IamBrianLeeSnr
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 2,010
- 4,179
- Thread starter
-
- #21
Kuna tofauti kubwa kati ya mungu na miungu nilie mzungumzia hapa ni mungu wa kweli muumba vyote duniani..Bila shaka una uelewa mdogo kuhusu mungu na Mungu, hivi unajua kuna mungu zaidi ya mmoja?
Kwa hiyo kukuuliza 'mungu' nalitaka kufahamu uelewa wako kuhusu mungu ni nani hasa.
Tufanyeje Sasa baada ya huu Uzi wakoHivi kwanini bado Africa tupogizani kiasi hiki?
1: MZUNGU KATULETEA DINI
2: MZUNGU KATULETEA MAVAZI
3: MZUNGU KATULETEA UTANDAWAZI
4: MZUNGU KATULETEA NJIA ZA MAWASILIANO
5: MZUNGU KATULETEA TAHARUKI MBALIMBALI NA MAFUNZO JUU YA MAHUSIANO
6: MZUNGU HUYO BADO ANATUMALIZA KWA MAGONJWA YA KUTENGENEZA ILI AENDELE KUFANYA BIASHARA YA KUUZA MADAWA YA TIBA
7: MZUNGU ANAJALI MASLAHI ANAYOPATA KWA KUUZA THAMANI ZA KWENYE NYUMBA ZA IBADA
8: WEWE MTU MWEUSI UPO GIZANI NA HUTAKI KUAMINI KUWA DINI ZILIKUJA KIBISHARA NA HUJUI NI NJIA IPI HASWA UTUMIE KUMFAHAMU MUNGU WA KWELI
Toka gizani sasa na uanze kujifunza kuhusu mungu wa kweli na kwa njia zipi unaweza kufikia uwepo wake..
THE HOLY SPIRIT OF ALMIGHTY GOD IS ALONG TO YOURSELF BELIEFS
Wewe mungu umewahi kumuona?Ogopa sana kauli yako hii ipo siku atajidhirisha uwepo wake kwako kupitia namna ya kipekee ndipo utaelewa dhihaka sio nzuri juu ya uwepo wa mungu
hao wazungu hizo dini walizitoa wapiHivi kwanini bado Africa tupogizani kiasi hiki?
1: Mzungu katuletea dini
2: Mzungu katuletea mavazi
3: Mzungu katuletea utandawazi
4: Mzungu katuletea njia za mawasiliano
5: Mzungu katuletea taharuki mbalimbali na mafunzo juu ya mahusiano
6: Mzungu huyo bado anatumaliza kwa magonjwa ya kutengeneza ili aendele kufanya biashara ya kuuza madawa ya tiba
7: Mzungu anajali maslahi anayopata kwa kuuza thamani za kwenye nyumba za ibada
8: Wewe mtu mweusi upo gizani na hutaki kuamini kuwa dini zilikuja kibishara na hujui ni njia ipi haswa utumie kumfahamu mungu wa kweli
Toka gizani sasa na uanze kujifunza kuhusu mungu wa kweli na kwa njia zipi unaweza kufikia uwepo wake..
The holy spirit of almighty god is along to your beliefs
Tufundishe sasa hizo njia sahihi za kumfikia Mwenyezi Mungu bila kupitia hizo njia haramu za kibiashara!Hivi kwanini bado Africa tupogizani kiasi hiki?
1: Mzungu katuletea dini
2: Mzungu katuletea mavazi
3: Mzungu katuletea utandawazi
4: Mzungu katuletea njia za mawasiliano
5: Mzungu katuletea taharuki mbalimbali na mafunzo juu ya mahusiano
6: Mzungu huyo bado anatumaliza kwa magonjwa ya kutengeneza ili aendele kufanya biashara ya kuuza madawa ya tiba
7: Mzungu anajali maslahi anayopata kwa kuuza thamani za kwenye nyumba za ibada
8: Wewe mtu mweusi upo gizani na hutaki kuamini kuwa dini zilikuja kibishara na hujui ni njia ipi haswa utumie kumfahamu mungu wa kweli
Toka gizani sasa na uanze kujifunza kuhusu mungu wa kweli na kwa njia zipi unaweza kufikia uwepo wake..
The holy spirit of almighty god is along to your beliefs
Yes. Hiki ndio watu wengi hawajui. Huyo mzungu kalata dini katika mfumo WA kumkontrol mtu.Si kweli kwamba Mwafrika alikuwa gizani amjui MUNGU kabla ya ujio wa dini.
Amekuwa akimuabudu Mungu hata kabla ya ujio wa hizi dini.
"Do and don't do" yaani miiko na desturi. Ukishakua tu na utambuzi wa kujua mema na mabaya na kuyaishi tayari unamjua Mungu.
Hata kabla ya ujio wa dini
1.Kuua ni dhambi.
2.kuiba,
3.Kusema uongo
4.Kutokutii na kuheshimu wakubwa
5.uasherati
6.uchawi
7.uchoyo nk
Vyote ni don't do ni miiko usifanye. Na hivi vipo ndani ya amri kumi za MUNGU. So kwa kutenda hayo ni ushahidi tosha ya kwamba Mwafrika alimjua Mungu hata kabla ya ujio wa dini.