Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nmekuwa mnywaji sana siku hizi. Nataka niache bia kabisa yaaani. Mwenye tips anisaidie.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Huyu kafulia.Hamna lolote<br />By adakiss23<br />
Nmekuwa mnywaji sana siku hizi. Nataka niache bia kabisa yaaani. Mwenye tips anisaidie. <br />
<br />
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
<br />
umefulia au? toa sababu za kuacha ili upate msaada.
Nmekuwa mnywaji sana siku hizi. Nataka niache bia kabisa yaaani. Mwenye tips anisaidie.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
nilisikia maziwa ya kitimoto unachanganya kwenye pombe unayokunywa unatapika inakuwa mwisho wa kunywa
Wewe unataka uache pombe, hii umei-post siku nyingi. Unachonishangaza ni kwamba pamoja na kupewa ushuri wa kutosha bado jana ulikunywa hadi kushindwa kujielewa na ukafikia hatua ya kumuomba mwanaJF yeyote aliye tayari kutoka na wewe afunguke....au si wewe? Au ushauri wote uliopewa na wadau wote hakuna hata mmoja uliokusaidia? Ukiamua kufanya jambo fanya acha kusita-sita.