Hongera sana. Pombe ina hasara zaidi mwilini kuliko faida. Na unaweza kuacha, my nephew has more than 17 years toka aache jumla jumla.
Kwanza jiaminishe kwa nini ni muhimu kuacha pombe. Focus kwenye sababu za kiimani, kiafya na kisosholojia (pombe inaharibu mahusiano jamani, mnaokunywa more than three beers a day i am sorry kuwaamvia mnadhraulika kwa wake zenu. Painful truth, unless mmeoa pampula wenzenu mkifika home mnakoromeana tu).
Challenge kubwa utapata kwa walevi wenzio wa zamani. Ukijiaminisha una sababu za kitosha then utawakabili. Hata ukishindwa ukarudi nyuma its ok, amka uanze upya na utaweza. Haifanikiwi kwa siku moja tu, jipe muda. Kila la kheri