Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

Ktk mada hii ndo naamini weng dunian hawaheshimu maandko matakatfu..


Watu wanaona kuzuia na kutoa mimba ni jambo halali kabisaaaa.....

Kama hutaki.mimba basi usifanye ngono.. Au fanya sku ambazo unahisi ni salama
 
Habari zenu wana mmu....

Habari za siku nyingi.........leo nataka nitoe ushauri kwa dada zangu au wadogo zangu, pia hata kwa kaka zangu kuhusu jinsi yakuweza kuzuia mimba kwakutumia njia ya asili tofauti na kama tujuavyo wengi wetu kwa sasa wamekua wakitumia njia kama vidonge vya kizuia mimba, sindano na vijiti ambapo njia hizo za za uzazi wa mpango zmekua na madhara makubwa kwa wanawake ikiwa na uke kua na maji na uvimbe tumboni.....

Njia yenyewe ya asili ni majivu....
Jinsi ya kutumia majivu ni unakoroga kijiko kimoja au viwili kwenye kikombe au grass sio lazima ijae maji unasubir baada ya dakika tano ndio unakunywa, na waweza kunywa majivu hayo lisaa limoja kabla ya tendo au baada ya tendo lakini yasizidi masaa sita baada ya tendo...

Ni njia nzuri sana na haina madhara pia ni njia ya asili....na ni njia ambayo hata mm nmekua nikiitumia na rafiki zangu pia ......

Cc Bulldog
Naomba unieleze kama ushawahi kujifungua au kutoa mimba siku za nyuma, maana unaweza kuona majivu yanakusaidia kumbe huwezo wa kuzaa huna.
Unapotoa tiba ni bora ukatueleza madhara ya muda mfupi na mrefu yanayoweza kujitokeza, wasije wakatumia kwa sasa wakakuishia kuwa wagumba wa milele.
 
Hakuna madhara yoyote kama mtumiaji atatumia hayo majivu akiwa amelewa?
 
Yaani ukiweza jaza hata mfuko kozi ni mazuri na hayana madhara nmekua nikitumia kwa mwaka wa pili sasa na pia kuna jiran yangu mmoja alikua akipata sana mimba tokea nmemshaur yamemsaidia sana tena sanaa

Vip kuhusu SIDE EFFECTS? Hayana?
 
Hii ni njia nzuri sana.

Siku nikioa, nitaanza rasmi kuitumia na mke wangu.


Currently i am Single, so no place for this.:shocked:
 
Mkuu kwanza nikiri umenichekesha sana...sure, nimecheka sana na hii comment yako.
Back to topic: mimi nilichohitaji ni connection iliyopo. Kesi ya sindano ni tofauti kwa sababu inaingia moja kwa moja kwenye damu compared to majivu. Na kama issue ni kufanya mwili wa mwanamke uwe na acidity kubwa ili mimba isitunge, sasa ni kwa nini basi asinywe mwanamume one hour before ili mwili uwe high in acidity na sperm zisiwe na uwezo wa kufertilize ovum.?

Haaa we mkuu na Inkhubu mnajichekesha sana kwa maswali yenu bana, ila siwashangai sana pengine biology hamkusoma ndo maana.
Umeeleza vizuri kuwa sindano inaingia moja kwa moja kwenye damu. Sasa napenda ujue kuanzia leo kuwa CHO CHOTE UNACHOKULA AU KUNYWA kinaingia damuni vilevile, sema tu kitachelewa kuingia ukilinganisha na sindano lakini mwisho wa siku kitaingia vilevile.

Sperm sitakufa tu zikiwa kwenye external environment, vilevile yai la mwanamke litakufa tu likiwa kwenye external environment. Kwa mwanaume external environment ni sehemu yo yote nje ya korodani, yaani kule sperm zinakoenda akisha ejaculate, whether ni papuchini, tigoni, kichwani, ndani ya boxer ndotoni n.k kote huko ni external environment. So zikikutana na high acidity au alkalinity huko ndo zinakufa kabla ya kufanya fertilization. Ndani ya korodani kila kitu ni self-controlled, so haiwezekani kukawa na high acidity au alkalinity. Nadhani hapa sasa nimejibu swali kwanini mwanaume atakiwi kunywa hayo majibu, kwa maana nyingine hata akinywa hayatauua sperm so itakuwa ni kazi bure

