mkuu pole sana!, kwenye mada, nitatizo kubwa nadawa unayo wewe mwenyewe lkn huijui broo tatizo hili siwewe mwenyewe ni wa2 wengi wanalo lkn haowengi inakua hiv "umeajiriwa ktk ofc au kampuni fln muajiri wako anakua nimnywaji sana na anakua naww ktk kmpn zake zakila siku huwezi kukataa ukikataa unafukuzwa kazi, au unakuta wfanya kazi ktk ofic yako wana vikao vya kila jioni na nivya pombe ukijitenga kesho wanaanza kukuchongea ufukuzwe nilazima utajiunga nao, au unakuta wewe unafanya kazi ukitoka jioni unakutana na marafiki wa mtaani kwako na unakuta hawana kazi yao nikukupa umbea unapo rudi na mnakaa bar unajikuta unanunua2 mwanzo wa wiki mpaka mwisho wa wiki kama huna unajikuta unakopa bia bar ukizinyaka mwisho wa mwezi unalipa! broo chagua kampani uliopo nayo iache kama unataka kubadilika angalia, na kama unakunywa pombe kali unachosha in na likishindwa ku chuja uta anza kuvimba mashavu na badae 2ta kukosa wana jf broo kua makini fanya maamuzi sahihi,