Doppelganger
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 1,858
- 757
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Its true mkuu,hali ya ubarid na mfuko wa uzazi haviendani kabisa,ili kukuza kiumbe kunahitajika joto flani mwilini,maji baridi huaribu mfumo mzima so mtagegedana free mpaka mrizike
Mnh Vitu vingine sio vya majaribio dada. mfano umemeza afu havijafanya kazi means mimba ishaingia sijui utafanyaje?
...I used once nilipoona nimelikoroga nikaendelea kupata period kawaida siku zilipofika. But I don't know if ilisaidia au siku conceive.
mhh hapo tuwe tunafahamiana muda kidogo,..mana ts risky
Mimi naijua ya kunywa sumu ya panya dakika 3 kabla ya tendo.....
..
..Watu mnahangaikaaaa...tigo ndio njia sahihi na salama kiafya kuzuia mimba...ukipata mimba kupitia tigo...ni pm..10million natoa...!!!
wanikumbusha kuna siku nlikunywa panadol na maji mengiii baada ya kukosa asprin. Najua kuhusu maji mengi inasaidia kuzuia mimba ila panadol sikujua kama ilisaidia pia au vipi.
Mkiwa wazazi mtajua tu,
Kuna mdada mmoja alipata uja uzito wenzake wakamdanganya aingize kijiti cha mhogo ndani mpaka aiguse nakuitoboa itatoka, dada wa watu akafanya hivyo......yaliyomkuta karibu apoteze uhai, madaktari ikabidi wamtoe kizazi hivyo huyo dada hatakaa aje apate mtoto tena. Hivyo wasichana msidanganyane kwani ni hatari sana.
tumeagizwa kuijaza dunia, hii nayo imetoka wapi tenaaa
Ulijikinga na dengue kwa dozi hiyooo... lol
Mie nnavyojua hiyo juisi ya majivu akinywa mwanaume ndo mimba haiji
hahahahahaahaha, aisee sikujali hata kama dengue au malaria ila kikubwa nlipata period
Huwa nikisikia mwanamke katoa mimba huwa nahisi kichefuchefu hata sitaki nimuone