Kwa mwanamke external environment ni pale yai linapoelekea baada ya ovulation, yaani likishatoka kwenye vile vifuko vyake (follicles), linaenda kwenye mfuko wa uzazi (uterus), follopian tubes etc kote huko ni external environment. Kwa hiyo nalo likifika huko likatutana na high acidity or alkalinity nalo litakufa vilevile kabla ya kuwa fertilized. Kama ilivyo kwenye korodani, kwenye follicles nako kila kitu kiko self-controlled, so huwezi kuua yai likiwa huko. Njia rahisi ya kuliua ni kusubiri litoke huko kwenye hifadhi yake.

Kwahiyo sasa mwanamke anapokunywa hayo majivu ana disturb externa environment ya yai lake, vile vile anadisturb external environment ya sperm kwa maana ya papuchini. Kuna kuwa na high acidity or high alkalinity (natumia conditions zote mbili coz sina uhakika ipi inapanga kwa kunywa majivu). So yai lake na sperm za mwanaume vitakaingia hilo eneo la mwanamke (external environment ambayo sasa ni too acidity/alkalinity) zitakufa before fertilization. Again nikiri kuwa sina uhakika kama zote zitakufa au ni sperm za mwanaume au yai la mwanamke tu ndo litakufa, sina uhakika, ila muhimu hapa ni kwamba fertilization will not occur.

Kama hujaelewa sasa, njoo nikupe tution maalumu, ila tanguliza M-pesa, tigopesa au airtelmoney kwanza ya laki 2 tu
 
Last edited by a moderator:
Hayo mawazo yangekuwa bora kipindi kileee...mbuga zimejaa, watu wanalima wanavyotaka...msosi ni kukusanya mizizi na matunda umemaliza...kila baada ya hatua kumi unakutana na digidigi unawinda na kupata nyama...shule ni kwa ngariba na wafundali...taarifa mnaipata kwa mwenyekiti wa kijiji...that way yangekuwa mawazo mazuri..lakini kwa kipindi hiki ada ya nursery million mbili ndugu unawaongopea watu

Na let me tell you about Mwenyezi Mungu...Mungu ni Mungu wa planning, na alitupa akili vichwani ili tuzitumie kuboresha mazingira yetu na kuyafanya maisha yawe bearable

Sasa kama Mungu anakupa akili na unashindwa ku-plan..naamini swali utakaloulizwa kwa kuleta viumbe duniani ni kwa nini ukazalisha watoto waje kupata dhiki? Hukujua kama watahitaji all the necessities?

Ukijiachia kila bao likazalisha mtoto unadhani si tutagombania hewa hapa duniani? Its like anazaliwa mtoto then next month mama kitumbo hichoooo! Do you really think Mungu ndivyo anavyotaka?

Ni kweli Mungu akiamua mimba itaingia tu..hapo itakuwa kwa kadri ya plan zake na ndio maana nikakwambia Mungu ni Mungu wa planning. He plans everything beforehand...otherwise do your best and God will do the rest..finish

mungu ni mungu wa planning akikupangia uzae bila shaka atakupangia na cha kumlisha na kumvisha na kumsomesha hawezi kukupa tu watoto kwani yeye ndio alietuumba na ndie anaetupa sisi riziki kila kiumbe kina riziki yake ishapangwa na ana hekima yake kufanya wengine maskini wengine matajiri
 
mungu ni mungu wa planning akikupangia uzae bila shaka atakupangia na cha kumlisha na kumvisha na kumsomesha hawezi kukupa tu watoto kwani yeye ndio alietuumba na ndie anaetupa sisi riziki kila kiumbe kina riziki yake ishapangwa na ana hekima yake kufanya wengine maskini wengine matajiri

Explain kwa nini familia nyingi zenye watoto lukuki ni masikini...Explain kwa nini idadi ya watu ikizidi mahali (overpopulation) hilo eneo linakuwa na maendeleo duni..Explain kwa nini familia zinazopanga uzazi wa mpango zinakuwa na watoto wenye afya na akili as compared to familia za "kipemba"? na lastly explain kwa nini jamii za watu wanaokumbatia habari ya "kila mtoto huja na riziki yake" ndo zilag behind kielimu, kiuchumi na kila kitu? usiniambie hazina Mungu!!!
 
