Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

Majivu gani...ya uchafu wa jalalani,kuni,mkaa au makaa ya mawe? Payer
 
Last edited by a moderator:
Its true mkuu,hali ya ubarid na mfuko wa uzazi haviendani kabisa,ili kukuza kiumbe kunahitajika joto flani mwilini,maji baridi huaribu mfumo mzima so mtagegedana free mpaka mrizike

Mkuu kwani mtu akinywa maji yanaenda kwenye utumbo au kwenye kizazi mkuu.
 
Mnh Vitu vingine sio vya majaribio dada. mfano umemeza afu havijafanya kazi means mimba ishaingia sijui utafanyaje?

vingi sana vinasaidia hata maji ya kunywa. Unakunywa maji mengi after having sex pia inazuia ingawa haitaki uvivu wa kunywa maji.
Ikiingia tena haina jinsi ni kujipanga na kukabiliana na hali, ingawa haimaanishi usijitahidi kuzuia
 
...I used once nilipoona nimelikoroga nikaendelea kupata period kawaida siku zilipofika. But I don't know if ilisaidia au siku conceive.

wanikumbusha kuna siku nlikunywa panadol na maji mengiii baada ya kukosa asprin. Najua kuhusu maji mengi inasaidia kuzuia mimba ila panadol sikujua kama ilisaidia pia au vipi.
 
Mkiwa wazazi mtajua tu,
Kuna mdada mmoja alipata uja uzito wenzake wakamdanganya aingize kijiti cha mhogo ndani mpaka aiguse nakuitoboa itatoka, dada wa watu akafanya hivyo......yaliyomkuta karibu apoteze uhai, madaktari ikabidi wamtoe kizazi hivyo huyo dada hatakaa aje apate mtoto tena. Hivyo wasichana msidanganyane kwani ni hatari sana.
 
wanikumbusha kuna siku nlikunywa panadol na maji mengiii baada ya kukosa asprin. Najua kuhusu maji mengi inasaidia kuzuia mimba ila panadol sikujua kama ilisaidia pia au vipi.

Ulijikinga na dengue kwa dozi hiyooo... lol
 
Mkiwa wazazi mtajua tu,
Kuna mdada mmoja alipata uja uzito wenzake wakamdanganya aingize kijiti cha mhogo ndani mpaka aiguse nakuitoboa itatoka, dada wa watu akafanya hivyo......yaliyomkuta karibu apoteze uhai, madaktari ikabidi wamtoe kizazi hivyo huyo dada hatakaa aje apate mtoto tena. Hivyo wasichana msidanganyane kwani ni hatari sana.

Hatujadili kutoa mimba
 
Mie nnavyojua hiyo juisi ya majivu akinywa mwanaume ndo mimba haiji

Hahahaaa..... inawezekana sina hakika. Ila miaka ileeee ya kujifunza kugusa gusa papuchi alitumia mpenzi wangu wa huba. It worked. Kwa siku za hofu ya ujauzito tuu
 
Kuna mmea Flani unaitwa mnyonyo Mara nyingi majani yake yanatumika kujikandia/ kuchua kama umeumia sasa basi mbegu zake ni kinga ya mimba ila kuna namna ya kuzimeza
 
Back
Top Bottom