AHAHAHHAHAHA !hili somo mi huwa sifundishi darasani kwetu lakini ila najua wanafunzi wangu mnalilipi tuition hili ngoja aje Kaizer hapa usikie mapwenti yake aliyotoa mchikichini au kwa ustaadh temekeMpaka sasa sijapata sababu yoyote ya kuacha pombe especially beer.. Yaani nikiikumbuka Guiness najisikia kama naimisi pepo.
Nakushauri uache pombe pale tu:
1. Unapokuwa umeshauriwa na daktari kwa sababu za kiafya
2. Unapokuwa huna hela ya kununua pombe hasa bia
Ni hayo tu kwa leo
Nakutakia unywaji mwema. Drink responsibly
tafuta gal msaidiane kuanza maisha coz mayb unakunywa kutoa gap la upweke or some emptyness smhw
tafuta gal msaidiane kuanza maisha coz mayb unakunywa kutoa gap la upweke or some emptyness smhw
Heshima kwenu brothers and sisters,
Naombeni ushauri jinsi ya kuacha kunywa bia as nimejitahid nimeshindwa,,, kila nikisema leo naacha najikuta naacha kunywa ndovu nahamia castle light, nikisema tena naacha unakuta natoka kwenye castle light nahamia windhoek,, nifanye nini ili niache maana kila siku nisipopata hata bia 4 usingiz hauji najihis kama mgonjwa.. Hii inakuaje? Maana juzi b mkubwa kaja kunivisit kwangu hadi akachoka as akifungua friji hakuna cha nyanya wala bilinganya ni castle tu zimejipanga hadi nikajisikia vibaya na hapa ndo kwanza 26,,,, nimebahatika kupata ki ajira after school but daily naona mshahara hautoshi but wenzangu wanapata mshahara mdogo na hawana marupurupu yoyote lakini unawatosheleza hii inakuaje,, nifanyeje niache bia mwenzenu
Nimeamua kuwa open as hapa hatujuani lakini tunashauriana mambo muhimu na najua wengi mna njia za kuacha bia..
Na akimpata girl chapombe kuliko yeye?
tafuta gal msaidiane kuanza maisha coz mayb unakunywa kutoa gap la upweke or some emptyness smhw
mamdogo mi nakufagilia kwa kucheck opportunities ,ah we ni noma i see! MKATA KIU hebu fata ushauri wa mamduchu hapa ili uache pombe!ahahhahahhaaah chezeya mamdogo akiwa na darubini ya fursa wewe!ala!
Sababu ya wewe kuacha pombe ni nini hasahasa? Je lengo lako ni kupunguza matumizi ya pesa au unahis huenjoy unapokunywa?Au wa sababu bi mkubwa amezikuta zimejaa ktk friji? Lazima uwe na dhamira ya dhati kama ni kwa 7babu zipi unataka uache kunywa pombe vinginevyo usipojua sababu hasa ya kuacha hautaacha hata siku moja sanasana utaishia kujaribu then unarudia tena.So stick to reason ya msingi ya kukufanya kuacha na isimamie,you will make it!!!!!!
Heshima kwenu brothers and sisters,
Naombeni ushauri jinsi ya kuacha kunywa bia as nimejitahid nimeshindwa,,, kila nikisema leo naacha najikuta naacha kunywa ndovu nahamia castle light, nikisema tena naacha unakuta natoka kwenye castle light nahamia windhoek,, nifanye nini ili niache maana kila siku nisipopata hata bia 4 usingiz hauji najihis kama mgonjwa.. Hii inakuaje? Maana juzi b mkubwa kaja kunivisit kwangu hadi akachoka as akifungua friji hakuna cha nyanya wala bilinganya ni castle tu zimejipanga hadi nikajisikia vibaya na hapa ndo kwanza 26,,,, nimebahatika kupata ki ajira after school but daily naona mshahara hautoshi but wenzangu wanapata mshahara mdogo na hawana marupurupu yoyote lakini unawatosheleza hii inakuaje,, nifanyeje niache bia mwenzenu
Nimeamua kuwa open as hapa hatujuani lakini tunashauriana mambo muhimu na najua wengi mna njia za kuacha bia..