Nje ya mawazo ya Mwanadamu Mungu hayupo, hajawahi kuwepo, na hatakuwepo

Ww ndo unajanielewa mm nimesema kwann binadslamu asitengeneze cell zitakazo mfanya aishii milele nasio kuzalisha cell mwilini mwake zitakazo mfanya aishii milele nielewe vzr kwanza...
 
Unaongelea Mungu yupi?
Kama ni wa kwenye bible au Quran tumemuani si zaid ya miak 150 iliyopita.
Waafrika walikuw wamepungukiwa na nin miaka 150 iliyopita?
Imani katika MUNGU si imani katika dini....... football ni football haijalishi majina ya timu.
 
Kwa mantiki hiyo kila mtu ni muumini iwe katika sayansi, mizimu, miti au ng'ombe hata wapagani wanaibaada zao
au hat akili yako
Ni Sawa. Kuwa muumini wa chochote unachoamua kwa ridhaa yako.... unaweza pia kuamini wewe ndio mungu ukajiabudu hukatazwi. La muhimu heshimu walio wengi wanaoamini kuwa MUNGU yupo.

Kumbuka:
 
Hahaaa nacheka sana, hasa ninaporudia kusoma ulichoandika hapa.

Kwanza kabisa inakupasa utambue kuwa hao mitume unayoizungumzia hapa ni miongoni mwa jamii za miaka ya karibuni, jamii ambazo walishakuta ustaarabu umetamalaki kila pembe ya dunia.Wakati Muhammad anazaliwa na hao waliomtangulia katika imani yake walikuta tayari ustaarabu upo na watu wana dini na wana miungu yao.
Hivyo dhana ya mungu haijaanza kwa Muhammad au nuhu ilianza miaka mingi kabla ya hao kuwepo duniani.
Binadamu wa kale zaidi alipata kuishi miaka takribani million 6 iliyopita. Kwahy unapojenga hoja zingatia hiyo time frame
 
Huyu nimemsikiliza. Jenga hoja sasa.

Mimi ni Muislamu tena Muislamu hasa.
Hoja yangu ni kwamba kafuatilie nilivyokumbia..
wewe ni mfia dini haupo kujifunza ila kudefend imani yako ndicho ulichofundishwa
yote niliyokuambia yako bayana ni utayari wako kujifunza
 
Kwanza kabisa inakupasa utambue kuwa hao mitume unayoizungumzia hapa ni miongoni mwa jamii za miaka ya karibuni, jamii ambazo walishakuta ustaarabu umetamalaki kila pembe ya dunia.
Tuanze na nabii Nuhu. Hakuna jamii ambayo ilistaarabika pasi na mtume.
Wakati Muhammad anazaliwa na hao waliomtangulia katika imani yake walikuta tayari ustaarabu upo na watu wana dini na wana miungu yao.
Kabla ya Mtume kiwepo walishapita mitume mingi,na ukisoma maana ya yamko "Arabu" likazaa tamko "Ustaarabu" maana yake kupitia mitume kabla yake ustaarabu ukasimama.

Swali langu la msingi uniambie huo usaarabu ulikuwepo kipindi gani ambacho mitume hawakuwepo na utuambie ni jamii gani hiyo au hizo zilikuwa na ustaarabu.
Hivyo dhana ya mungu haijaanza kwa Muhammad au nuhu ilianza miaka mingi kabla ya hao kuwepo duniani
Kijana sijui kwanini unakwepa swali langu. Thibitisha ni kina nani hao ambao walikuwa na hiyo dhana kabla ya nabii Nuhu,maana hata mtu wa kwanza ambaye ni Adamu aliishi kwa muongozo kutoka kwa Mola.
Binadamu wa kale zaidi alipata kuishi miaka takribani million 6 iliyopita.
Weka ushahidi hapa na utuambie umejuaje na umeihesabu vipi hii miaka ? Ulitumia Carbon 14 nini ? (hiki kituko kingine).
Kwahy unapojenga hoja zingatia hiyo time frame
Nitazingatia time frame hi mpaka pale utakapo nithibitishia ukweli wa hii namba,usilete stori za mtaani na ngonjera za wanasayansi.
Hahaaa nacheka sana, hasa ninaporudia kusoma ulichoandika hapa.
Inapendeza.
 
Hoja yangu ni kwamba kafuatilie nilivyokumbia..
wewe ni mfia dini haupo kujifunza ila kudefend imani yako ndicho ulichofundishwa
yote niliyokuambia yako bayana ni utayari wako kujifunza
Naona huna hoja unaleta malalamiko.

Hizi mada msiwe mnaziingilia pupa pupa kabla hamjajipanga.
 
unasema unaamini utakuwepo baada ya miaka miwili hapo hapo hauwaelewi wanaoamini Mungu
hii sio contradiction pia???
 
Kwa maelezeko yako inaonyesha haujuwi maana ya ustaarabu au unajuwa ila umeamuwa kupotosha jamii.
Ili tuweze kwenda pamoja eleza maana ya neno ustaarabu, ili tujuwe kabla ya mtume hakukuwa na jamii zingine zilizo staarabika.Karibu
 
Talibani na wenye dini hii Mungu wao anaruhusu kuuwa na zawadi ya kuua unapewa mabikira saba afterlife
 
unasema unaamini utakuwepo baada ya miaka miwili hapo hapo hauwaelewi wanaoamini Mungu
hii sio contradiction pia???
Hakuna contradiction.
Labda kiswahili tu kimekuchanganya

Ulitaka nisemeje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…