ngafu.fijo
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 1,237
- 1,099
Swali gumu hili....all in all raha yake ni kulewa..raha yake hasa ni nini?
husika na mada tajwa hapo juu
leo nimemshuhudia mtu kanywa vikonyogani vidogo vitatu ndogo yake ya yule jamaa anatunisha misuli kwenye chupa(wanaviita vischana sijui) ndo mara ya kwanza halafu kwa sababu katapeliwa
jamaaa ameteseka sanaa alikua analia tu na hakua amekula kitu tangu asubuhi anatia huruma sana kila mda anasema anakufa ila tumemsaidia yupo vizuri sasa hivi nlikua namuelewa sana tu anavyojiskia
huyu jamaa amenikumbusha na mm kwa mara ya kwanza nilivyokunywa pombe,ilikua wine kipindi nipo boarding school siwezi sahau niliona kama deka inapaa nilitapika sanaa chumba kizima kilikua kinanuka pombe kwa kweli nilijuta na nikajiapiza sitokunywa tena,hangover yake ilinikaa kama siku mbili hivi mdomo nlikua nahisi kama una nuka wine mda wote hata nipige mswaki vipi,nikawa najihisi nanuka pombe masaa 24 nlijiskia vibaya sana nikajiapiza sitokaa ninywe pombe tena..tangu siku hiyo nikisikia harufu ya wine natamani kutapika..sikukoma
mara ya pili nilikunywa kilimanjaro nikatapika sana,nikajua haya mambo sio yangu niaachana nayo mpaka leo sijui hata bei ya bia..nashukuru mungu mwili wangu una react vibaya kwa pombe
najua kuna watu wanataka watoke huko na wengine wanataka waende ..tuanze na hawa waliotoka,kisa gani mlikutana nacho mpaka mkaacha,njia gani mlitumia kuacha
hahaha ukishalewa unapata raha gani sasaSwali gumu hili....all in all raha yake ni kulewa..
najivuniaMtoa mada kwanini unatumia hiyo nembo kwenye Avatar yako?
raha yake hasa ni nini?
kuna tofauti kati ya divai na mvinyo kwanza?Mkuu Divai ni sababu tosha ya kwamba MUNGU anatupenda na anataka kutuona tukifurahi
raha ya pombe ni kwamba inakupeleka mahali ambapo chochote hakiwezi kukufikisha
heheehehe poleeboarding nilikunywa mbege nkatapika choo kzma harufu mpaka bwen zma lilijua nimelewa...
NAKUMBUKA Ni Mpenzi Wangu, Ambaye Amekuja Kuwa Mke Wangu Hadi Leo! Ndiye Aliyenishawishi Kuacha Gambe!!
Wazee!husika na mada tajwa hapo juu
leo nimemshuhudia mtu kanywa vikonyogani vidogo vitatu ndogo yake ya yule jamaa anatunisha misuli kwenye chupa(wanaviita vischana sijui) ndo mara ya kwanza halafu kwa sababu katapeliwa
jamaaa ameteseka sanaa alikua analia tu na hakua amekula kitu tangu asubuhi anatia huruma sana kila mda anasema anakufa ila tumemsaidia yupo vizuri sasa hivi nlikua namuelewa sana tu anavyojiskia
huyu jamaa amenikumbusha na mm kwa mara ya kwanza nilivyokunywa pombe,ilikua wine kipindi nipo boarding school siwezi sahau niliona kama deka inapaa nilitapika sanaa chumba kizima kilikua kinanuka pombe kwa kweli nilijuta na nikajiapiza sitokunywa tena,hangover yake ilinikaa kama siku mbili hivi mdomo nlikua nahisi kama una nuka wine mda wote hata nipige mswaki vipi,nikawa najihisi nanuka pombe masaa 24 nlijiskia vibaya sana nikajiapiza sitokaa ninywe pombe tena..tangu siku hiyo nikisikia harufu ya wine natamani kutapika..sikukoma
mara ya pili nilikunywa kilimanjaro nikatapika sana,nikajua haya mambo sio yangu niaachana nayo mpaka leo sijui hata bei ya bia..nashukuru mungu mwili wangu una react vibaya kwa pombe
najua kuna watu wanataka watoke huko na wengine wanataka waende ..tuanze na hawa waliotoka,kisa gani mlikutana nacho mpaka mkaacha,njia gani mlitumia kuacha
lakini wanakua hawaachi bila sababu,lazima kutakua na sababu nyuma hata kama ni ndogo vipiWazee!
Shetani wa mtu ni mtu mwenyewe! Akitendacho MTU ni nafsi humtuma kuna nafsi mbili katika mwanadamu ya wema na uchafu.
