Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,656
- 6,886
Mkuu ukiugua ugonjwa na daktari akakwambia ukinywa pombe glas 1 unakufa, naamini ungeacha kabisa.
Huo ni mchezo wa akili tu kichwani maana unashindana na nafsi yako ovu, ukiamua kuacha leo hii milele unaacha bila dawa ila ukichukulia hiyo hali ni kama ugonjwa kuacha dawa lazima utalala hapo milele na maendeleo utayaona kwa wengine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ni mchezo wa akili tu kichwani maana unashindana na nafsi yako ovu, ukiamua kuacha leo hii milele unaacha bila dawa ila ukichukulia hiyo hali ni kama ugonjwa kuacha dawa lazima utalala hapo milele na maendeleo utayaona kwa wengine.
Sent using Jamii Forums mobile app