Gordita
JF-Expert Member
- Nov 4, 2013
- 11,564
- 55,570
NdiooFlagy vidonge 6 kwa mpigo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdiooFlagy vidonge 6 kwa mpigo?
Zikipita siku wik huez zuia ?Ndioo
Bro usibishe tu kwakuwa umesoma sayansi. Kwa taarifa yako wako watu wakitoka tu kwenye show fasta anaenda kunawa maji vzr anazitoa zote na hapati mimbaNdugu , sperms, hazioshwi kwa maji, hata kama utaingiza Mpira wa kumwagilizia bustani. Ukiisha ejaculate, mbegu zinasafiri kuelekea katika filopian tubes zikifuata yai liliko ambako maji unayotaka kuoshea hayatafika. Tena ni hatari zaidi kama mwanamke atakuwa ni yule mwenye multi orgasms huyo ni moto Mara moja.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]paka maziwa/unato wa mende juu ya papuchi baada tu ya sex hapo hakuna mimba tena.
Morning after pill, hususani levonogestrol 5mg inafanya kazi akiwahi kutumia within 72 hrsJe, imetokea kwa bahati mbaya umetegeka na mwanafunzi na ukamwaga ndani? Au umemwagia dada ambae unahisi huwezi kuzaa nae au hauko tayari, vivyo hivyo kwa mwanamke umetembea na mwanaume usingependa uzae nae au hauko tayari kuzaa nae.
Embu tusubiri wataalamu watupe majibu, mwenyewe sijui.
Fragile 4 mixer maji lita 3
Ndioo
haweziAwez kufaaa,!?
siku wiki ndo nn? me najua siku tatu zikizidi ni masuala mengineZikipita siku wik huez zuia ?
hawezi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]daah jfBadala ya kuuliza njia ya kuzuia ukimwi unauliza kuzuia mimba! Utakufa na utamu wako.....subiri!!