Sweetheart, topic nzuri ila ungetoa tahadhari kwamba hii ni kwa wale tu ambao wako licensed. Isije dada zetu wakazuia mimba wakapata magonjwa ya zinaa ya kuambukiza. Kwa sababu kuna watu wanaogopa mimba kuliko ukimwi.
Vijiti???
Bora hata ukatafute mbegu za minyonyo kule kijijini. Hiyo kitu ikibuma ndugu yangu utasikiliziia mziki wake
sawa madam,sasa vp akihtaj mtoto anaacha kutumia au kwa muda gani? na vzur zaid baada au kabla ya tendo? maana nahc kama ukfanya baada tayar fertilization itakuwa imeshatokea so ukawa umechelewa au? dadafua plz
Sweetheart hujanijibu hayo majivu lazima unywe kila siku ht km huja sex au unaweza kunywa tu pindi unapotaka kusex
Ubarikiwe sana dada
Ubarikiwe sana dada
Usinambie na wewe ndo unaijua leo!!
Kule jf doctors kuna nyuzi zinazozungumzia hili
Exactly Credit dudCard at work !! a/c zetu zipo full balance kwa matumizi ya unyumba!!! Sweetheart Benki ya umma...Mkuu Zamiluni Zamiluni afungue akaunti awe anazihifadhi ili zitumike pale tu mtu anapohitaji mimba kama hataki zipotee bure....
Majivu unayokunywa yanaingia katika mfumo wa chakula na sio wa uzazi, how comes majivu yazuie mimba??...
Majivu unayokunywa yanaingia katika mfumo wa chakula na sio wa uzazi, how comes majivu yazuie mimba??...
Habari zenu wana mmu....
Habari za siku nyingi.........leo nataka nitoe ushauri kwa dada zangu au wadogo zangu, pia hata kwa kaka zangu kuhusu jinsi yakuweza kuzuia mimba kwakutumia njia ya asili tofauti na kama tujuavyo wengi wetu kwa sasa wamekua wakitumia njia kama vidonge vya kizuia mimba, sindano na vijiti ambapo njia hizo za za uzazi wa mpango zmekua na madhara makubwa kwa wanawake ikiwa na uke kua na maji na uvimbe tumboni.....
Njia yenyewe ya asili ni majivu....
Jinsi ya kutumia majivu ni unakoroga kijiko kimoja au viwili kwenye kikombe au grass sio lazima ijae maji unasubir baada ya dakika tano ndio unakunywa, na waweza kunywa majivu hayo lisaa limoja kabla ya tendo au baada ya tendo lakini yasizidi masaa sita baada ya tendo...
Ni njia nzuri sana na haina madhara pia ni njia ya asili....na ni njia ambayo hata mm nmekua nikiitumia na rafiki zangu pia ......
Cc Bulldog
Sorry!! Majivu ya mti wowote au?