Njia ya Kibiti kwenda kwenye laana ya Cabo Delgado

Hupaswi kuwa chukia watu kwa kukuita mwizi Kama kweli wewe ni mwizi

Unacho takiwa ni kuacha uizi nakubadilika kabisa ili usiitwe mwizi

Tabia ni jina la kuzaliwa nalo na huwezi kuwa zuia watu wasi kuite jina lako

Uislamu utabaki uislamu tu kama utakuwa ukiji husisha na uislamu tu

Lakini utaitwa uislamu ugaidi Kama utajihusisha na ugaidi

Ushauri wangu kwa ndugu zangu waislamu

Nikwamba Kama waislamu hatuvutiwi na maneno machafu juu ya dini yetu kujihusisha na ugaidi

basi tuna paswa kuwa mstali wa mbele kwa kuwa tafuta na kuwa vumbua

na hata kuwa kabidhi magaidi mikononi mwa tawala au mamlaka ambazo tuna fanyia huduma zetu za kiroho baasi

Kwani hakuna ibaada pasipo amani

Hakuna uchumi pasipo amani


Hakuna maisha wala njia ya pepo.pasipo.amani

Tubadilike ndugu zangu hili Lina tuhusu na halikwepeki
 
Hupaswi kuwa chukia watu kwa kukuita mwizi Kama kweli wewe ni mwizi

Unacho takiwa ni kuacha uizi nakubadilika kabisa ili usiitwe mwizi

Tabia ni jina la kuzaliwa nalo na huwezi kuwa zuia watu wasikuiye jina lako
What if mwizi ni huyo anaekuita wewe mwizi lkn unapokwenda kuiba anadondosha kwa makusudi kitambulisho bandia Chenye jina na picha yangu.

Nani anastahili kukemewa na asipoacha kuchukiwa.
 
Na wanaamini katika JIHAD
Waislamu wengi ni wavivu hawataki kufanya kazi Wana penda easy money angalia hata mikoa ambayo dini hii Ina tawala

Maisha magumu, jitu Zima linaishi kwa baba na mama,mitoto ya kiume inaolewa

huko ndiko kunako ongoza kwa ushoga na ufuska

Yote ni kwasababu ya uvivu kukaa vibarazani badara ya kufanya kazi una kutas Toto la kiume Lina mwita mwana ume mwenzie shosti"

Huko ndiko uliko zaliwa uchawa

leo baba levo eti ni mtoto wa diamond inaingia hakilini kweli?

Sasa mtu Kama mwijaku/baba levo akipewa mil.40 aingize bom kalia Koo ana shindwaje?

Waislamu niwa vivu
Nenda tanga, Zanzibar,pwani na morogoro,ujionee ugumu wa maisha wanao upitia na uvivu jinsi ulivyo watawala

Kisha jiulize gaidi likitangaza dau tupo salama kweli?

mwislamu nirahisi kushawishika kuwa gaidi la kuaminika kupitia uvivu wake na misingi ya dini yake kuhusu maisha ya kesho/maisha baada ya kifo
 
What if mwizi ni huyo anaekuita wewe mwizi lkn unapokwenda kuiba anadondosha kwa makusudi kitambulisho bandia Chenye jina na picha yangu.

Nani anastahili kukemewa na asipoacha kuchukiwa.
Ina tegemeana ulisha wai kulipoti kwa Nani kupoteza kitambulisho chako?.

na baadae uka lipoti kukipata kupitia Nani au njia gani?

hapo ndipo tuta kapo anzia kwenye kujilidhisha kuhusu wewe juu ya kitambulisho chako na picha yako kupatikana eneo la tukio

Kisha tutajua ume bambi kiwa au need wewe mwenyewe
 
sasa hayo maelezo ya ndugu yako yanahusiana nini na swali
 
Uchambuzi uliotukuka.
 
Gaidi katika 1 na 2. Hamna nafasi ndani ya nchi hii, kafanyieni upuuzi wenu Msumbiji na Somalia
 
Mpaka hapo napata picha hayo magaidi ya Msumbiji ni project ya Europeans/USA
 
msumbiji ni nchi basi. ni kikundi cha wahuni na watunga shanga. hamna nchi pale ni takataka jeshi lao kama la wakata viuno drc
Mkuu nakubaliana na wewe nimesafiri mara kadhaa kwenda Msumbiji kwanza Serikali ipo Maputo tu huko kwenye majimbo hakuna kitu hali ni duni sana. Wanajeshi wao ni waoga kupita maelezo tuliwafundisha mbinu za medani za kutosha ila kwenye uwanja wa vita wanakimbia au kuuza ramani kwa waasi. Wanajeshi wa nchi nyengine hawataki kushirikana nao kwa sababu wanauza sana kambi. Nakubaliana na wewe Msumbiji sio nchi ni genge lililoachwa na Wareno ili kuzua taharuki.
 
