Uchaguzi 2020 Njia pekee ya Mwita Waitara kuwa mbunge wa Bunge lijalo ni kuteuliwa. Hakuna jimbo analoweza kuchaguliwa kwa kura, hana ushawishi wowote

Uchaguzi 2020 Njia pekee ya Mwita Waitara kuwa mbunge wa Bunge lijalo ni kuteuliwa. Hakuna jimbo analoweza kuchaguliwa kwa kura, hana ushawishi wowote

Mtoa mada kadri siku zinavyoenda ndio matumizi yako akili yanazidi kuwa chini unabakiwa na emotions tu!

Siasa inazidi kufifisha utendaji kazi wa ubongo wako, hatima yake unaruhusu moyo ukufanyie maamuzi hata kwenye masuala nyeti yanayohitaji upembuzi yakinifu!
Hawana hoja sasa hivi wamebaki kuwa kama wachekeshaji na waigizaji.
 
Mwita sitegemii hata mm arudi bungeni, sio kiongozi, hajui hata kidogo kuomba kura wala kauli zake ni chafu chafu, jimbo lolote lile ataangushwa kabisa
 
Huyu Jamaa kwa sasa ni naibu waziri Tamisemi, aliingia bungeni kwa mbeleko ya Chadema 2015, kabla ya "kununuliwa" na ccm kwa bei ya kushangaza, ambapo kwenye hati ya makubaliano (nimeiona) kulikuwa na kipengere cha unaibu waziri .

Hata hivyo mambo yamembadilikia na kwa sasa hakuna jimbo lolote analoweza kushinda ubunge hata kama atapelekwa kwenye majimbo yenye wapiga kura duni ya Mkoa wa Dodoma, hii ni baada ya kushindwa kuiendeleza Ukonga , huku akiwanunulia bia watu wote wanaohoji ubovu wa barabara, (wewe kunywa bia barabara itakusaidia nini?), hata Tarime ambako ndio kwao hawataki hata kumsikia, na hivi karibuni alihojiwa na CCM Mkoa wa Mara kwa kuanza kujipitisha kabla ya wakati.

Njia pekee ya Waitara kuwa Mbunge ni kuomba huruma ya kuteuliwa viti maalum na Rais iwapo CCM iliyokaliwa kooni na wananchi kutokana na ugumu wa maisha itashinda Urais.
Huyu jamaa ni hovyo kabisaaa
 
Huyu Jamaa kwa sasa ni naibu waziri Tamisemi, aliingia bungeni kwa mbeleko ya Chadema 2015, kabla ya "kununuliwa" na ccm kwa bei ya kushangaza, ambapo kwenye hati ya makubaliano (nimeiona) kulikuwa na kipengere cha unaibu waziri .

Hata hivyo mambo yamembadilikia na kwa sasa hakuna jimbo lolote analoweza kushinda ubunge hata kama atapelekwa kwenye majimbo yenye wapiga kura duni ya Mkoa wa Dodoma, hii ni baada ya kushindwa kuiendeleza Ukonga , huku akiwanunulia bia watu wote wanaohoji ubovu wa barabara, (wewe kunywa bia barabara itakusaidia nini?), hata Tarime ambako ndio kwao hawataki hata kumsikia, na hivi karibuni alihojiwa na CCM Mkoa wa Mara kwa kuanza kujipitisha kabla ya wakati.

Njia pekee ya Waitara kuwa Mbunge ni kuomba huruma ya kuteuliwa viti maalum na Rais iwapo CCM iliyokaliwa kooni na wananchi kutokana na ugumu wa maisha itashinda Urais.
Kwa uchaguzi wa 2020, mtu yoyote akiishapitishwa na CCM, ndiye Mbunge!.
Ikitokea Waitara asipitishwe CCM, then sababu itakuwa ni hii kwenye bandiko langu hili
Angalizo kwa Wanasiasa hamahama; Japo ni haki yenu lakini msisahau fadhila. Kuweni watu wa shukrani, mtabarikiwa sana, vinginevyo karma Itawahusu!
Nilitoa angalizo hili kuhusu kitu kinachoitwa karma
Ndugu zangu wanasiasa hama hama, kama ni kuhama, hameni, ila msikose shukrani kwa wale waliowaokota huko walikowaokota, wakawakea, wakawatunza, na kuwahudumia hadi kuwafikisha hapo mlipo hadi wenye macho kuwaona na kuonekana mnathamani, hivyo msiwabeze wale waliowafikisha hapo!.
Hivyo hawa wanasiasa hama hama wote wanaohama vyama kwa kutoa kauli za kukosa shukrani au kubeza, ni hakika karma itawahusu!.

Nawatakia mafanikio mema kwenye vyama vyao vipya!.
Paskali.

Karma is real.
P
 
Mbeleko ya vyombo vya dola inatosha kumbeba.
 
Hii nchi bdo tupo ktk ujima
Nazan tungepata katiba mpya na tume huru ya uchaguz ingekua ni bora sana nimeshangaa kuona nchi kama malawi matokeo ya urais yanapingwa mahakaman cjui hku kwetu tunasubr muujiza upi??

