Vikundi vingi vya kigaidi/waasi hutumia silaha maarfu ak-47 hata hapo mozambique ni mwendo wa ak-47 kwa hiyo unataka kutuaminisha kua USA siku hizi na yeye n mzalishaji na msambazaji wa silaha hiyo?
Nime uliza kuhusu Usa na sio masuala ya nchi nyingi je usa ana kibali cha kuzalisha hizo siraha na kuzisambaza?Mbona nchi nyingi zinatengeneza hizo silaha kwa kupewa kibali na wengine hata hawajapata kibali wanajifanyia kwa wizi
Nime uliza kuhusu Usa na sio masuala ya nchi nyingi je usa ana kibali cha kuzalisha hizo siraha na kuzisambaza?
Pale Kibiti waliona nini ? Hebu dadavua mkuuThanks for this.
Kinachoendelea Msumbiji ni part and parcel ya ile project inaitwa FRENCH AFRICA.
Congo Brazzaville wamekuwa kwenye hii project miaka mingi sana kupitia Pascal Lissuba na Dennis Sassungwesso, Gabon wamekuwa kwenye hii project miaka mingi kupitia Marehemu Omar Bongo na Mwanaye.
Msumbiji wameingia rasmi kwenye hii project na hii laana ilianzia pale Total alipoinunua Anadarko, Gas itachimbwa pale na amani Msumbiji na kusini mwa Tanzania itakuwa ni tatizo kwa miaka mingi.
Magaidi wako kwenye payroll ya mfaransa na lengo ni kudestabilize eneo na kuingia contracts za ulinzi ambayo hela yake itatoka kwenye mikataba ya gas na matokeo yake Msumbiji watakosa Kila kitu kwa sababu yakusaidiwa kwenye ulinzi.
Kidogo kidogo, hodi hodi Tanzania, umakini usipoweka na watu wasipoacha ujinga wakuendekeza siasa ile kusini inaweza ikawa haitawaliki.
Upumbavu, ujinga na Tamaa za viongozi wa Africa leo hii umeifikisha hapa Africa.
Africa Moja kupitia AU yenye nguvu ndio ingeweza kusimamisha haya.
Note: Eneo like la Msumbiji na eneo la kusini la Tanzania kuna reserve kubwa sana ya gas.
Tusisahau moja ya chanzo cha ukoloni ni industrial revolution huko ULAYA na AMERICA.
Pale Kibiti waliona nini ? Hebu dadavua mkuu
Wao hizi mambo walishazipita mkuu, vita hizi za vikundo vya kigaidi na vita za wenyewe kwa wenyewe washapigana sana.Yeah uko sahihi.
Ni aina ya watu wale wanaopoteza siku nzima kubishana habari za simba na yanga.
Hata Ulaya ugaidi na vita au mapigani yapo sema vita zao ziko strategic na huwa zina sababu maalumu za kushindana kiuchumi.
Watu wanakufa wewe unataka kudanlodi? Oya?!Weee stivu jamani natamani ingekuwa movie ni download telegram nasubiri kwa hamu kubwa
Yeah kwa sasa hawatumii vita za kutumia miguvu tena,wanaingia tu maabara kisha wanatuma kirusi kama cha covid basi kazi imeishaWao hizi mambo walishazipita mkuu, vita hizi za vikundo vya kigaidi na vita za wenyewe kwa wenyewe washapigana sana.
Wakajua udhaifu wao, wakaurekebisha.
Sasa sisi daah hadi huruma aisee, tukechelewa kujitambua.
Kaka huwezi kutibu tatizo lako kwa kunyoshea vidole watu.Dunia ina matrix sana , vikundi hivyo huwezi kuvikuta saudia , Qatar ,oman...Huyu Raisi wa Iran aliyekufa ndio aliwamaliza hao mamluki wa kutumia propaganda za kidni baadae aliwanyonga ndio wakamuita ''The butcher"
Watu hawa wanapewa pesa kukamilisha malengo ya wazungu , jiulize silaha wanatoa wapi ? Mzalishaji mkubwa wa silaha ni USA...Mtandao huo sawa na madawa ya kulevya kama ingekuwa uislamu unahusika nina hakika watu wengi wangekimbia hiyo dini ..Ni dini inaypokea watu wengi baada ya watu kuelewa kila mwk , ndio dini inakuwa kwa kasi.
Wale waliokamatwa pale Urusi juzi tu walisem islamic state ndio wanahusika , Putin akasema atafuatilia ili mwisho wa siku ni uongo , watu wanakuwa recruited na kulipwa kutokana na kutka utajiri na pesa ... Hakuna muislamu anaweza kuchoma na kuua watu kwa vile hukumu yake huko nchi za kiislamu ni kuuliwa tu , sasa iweje hawa wanaua ?
tayari kuna uzi wa pili na wa tatu mzee.Mkuu mwendelezo bado?
Kumbe una ndugu PalestineMna uhakika gani hao ni waislamu? Na wanamtumikia nani? Vazi ndio linawaaminisha wao ni waislamu?
Ndugu zetu wa palestina wanauawa kikatili, tena kwenye land yao na hatuwasikii mkisema makafiri ya kizayuni ni MAGAIDI, Nyie watu wa ajabu sanaa.
Kumbe una ndugu Palestine
Lakini walimuua ndugu yetu kinyama yule dogo Joshua mollel.Ndio wale ni ndugu zetu, una lingine?
Lakini walimuua ndugu yetu kinyama yule dogo Joshua mollel.
Mzee ulikua mahabusu au? Pitia huu uzi utaziona hizo video.Weka clip hapa tuone kama ni yeye, na waliomuuwa kama ni hamas!