Njia gani nzuri ya kutatua changamoto kama hii kazini kwangu?

Nenda kwny maombi mambo mengne ni spiritual issues
 
Waswahili wanasema "Akufukuzae hakwambii toka" Fanya mpango upate ajira nyingine hapo uachane napo.
 
nishajaribu kumuuliza kuwa Kuna shida gani mpka inakuwa hivi,sema anaishia kunichekea na kusema hamna shida,,,awamu hii ntaongea naye kwa kina
Usiongee nae kwa kina, mpige biti mpaka aogope kukufuta kazi.
 
Nimeipenda hii expert wangu
 
Kwenye kutafuta ridhiki kuna changamoto nyingi sana, endelea kufanya kazi ukiwa unatafuta kazi sehemu nyingine, usiache kazi kabla ya kupata kazi sehemu nyingine.
 
Ni nani mwenye elimu kubwa kuzidi mwenzake?
Pia, ana umri gani kwa makadirio na wewe una umri gani?
 
Ukiona hivyo ujue anakuona Zoba.
Una Roho ya kukandamizwa

Huna utisho. Wenzako wanaendaga kwa Sangoma kudai utisho.
Wengine wamezaliwa nao. Wengine wanapewa na Muumba
 
Kwenye kutafuta ridhiki kuna changamoto nyingi sana, endelea kufanya kazi ukiwa unatafuta kazi sehemu nyingine, usiache kazi kabla ya kupata kazi sehemu nyingine.
Shukrani Sana Asante
 
Ukiona hivyo ujue anakuona Zoba.
Una Roho ya kukandamizwa

Huna utisho. Wenzako wanaendaga kwa Sangoma kudai utisho.
Wengine wamezaliwa nao. Wengine wanapewa na Muumba
Duhhh hivyo suluhisho ni Nini kwa hili swala langu?
 
Wewe fanya kazi kama mkataba unavosema....ingia kwa wakat na toka kwa wakati ofisini.
Kama anafoka na anakulipa mshahara basi ww fanya yako huku unapambana utoke hapo
 
Mloge
 
Boss wangu alikua ana nikopa hela afu arudishi kwa wakati sikuwa mnyonge tukiwa wawili ofisini tuna kabana mashati tukitoka njee ana foka kama kawaida
 
Daaah pole mkuu... hakika hapa utapata msaada mzuri wa mawazo. Umeandika in so touching way....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…