Njia gani nzuri ya kutatua changamoto kama hii kazini kwangu?

Mwambie akome kutuita wamasai ni kama tumbili.

Akomee! Tenaaaa mwambie fanalekiiiiiiii bladfakeni.

Nitumie majina yake matatu PM nta deal nae Kiroho! ... Binadamu ni mzito au mwepesi Rohoni
 
I
ishia hapo freemason hatuna huo UPUZI sis tuko huru kufanya lolote
 
Shukrani Sana, ntafanya hivyo aisee
 
Magonjwa ya akili ni real huyo boss wako anakichaa..
 
Yawezekana akawa na inferiority complex

Yaani kuna watu ambao huwa wanapata relief wanapomtukana mtu na kumfokea.

Njia ya kuishi nao ni kuwa positive tu akiona anafoka then wewe upo Una smile ataanza kubadilika mwenyewe.
Ohhh sawa kiongozi,,nimekupata
 
😂😂
 
Asante kwa ushauri wako.
 
Sawa, shukrani Sana kwa ushauri wako
 
nishajaribu kumuuliza kuwa Kuna shida gani mpka inakuwa hivi,sema anaishia kunichekea na kusema hamna shida,,,awamu hii ntaongea naye kwa kina
hiyo kuongea nae kwa kina ,,inatakiwa iwe kina kweli , kama yy sio mmiliki wa kampuni akizid siku moja mtafute nje ya office mtie vitasa sana
 
Haiwezi kuwa hivyo na hata kama itakuwa hivyo basi hiyo itakuwa ilikuwa ndiyo hatima yake

Namaanisha huenda Kuna kazi nzuli Ina mwita kuliko hiyo anayo ing'ang'ania
  • Unajua sekta binafsi ni 'profit oriented'; kabla ya kuanzisha msimamo/vita pale kazini, jiulize uwepo wako pale unailetea pesa kiasi gani hiyo taasisi.​
  • Kama uko kwenye credit na debit tu, huku huzalishi mapato yoyote, inabidi kuwa mpole tu; vinginevyo una sehemu nyingine ya kujiegesha.​
  • Mtu anayetakiwa kuvimba kwenye taasisi binafsi ni mtu wa masoko tena yule masoko aliyekomaa mwenye uwezo halisia wa kuongeza mapato kwa spidi, ambaye ana uwezo mkubwa wa kukuza pato la taasisi.​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…