einstein newton
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 1,969
- 2,674
einstein newton;
Yaani masharti ya hawa jamaa wenye kujiona wamebobea kiuganga ni magumu sijawahi ona. Hapo sasa, wawe wameyaitisha hayo makitu, mara ghafula yameingizana. Uanze kuutafuta mtandao wa Voda, umechukua lisaa, hiyo nyumba MziziMkavu, si tutakuachia?
Kafie mbali qaafir mkubwa ww eti ( inshaallah) ata huna haya mshirikina ww
Kumuita jini sio ushirikina, ni moja kati ya ilmu za siri sana. Huwezi kuikuta juujuu tu kama wengi wanavyosema. Nina hakika hakuna hata. mmoja humu aiowahi kumuita jinn ila porojo tu.
tukitumia biblia kama chanzo, walioenda kuchoma sodoma, kabla ya kufika kwa rutu walipiga msosi kwa sara na walikuwa jinsia ya kiume.Malaika si wanawake wala si wanaume,hawali wala hawanywi,na wala hawana matamanio.Hawana sifa ya kumuasi Mwenyezi Mungu na wanafanya kila wanachoaagizwa na Mola wao,Hawa wametakaswa;hawashiriki kwenye batili.
HORSE POWER,kuna Baadhi ya watu hawawezi kufikiria jinsi kitu kipya kilivyo bila kukifananisha na kitu kilichopo
Sasa watu kama hao, ni vigumu sana kuelewa unachokisema kwasababu hawawezi kufikiria nje ya Box
kiufupi hakuna sehemu yoyote katika vitabu vya dini inayo acknowledge jinsia ya MALAIKA AU MAJINI
tukitumia biblia kama chanzo, walioenda kuchoma sodoma, kabla ya kufika kwa rutu walipiga msosi kwa sara na walikuwa jinsia ya kiume.
labda kama biblia yangu imeongezwa maneno.
Malaika si wanawake wala si wanaume,hawali wala hawanywi,na wala hawana matamanio.Hawana sifa ya kumuasi Mwenyezi Mungu na wanafanya kila wanachoaagizwa na Mola wao,Hawa wametakaswa;hawashiriki kwenye batili.
HAWAKULA mkuu,mpaka nabii Ibrahim akwauliza "mbona hamli?" Nao wakamjibu "sisi sio watu,sisi ni malaika."
Nimejaribu hamna kitu kimetokea. Hizo kamba tu
Samahani katika imani yako inaruhusiwa mwanadamu kupata msaada kutoka kwa jini?je unavyowafundisha watu kupata misaada kutoka kwa jini,unadhani watamtumaini Mungu au ndiyo watakimbilia kwa majini?
1/3 ya malaika wote ni waasi kulingana ma Biblia.
kweli mkuu, ila walikuwa wanaume!
Mbona unapata msaada kutoka kwa binadamu mwenzako??
Je binadamu akikusaidia imani yako juu ya Mungu inaisha??