Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,656
- 6,886
Dawa unayo mwenyewe Hakuna Dawa kama maamuzHabarini za wakati huu wote humu
Mimi kila mwaka najiwekea malengo za kufanya jambo/mambo flani au kuacha vitu/tabia ambazo zinanirudisha nyuma kimaendeleo.
Mwaka unaoisha nilipanga sichepuki na nikaweka mikakati namna ya kupambana na hilo. Nashukuru Mungu nimeweza hilo.
Mwaka huu nahitaji kuacha pombe, japo nimepunguza kwa kiwango kikubwa. Maana mwanzoni sikuweza kulala bila kunywa ila kwa sasa naweza bila tatizo japo kuna watu imebidi nikosane nao ili nifikie hatua hiyo.
Ishu inayonitatiza ni kuwa nahisi nisipokuwa makini ntarudi kulekule kwa sababu hamu ya kunywa haijaisha ila najikaza sana.
Nachowaomba ni kujua, je hakuna dawa ya kumfanya mtu aione kama uchafu flani hivi ili nisiwe naitamani? Nilishawahi kusikia watu wanaongea kuwa ipo lakini sina ushahidi kama kweli ipo. Msaada tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani huwa unashikiwa glas? Dawa ni kuamua tu kuacha na uende ukaombewe hilo pepo likutoke huku ukikaa mbali na maeneo ya barHabarini za wakati huu wote humu
Mimi kila mwaka najiwekea malengo za kufanya jambo/mambo flani au kuacha vitu/tabia ambazo zinanirudisha nyuma kimaendeleo.
Mwaka unaoisha nilipanga sichepuki na nikaweka mikakati namna ya kupambana na hilo. Nashukuru Mungu nimeweza hilo.
Mwaka huu nahitaji kuacha pombe, japo nimepunguza kwa kiwango kikubwa. Maana mwanzoni sikuweza kulala bila kunywa ila kwa sasa naweza bila tatizo japo kuna watu imebidi nikosane nao ili nifikie hatua hiyo.
Ishu inayonitatiza ni kuwa nahisi nisipokuwa makini ntarudi kulekule kwa sababu hamu ya kunywa haijaisha ila najikaza sana.
Nachowaomba ni kujua, je hakuna dawa ya kumfanya mtu aione kama uchafu flani hivi ili nisiwe naitamani? Nilishawahi kusikia watu wanaongea kuwa ipo lakini sina ushahidi kama kweli ipo. Msaada tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitakuja InboxNilijaribu sana ila niliporudia ujinga huo nikajikuta naongeza mara 2 zaidi ya juzi. Niliwahi kuacha pombe for 2 yrs. Niliporudia nikawa chapombe.
Ila, tangu nikutane na huyu Mwanamume aitwaye Yesu Kristo Mnazareti. Akaniokoa, leo ni zaidi ya miaka 39 sijawahi, nasema tena; Sijawahi hata kuitamani tena. Maisha yamekuwa Swafiii kama ulaya.
Jaribu njia/dawa hiyo. Yesu Kristo Mnazareti. Matayo 11:28 Njooni kwangu ninyi nyote mnaosumbuka na kelemewa na mizigo, nami nitawapumzisha. Kwisha
Karib sana
IPO mkuu hapa dawa ya kuacha pombe.Naombeni msaada mwenye kufahamu Tiba ya kumwezesha mtu kuacha pombe kabisaa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yapo makanisa mengine pombe ziko humohumo.Kama ni mkristu mfungie kanisani, kama ni mwislamu mfungie msikitini na kama hayumo katika hizo dini mbili basi mwache alale kwenye kilabu cha pombe akizinduka amay be ataacha!
Wakuu dawa ya kuacha pombe ipo. Wenye uhitaji mpo mikoa gani.Habarini za wakati huu wote humu
Mimi kila mwaka najiwekea malengo za kufanya jambo/mambo flani au kuacha vitu/tabia ambazo zinanirudisha nyuma kimaendeleo.
Mwaka unaoisha nilipanga sichepuki na nikaweka mikakati namna ya kupambana na hilo. Nashukuru Mungu nimeweza hilo.
Mwaka huu nahitaji kuacha pombe, japo nimepunguza kwa kiwango kikubwa. Maana mwanzoni sikuweza kulala bila kunywa ila kwa sasa naweza bila tatizo japo kuna watu imebidi nikosane nao ili nifikie hatua hiyo.
Ishu inayonitatiza ni kuwa nahisi nisipokuwa makini ntarudi kulekule kwa sababu hamu ya kunywa haijaisha ila najikaza sana.
Nachowaomba ni kujua, je hakuna dawa ya kumfanya mtu aione kama uchafu flani hivi ili nisiwe naitamani? Nilishawahi kusikia watu wanaongea kuwa ipo lakini sina ushahidi kama kweli ipo. Msaada tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app