Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Huwa mnakutana wapi ili nije maana si unajua humu tunatumia majina tofauti!!!
 
Ni miaka zaidi ya kumi na tano kila nikijaribu nashindwa!!!
Great thinker what can i do so that never and never take in any alcoholic drink!!!!!

Lile zuri nilipendalo silitendi,Lile baya nisolipenda ndio natenda!!!!!!!!!!

Mwendee Yesu Kristo ukiwa na nia ya dhati kabisa ya kutubu dhambi zote na kumaanisha kuziacha,ikiwemo hiyo ya ulevi. Atakusamehe na kukupa uwezo wa kuzishinda kila zinapojaribu kukurudia. Soma Yohana 1:12....." Bali Wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu,ndio wale waliaminio Jina lake"
 
Jiweke karibu na Mungu na uwe mtu wa Ibada utaacha tu.

Mkuu, Nuhu wa Biblia aligonga ile kitu hadi akazima, mwanawe akamchungulia. Halafu ndio alikuwa kipenzi wa Mungu, mwanaume pekee aliyebakishwa baada ya Gharika.
 
Amua kuacha.

dawa ya kuacha chocho ni kuamua kuacha
 
Chagua kati ya sigara na mademu maana pombe hutaki na duniani lazima uishi kwa kufanya kimojawapo
 
kunywa maji lita 3 alafu kunywa maji yaliyochanganywa na magadi nusu lita baada ya hapo kunywa lita moja ya maji yaliyochanganywa na limao au ndimu. Fanya zoezi hili kwa mwezi mmoja lazima pombe utaacha. Proved to work successfully 100%
 
Tafuta demu wa kizungu hapo utaacha pombe! Maana miaibu itakujaa.
 
Mshauri azime simu kwa siku 3, ndani ya hizo siku 3 aletewe bia ndani tu, asitoke nje maana jua litaharibu dozi.
Siku ya 4 aende kazini, bosi wake akimuuliza kitu asijibu chochote ili mvuke wa bia usijetoka nje ukaharibu dozi. Bosi wake akimpa karatasi nyeupe yenye maandishi aichukue lakini akaisomee nyumbani. Hapo atakuwa amepata suluhisho la kuacha pombe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…