Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Damiss unaijua laana ya kupiga mzazi wako wewe?Aisee huyo angekuwa baba yetu tungemchangia tumpe kipondoo cha haja akalazwe hospital miez sitaaa nahis na pombe ataacha akirudia tunampa tena kipondooo akianza tu kumpiga mazaa lazima tuchangieee tumpige kisawasawaaa.
Aisee ngoja wajuvi wajee watusaidiee mbinu.
Nzuri hiyoWeka na dawa ya kuacha kupiga punyeto... Hata laki nitalipa
Ukitumiwa ujumbe kwa simu hujibu.Dakk 10 tu
Pesa baada ya kupona
Mkuu naomba hiyo dawa ya kuacha kutumia udongo nimpe shemeji yenu aache ulevi wa kula udongo.Jamani nitafutieni wale wasanii sina mawasiliano yao ila ntawatibu bureee
.
Mgumu wa kutumia dawa unaweza mwekea kwenye chakula Maji au kinywaji anachokipenda
0653551607
View attachment 461402
KaribuNgoja nimalizie bapa langu hapa ntakuja
Hakuna dawa yoyote kama wewe hujaamuaWadau hivi kuna dawa ya kuacha hii kitu?!
Ipo Mkuu...kuishiwaWadau hivi kuna dawa ya kuacha hii kitu?!