Explain kwa nini familia nyingi zenye watoto lukuki ni masikini...Explain kwa nini idadi ya watu ikizidi mahali (overpopulation) hilo eneo linakuwa na maendeleo duni..Explain kwa nini familia zinazopanga uzazi wa mpango zinakuwa na watoto wenye afya na akili as compared to familia za "kipemba"? na lastly explain kwa nini jamii za watu wanaokumbatia habari ya "kila mtoto huja na riziki yake" ndo zilag behind kielimu, kiuchumi na kila kitu? usiniambie hazina Mungu!!!

akili yako ndio imeishilia hapo mbona wafalme na machifu wana watoto kibao na hawana njaa mimi ktk familia yetu tuko ishirini na hatuna njaa?hao uliowaona maskini ndo mungu ana hekima yake kwanini awafanye maskini wangapi wanatumia uzazi wa mpango na bdo ni njaa tu wanabadilisha mboga tu?tafakari kwanza
 
Habari zenu wana mmu....

Habari za siku nyingi.........leo nataka nitoe ushauri kwa dada zangu au wadogo zangu, pia hata kwa kaka zangu kuhusu jinsi yakuweza kuzuia mimba kwakutumia njia ya asili tofauti na kama tujuavyo wengi wetu kwa sasa wamekua wakitumia njia kama vidonge vya kizuia mimba, sindano na vijiti ambapo njia hizo za za uzazi wa mpango zmekua na madhara makubwa kwa wanawake ikiwa na uke kua na maji na uvimbe tumboni.....

Njia yenyewe ya asili ni majivu....
Jinsi ya kutumia majivu ni unakoroga kijiko kimoja au viwili kwenye kikombe au grass sio lazima ijae maji unasubir baada ya dakika tano ndio unakunywa, na waweza kunywa majivu hayo lisaa limoja kabla ya tendo au baada ya tendo lakini yasizidi masaa sita baada ya tendo...

Ni njia nzuri sana na haina madhara pia ni njia ya asili....na ni njia ambayo hata mm nmekua nikiitumia na rafiki zangu pia ......

Cc Bulldog

ni njia natumia siku zote za maisha yangu!! alinifunza mamangu!

asante kuwaelimisha na wengine pia
 
Last edited by a moderator:
Sweetheart hujanijibu hayo majivu lazima unywe kila siku ht km huja sex au unaweza kunywa tu pindi unapotaka kusex

unatumia unaposex tena ukiwa ile danger date kama uko kwenye days huna haja ya kutumia
 
akili yako ndio imeishilia hapo mbona wafalme na machifu wana watoto kibao na hawana njaa mimi ktk familia yetu tuko ishirini na hatuna njaa?hao uliowaona maskini ndo mungu ana hekima yake kwanini awafanye maskini wangapi wanatumia uzazi wa mpango na bdo ni njaa tu wanabadilisha mboga tu?tafakari kwanza

Kama unapingana na data za ulimwengu naweza kuamini kuwa kweli kwenu mpo 20
Kauli yako ya wafalme na machifu ina jibu ndani yake.."wafalme" na "machifu"
Mungu hamfanyi mtu kuwa maskini..isipokuwa in rare cases ambapo anakuwa na mpango flani (as in the case of Ayoub) na mwisho wa siku humuondolea umasikini
Tunapochukua data za vitu na watu huwa zinakuwa in percentage sio in totality...so sijakwambia family planners WOTE wana maisha mazuri

nadhani wewe unahitaji kutafakari kwanza
 
akili yako ndio imeishilia hapo mbona wafalme na machifu wana watoto kibao na hawana njaa mimi ktk familia yetu tuko ishirini na hatuna njaa?hao uliowaona maskini ndo mungu ana hekima yake kwanini awafanye maskini wangapi wanatumia uzazi wa mpango na bdo ni njaa tu wanabadilisha mboga tu?tafakari kwanza

braza fanya mpango mfungue timu ya mpira
 
Sweetheart

jana wife nilimuanzishia dozi, akaanza kunywa.
Sasa cha ajabu leo tena, nimemkuta na glass sebuleni tena kaongeza kipimo kabisa cha maji anabugia. Naona ana kanyege flani kweli leo. Vipi hii biashara ya glass kila siku haitakuja leta madhara
 
Back
Top Bottom