Ningereply kila comment ina maana nusu ya posts kwenye huu uzi zingekua zangu.

Anyway Sorry for your loss mtoto wa kiume.
 
Una
Unamjua mwandishi?
 
Fikiria tukio la kigaidi la hili karibuni. Kijana kakamakwa na watu waliojitambulisha usalama. Wakamchukua hadi kituo maarufu cha polisi oystebay na kumpeleka eneo la gereji. Wakamtesa. Wakasafiri nae hadi arusha, wakaenda kumputa porini katavi. Wasamaria wema wakamwona na kutoa msaada. Manusura akahadithia yote. Baada ya kuhadithia asubuhi wanajitokeza jeshi la polisi na kusema wanawatafuta waliomteka mtuhumiwa. Hadi leo hawajamuona.

Ndio maana tunauliza what if mwizi ni yule ataewarangazia umma x ni mwizi.

In my opinion tz kama si duniani, hakuna ugaidi wa waislam bali ni False Flag.

Kupitia propaganda 85% ya watu huwa fool

But time will tell u can fool some people some time. But u can't fool all the people all the time.

My friend uko tayari contaminated na propadanda za wahuni waliojificha ndani ya taasisi za serikali
 
Yule mtu aliji husisha nasiasa/Deep politics ways can isay

kitu ambacho ni hatali
wakati huo huo Hana Kinga

so Waka mkamata kisiasa wakamfanya walivyo jiskia na wakataka kumpoteza kisiasa

na Hata alipo bahatika kuwa hai baada ya kuya eleza aliyo yapitia nakuomba msaada

wameamua kumsaidia kisiasa

Na kuhusu wahuni iam not sure Kama wapo lakini Hata mhuni ukimuuliza kwanini Ana fanya uhuni

atakwambia sababu ambazo utazielewa

So siwa chukulii Kama niwahuni Ila naweza kuwaona Kama niwatu ambao walikuwa kazini na wanalipwa kwa kazi hiyo

Sasa unadhani Kuna kazi au malipo yasiyo na faida?

Ninacho zungumzia hapa nikwamba si geni hili la uislam kuhusishwa na ugaidi

Lakini je! waislamu wanafanya juhudi gani kuu tenganisha uislam na ugaidi?

Binafsi sioni juhudi hizo ziki fanyika na Hilo huenda tafsiri ake ikawa inatuhusu coz we don't care about

that's why nimezungumza hivyo no more

so sorry Kama nitakuwa nime eleweka vibaya mkuu
 
Kwa hiyo katiba inaruhusu ukijiingaza ktk siasa za kukosoa serikali adhabu ni kuwawa na watu wasiojulikana.

Kitendo alichifanyiwa na wasiojilikana, lkn walipeleka katakana oystebay ni cha kigaidi.

Tujiulize, kwanini huyu muathirika hakuwataja mashekhe, jiulize pamoja na mashekhe kukaa muda mrefu gerezani mwisho wa siku serikali inawaachia huru kwa kusema hawaoni sababu ya kuendelea na kesi hiyo.

Haki ya kuwahusisha inatoka wapi. Kwann tuone kuna ulazima wa kufanya juhudi wakati kimsingi tz wenye uelewa wanaielewa kuwa maumivu wanayoyapitia waislam ni kwasababu wana maoni tofauti na watendaji wa serikali wenye uwezo mdogo wa kutafsiri mambo waliobahatika kuwa ndani ya serikali.

Na ni kawaida kuwa viongozi wenye uwezo mdogo wa kufikiri kutengeneza wafuasi wenye uwezo mdogo wa kufikiri.

But they can't fool smart tz christian neither us.
 
Hawa wanamgambo kwa tukio walilolifanya huko kitaya mkoani mtwara, ilikuwa ni kete ya kuwatafuta popote walipo duniani na kuwatokomeza

Ilikuwa ni dharu kubwa sana kwa nchi yetu. Jeshi lilfanya kazi yake, ila halikwenda zaidi. Ulikuwa muda wa kuwafuta kabisa duniai na kulipa jeshi heshima yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…