Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Unataka kweli kuacha?? Peke yako huwezi ni lazima upate nguvu kutoka nje. Yaani nguvu za Mungu. Hebu fungua hiyo picha uliyoweka halafu isome kwa muda kidogo. Wadhani huyo mwanamke anakunywa kwa kupenda?
Kuna nguvu inamsukuma kuzinywa. Hata ustaarab wake kesha nyang'anywa na hiyo pombe. Si chupa zote ni zake?? Kwanini asiziweke chini akanywa taratiibu?
Mpe Yesu maisha yako, ndiye dawa
 
Dawa ya kuacha kufurisika kwako hata mia usipate.ndiyo utaacha kama bado zinaingiya kuacha hapo ngumu kata maji tuuu.
 
Ahsante "pacha" wangu Masanja tulijiunga JF siku moja yaani 1/8/2007
 
Amen.
 
0756361909 tuwasiliane
 
Neema ya Mungu itatosha kukufungua kutoka NIRA ya ulevi. Kimbilia kwa Mungu Tuuuuuuuu
 
Wakati unaleta hii mada umewafikiria wafanyakaz wa Kampuni za bia na familia zao? Umewafikiria wamiliki wa bar na grocery na familia zao? Umewafikiria mabaamedi na familia zao? Umeufikiria uchumi wa nchi yetu? Umewafikiria wakulima wa ngano? Umewafikiria madereva wa malori ya pombe na ngano? Uwe na huruma kijana...unadhani tukiacha pombe hao watu wataishije?
 
Hii dawa ya pili nimeikubali...ngoja nkadungwe sindano, Savannah bye bye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…