mitindo huru
JF-Expert Member
- Apr 26, 2016
- 1,610
- 1,601
Ni rahisi kuliko unavyofikiaria ChiefSio rahisi kama unavyowaza chief.
Tambua ni watu wengi wahanga wa ulevi/unywaji wanaosumbuliwa na kuchukia hali hiyo,ila kuacha ni mtihani mkubwa sana...njia nyepesi kama hiyo haitatui tatizo.Ni rahisi kuliko unavyofikiaria Chief
Kuacha pombe sio kazi ngumu kama unavyoamini wewe.Tambua ni watu wengi wahanga wa ulevi/unywaji wanaosumbuliwa na kuchukia hali hiyo,ila kuacha ni mtihani mkubwa sana...njia nyepesi kama hiyo haitatui tatizo.
Nakubaliana na wewe Mkuu kabisaSio rahisi kama unavyowaza chief.
Nimekaa kwa kitanda hapa nimepiga safari zangu mbili kubwa na katoti, Yan niko OK mbaya kabisahahahaaahah, inatoa stress kwa muda, kesho yake unaanza kuwaza hela uliyotumia, hahahahahah
hahahahahahaahhaa. Hongera sanaNimekaa kwa kitanda hapa nimepiga safari zangu mbili kubwa na katoti, Yan niko OK mbaya kabisa
heeeeeeeeeeeeeeeeeeee!! wengine wanasema ya Punda, wengine ya kondoookunywa maziwa ya nguruwe aka kiti moto, series not jok
ππππππππDawa ya kuacha pombe ni kuacha pombe.