Its not over until its over...[emoji769]
 
Huyu Jamaa kwa sasa ni naibu waziri Tamisemi, aliingia bungeni kwa mbeleko ya Chadema 2015, kabla ya "kununuliwa" na ccm kwa bei ya kushangaza, ambapo kwenye hati ya makubaliano (nimeiona) kulikuwa na kipengere cha unaibu waziri .

Hata hivyo mambo yamembadilikia na kwa sasa hakuna jimbo lolote analoweza kushinda ubunge hata kama atapelekwa kwenye majimbo yenye wapiga kura duni ya Mkoa wa Dodoma, hii ni baada ya kushindwa kuiendeleza Ukonga , huku akiwanunulia bia watu wote wanaohoji ubovu wa barabara, (wewe kunywa bia barabara itakusaidia nini?), hata Tarime ambako ndio kwao hawataki hata kumsikia, na hivi karibuni alihojiwa na CCM Mkoa wa Mara kwa kuanza kujipitisha kabla ya wakati.

Njia pekee ya Waitara kuwa Mbunge ni kuomba huruma ya kuteuliwa viti maalum na Rais iwapo CCM iliyokaliwa kooni na wananchi kutokana na ugumu wa maisha itashinda Urais.
Hawa ndiyo ma DC wajao....kama baba yao atapita!! Ubunge ni kweli ashabugi...chama chetu kumbeba mtu kama huyu ni kutaka kuwagombanisha wanachama wa CCM wale wafia chama na hawa CCM ujio wa manunuzi.
 
Tena Dodomaaa yenyewe ya kule Kongwa kwa andunje. Lile eneo kwa kweli Mungu tu alisaidie maana sio kwa ule umasikini. Ndio maana anunje anamchukia Mwamba kwa sababu ya inferiority complex aliyonayo
Uwe na adabu ndugu.we ni tajiri mbona hatukusikii ukitajwa Kama akina bakhresa au mo dewji
 
Ukweli mtupu ,huku ukonga sijaona cha maana alichofanya.
 
Ukweli mtupu ,huku ukonga sijaona cha maana alichofanya.
Mzee wa kukusanya wana CCM hasa wakulya na kuwapinga mipombee wakishalewa anawapa na elfu kumi kumi ya supu!! Dhambi kubwa kutumia njaa ya mtu kupandia daraja!!
 
Huyu Jamaa kwa sasa ni naibu waziri Tamisemi, aliingia bungeni kwa mbeleko ya Chadema 2015, kabla ya "kununuliwa" na ccm kwa bei ya kushangaza, ambapo kwenye hati ya makubaliano (nimeiona) kulikuwa na kipengere cha unaibu waziri .

Hata hivyo mambo yamembadilikia na kwa sasa hakuna jimbo lolote analoweza kushinda ubunge hata kama atapelekwa kwenye majimbo yenye wapiga kura duni ya Mkoa wa Dodoma, hii ni baada ya kushindwa kuiendeleza Ukonga , huku akiwanunulia bia watu wote wanaohoji ubovu wa barabara, (wewe kunywa bia barabara itakusaidia nini?), hata Tarime ambako ndio kwao hawataki hata kumsikia, na hivi karibuni alihojiwa na CCM Mkoa wa Mara kwa kuanza kujipitisha kabla ya wakati.

Njia pekee ya Waitara kuwa Mbunge ni kuomba huruma ya kuteuliwa viti maalum na Rais iwapo CCM iliyokaliwa kooni na wananchi kutokana na ugumu wa maisha itashinda Urais.

Matokeo fikirishi.
 
Huyu Jamaa kwa sasa ni naibu waziri Tamisemi, aliingia bungeni kwa mbeleko ya Chadema 2015, kabla ya "kununuliwa" na ccm kwa bei ya kushangaza, ambapo kwenye hati ya makubaliano (nimeiona) kulikuwa na kipengere cha unaibu waziri .

Hata hivyo mambo yamembadilikia na kwa sasa hakuna jimbo lolote analoweza kushinda ubunge hata kama atapelekwa kwenye majimbo yenye wapiga kura duni ya Mkoa wa Dodoma, hii ni baada ya kushindwa kuiendeleza Ukonga , huku akiwanunulia bia watu wote wanaohoji ubovu wa barabara, (wewe kunywa bia barabara itakusaidia nini?), hata Tarime ambako ndio kwao hawataki hata kumsikia, na hivi karibuni alihojiwa na CCM Mkoa wa Mara kwa kuanza kujipitisha kabla ya wakati.

Njia pekee ya Waitara kuwa Mbunge ni kuomba huruma ya kuteuliwa viti maalum na Rais iwapo CCM iliyokaliwa kooni na wananchi kutokana na ugumu wa maisha itashinda Urais.
Vipi mkuu huko tarime vijijini? Wazima?😂😂😂
 
Back
Top Bottom