Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
kuna jamaa yangu aliandika hiki kitabu. kinaeleza mbinu na dawa za kuacha pombe.Poleni kwa miangaiko ya wiki na pilika za hapa na pale!
Naombeni msaada tiba ya kumwachisha mtu kunywa pombe.
Hili tatizo la ulevi analo Baba mzazi ambapo akilewa tu , Mama anakosa amani kwa sababu anakuwa anapigwa tu, pasipo na sababu za msingi .
Lakini asipo kunywa pombe anakuwa ni mtu mwenye busara tu. Hivi karibuni amekuwa akilewa mfululizo kiasi ambacho vurugu nyumbani haziishi.
Kwa hyo kutokana na hili tatizo linapelekea Mama kukosa amani pale nyumbani, mpaka ndugu wa mama wamekuja juu kutaka kumwondoa dada yao pale nyumbani!
Nilishasikia tiba ya kumwachisha mtu pombe ni kumchanyia mkojo wake mwenyewe kwenye pombe!
Hili bado sijalifanyia kazi kwa kukosa ushuhuda thabiti kwa watu waliojaribu au kutibiwa!
Naomba mwenye kufahamu tiba yeyote ile au mwenye ushuhuda kwa hiyo tiba ya kumwekea mkojo wake kwenye pombe! Atakuwa amenipatia mwangaza mzuri!
Kaishi Saudi Arabia japo kwa miezi sita hiviPoleni kwa miangaiko ya wiki na pilika za hapa na pale!
Naombeni msaada tiba ya kumwachisha mtu kunywa pombe.
Hili tatizo la ulevi analo Baba mzazi ambapo akilewa tu , Mama anakosa amani kwa sababu anakuwa anapigwa tu, pasipo na sababu za msingi .
Lakini asipo kunywa pombe anakuwa ni mtu mwenye busara tu. Hivi karibuni amekuwa akilewa mfululizo kiasi ambacho vurugu nyumbani haziishi.
Kwa hyo kutokana na hili tatizo linapelekea Mama kukosa amani pale nyumbani, mpaka ndugu wa mama wamekuja juu kutaka kumwondoa dada yao pale nyumbani!
Nilishasikia tiba ya kumwachisha mtu pombe ni kumchanyia mkojo wake mwenyewe kwenye pombe!
Hili bado sijalifanyia kazi kwa kukosa ushuhuda thabiti kwa watu waliojaribu au kutibiwa!
Naomba mwenye kufahamu tiba yeyote ile au mwenye ushuhuda kwa hiyo tiba ya kumwekea mkojo wake kwenye pombe! Atakuwa amenipatia mwangaza mzuri!
Pale kwa fasi, I feel DRC tone Bro!Mvunjie mayai matatu kwanza pale kwa fasi then muone reaction yake kesho yake tungi likiisha.
Iyo apo ni bonge la tibaYap tunampa tu makondee ya hajaaa yan familia yetu ukifanya kosaa kubwa unawekwa mtu kati unapigwaa kama mwiziii unapelekwa hospital alafu wanakuacha ukirudia habar ile ileee so hatunaga matukio ya ajabu ni mbinu aliyotupa babu yetu so heshima ipo kwenye mstari.
Ndio mkuu....Hii kitu unawezajiwekea mwenyewe???
InapatikanajeNdio mkuu....
Hahah fasi ya dwasi,kaskazini moja hio chalaa angu.Pale kwa fasi, I feel DRC tone Bro!
Acheni kumtibua mzee wa watu
Mnampa stress wenyewe mpaka pombe inakuwa pa kujifichia
Ongea ukweli kama unataka msaada na ushauri
Baba kawakuza mpaka hapo halafu unasema baba anampiga mama
Mwambie mama aweke maji mdomoni na asiyameze pindi mme wake anapoingia nyumbani