Ufala #1 ni
Kunywa pombe halaf inakutesa mwenyewe, unawasumbua wengine au inakugeuza kua mtumwa
Ufala #2 ni
Hunywi pombe halaf huna unachokifanya
Ufala #3 ni
Kuchukia pombe na kupenda sigara
Ufala #4 ni
kuanza kupayuka au Kujisifia umelewa kwa pombe ya kununuliwa
Ufala #5 ni
Kua mlevi wa kupindukia wa pombe, zinaa na sigara kwa pamoja
Ufala #6 ni
Kuchukia pombe na kufurahia kudanga na kuish kwa ndugu
Ufala #7 ni
kufurahia pombe na kufurahia kudanga/mizinga na kuish kwa ndugu
Ufala #8 ni
kumchukia mlevi ikiwa hajabughudhi maisha yako wala ya mwingne
Ufala #9 ni
Kua mlevi badala ya mnywaji
Ufala #10 ni
kuona starehe yako ni bora kuliko ya mwenzako.
Ufala #11 ni
kuacha kunywa pombe halaf hakuna mabadiliko yoyote ya kiuchumi, ki fikra, ki maamuzi/vitendo n.k
Ufala #12 ni
kutokua na starehe ya kukupa furaha hata moja ila bd unapambana tu kutafta maisha.
Ufala #13 ni
Kumdharau/kumchukia mlevi ikiwa akili yako ukiwa mzima na ya kwake akiwa amelewa zinalingana au amekupita
Mwisho kbsa, kama katika utafutaji wako unawaza mafanikio tu na hujawah kupanga/waza kutafuta furaha na amani, Huo ni ufala na Nusu na wewe ni popona
Akili kumchwako, za kuambiwa changanya na zako.