafta wala kuskiliza chochote nje ya dini yako.
Umezoea school feeding ukimezeshw kila kitu open your mind uexpose what lie beyond your religion.
Kama hali iko hivyi ili ujue nasoma au sisomi jibu hoja zangu hili rahisi sana.
Mmmh dah no comment mkuu.Unahisi hivyo kwa sababu umeaminishwa na kukuzwa hivyo tangu ungali mdogo, kuomba kwa pamoja basi mtapata miujiza(you're programmed).
Yote hayo unayoyaona na kuyahisi hayana uthibitisho kuwa huyo mungu ndo ametenda but unahisi hivyo kwasababu ya makuzi uliyokulia tu.
Unaweza kuthibitisha kuwa mungu ndo amekupa hiyo pumzi....
Uongo ukisemwa sana kwa kurudia rudia bila kukanushwa huaminika kuwa ndo ukweli, hata dhana ya uwepo wa mungu ni uongo uliosemwa sana bila kukanushwa hadi miaka ya mbele sana watu walipo anza kuji hoji uwepo wa huyo mungu.
Mind you mungu ni mawazo tu ya binadamu katika kutafuta tumaini la matatizo aliyokuwa nayo
Unaongelea Mungu yupi?Mtu anayetumia nguvu kuaminisha hakuna MUNGU ni mpuuzi kwa sababu hajui ni kwann watu walichagua kuamini uwepo wa MUNGU na haijui dunia isiyo amini katika uwepo wake inafananaje.
USHAURI: Kifo kinakuja, kila siku unasogelea siku ambayo utaingia kaburini. Kuwa na subira acha kutumia nguvu kuigeuza dunia kwenye kitu ambacho hukijui. Umeikuta dunia ikiwa inaamini juu ya uwepo wake, heshimu hilo sidhani kama kuna la kupoteza.