Hivyo ikifikia nafsi kukutuma uache kitu sio lazima uwe umekutana na jambo nasema hivyo sababu nimeona wengi tu wanajikata katika ushabiki huo bila kuambiwa na MTU au adha yoyote.
Nafsi unaweza mtuma MTU akinywa atamani agegedwe tumewaona!
sababu hapo ni babyNAKUMBUKA Ni Mpenzi Wangu, Ambaye Amekuja Kuwa Mke Wangu Hadi Leo! Ndiye Aliyenishawishi Kuacha Gambe!!
Sio Kweli, Kutenda Jambo Jema Au Ovu, Ni Ushawishi Na Msukumo Toka Nje!!! Hivi Wataka Kutuambia Hapa, Eti MTU Ambaye Hajawahi Kuonja Na Wala Hajui Radha Ya Pombe Na Hana RAFIKI /MARAFIKI Wake Wa Karibu Wawe Wa Kike / Kiume, Ambao Wao Ni Wazoefu Ktk. Mambo Hayo!!!! YEYE Binafsi Anaanza Vp Kwenda Bar Na Kuagiza Pombe Na Kuanza Kunywa!?? Bila Ya Kuwa Na Kampani Ya KUMSHAWISHI!!! VIVYO Hivyo Ataanza KUSHIRIKI Ktk. Kutenda Yalio Mema, Wkt Watu Walio Karibu Yake Woote, Wapiga Gambe, Msuba, Ngada, Wazinzi N.k!!!!!??? HIVYO Ni Wazi Kuwa" IBILISI WA MTU NI MTU "WALA Halina UBISHI!!! UKIWA Ndani Ya Kundi La Marafiki Mwema, Basi Utashawishika Kuiga Mema Na Kwa Wale Wa Watenda Maovu, Kadhalika Utaiga Yale Watendayo!!!Wazee!
Shetani wa mtu ni mtu mwenyewe! Akitendacho MTU ni nafsi humtuma kuna nafsi mbili katika mwanadamu ya wema na uchafu.
Hivyo ikifikia nafsi kukutuma uache kitu sio lazima uwe umekutana na jambo nasema hivyo sababu nimeona wengi tu wanajikata katika ushabiki huo bila kuambiwa na MTU au adha yoyote.
Nafsi unaweza mtuma MTU akinywa atamani agegedwe tumewaona!
bora yako ww sisi imetukataaMore than 20 years nakula monde na sijawahi kufikiri kutengana nalo halijawahi nipa balaa na sitaki hata kusikia dawa ya kuacha nisije nikajaribu bure acha niendelee kulipa kodi ili lami na dawa hosp zipatikane.
hahahaha duuu bonge la aibuWazoefu wanasema kama unania ya kuacha pombe basi wewe amua kuacha tu wala usisubiri mpaka ukumbwe na matukio, Matukio ya ulevi mengine yanakuwa mabaya sana.
Kunakipindi flani kisosora Tanga kulikuwa kunajamaa anakunywa mpaka analewa chakariii,
Sasa bwana sikunahiyo alikuwa ametoka zake kulewa mida ya night kali akawa anarudi zake hom, inasemekana alipokuwa njiani pombe zilimzidi nguvu akajikuta anaangusha gari(kulala) njiani.
Basi unaambiwa wakatokea watoto wa kitaa wakamfi.r.a.. na kumuacha uch.i mpaka asubuhi.
Yule jamaa alihama mtaa na inavosemekana mpaka hivisasa Halewi tena.
Kuna msela kitaani kwetu naye alipigwa miti na wahuni baada ya kukolea ulabu lakini cha ajabu mpaka leo bado yupo kitaa hana noma wala nini...anadai hao wahuni wamef.i.ra pombe na sio yeye!.Wazoefu wanasema kama unania ya kuacha pombe basi wewe amua kuacha tu wala usisubiri mpaka ukumbwe na matukio, Matukio ya ulevi mengine yanakuwa mabaya sana.
Kunakipindi flani kisosora Tanga kulikuwa kunajamaa anakunywa mpaka analewa chakariii,
Sasa bwana sikunahiyo alikuwa ametoka zake kulewa mida ya night kali akawa anarudi zake hom, inasemekana alipokuwa njiani pombe zilimzidi nguvu akajikuta anaangusha gari(kulala) njiani.
Basi unaambiwa wakatokea watoto wa kitaa wakamfi.r.a.. na kumuacha uch.i mpaka asubuhi.
Yule jamaa alihama mtaa na inavosemekana mpaka hivisasa Halewi tena.