Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

husika na mada tajwa hapo juu

leo nimemshuhudia mtu kanywa vikonyogani vidogo vitatu ndogo yake ya yule jamaa anatunisha misuli kwenye chupa(wanaviita vischana sijui) ndo mara ya kwanza halafu kwa sababu katapeliwa
jamaaa ameteseka sanaa alikua analia tu na hakua amekula kitu tangu asubuhi anatia huruma sana kila mda anasema anakufa ila tumemsaidia yupo vizuri sasa hivi nlikua namuelewa sana tu anavyojiskia

huyu jamaa amenikumbusha na mm kwa mara ya kwanza nilivyokunywa pombe,ilikua wine kipindi nipo boarding school siwezi sahau niliona kama deka inapaa nilitapika sanaa chumba kizima kilikua kinanuka pombe kwa kweli nilijuta na nikajiapiza sitokunywa tena,hangover yake ilinikaa kama siku mbili hivi mdomo nlikua nahisi kama una nuka wine mda wote hata nipige mswaki vipi,nikawa najihisi nanuka pombe masaa 24 nlijiskia vibaya sana nikajiapiza sitokaa ninywe pombe tena..tangu siku hiyo nikisikia harufu ya wine natamani kutapika..sikukoma

mara ya pili nilikunywa kilimanjaro nikatapika sana,nikajua haya mambo sio yangu niaachana nayo mpaka leo sijui hata bei ya bia..nashukuru mungu mwili wangu una react vibaya kwa pombe

najua kuna watu wanataka watoke huko na wengine wanataka waende ..tuanze na hawa waliotoka,kisa gani mlikutana nacho mpaka mkaacha,njia gani mlitumia kuacha

Mtoa mada kwanini unatumia hiyo nembo kwenye Avatar yako?
 
Mkuu Divai ni sababu tosha ya kwamba MUNGU anatupenda na anataka kutuona tukifurahi

raha ya pombe ni kwamba inakupeleka mahali ambapo chochote hakiwezi kukufikisha
kuna tofauti kati ya divai na mvinyo kwanza?
 
boarding nilikunywa mbege nkatapika choo kzma harufu mpaka bwen zma lilijua nimelewa...
 
NAKUMBUKA Ni Mpenzi Wangu, Ambaye Amekuja Kuwa Mke Wangu Hadi Leo! Ndiye Aliyenishawishi Kuacha Gambe!!
 
NAKUMBUKA Ni Mpenzi Wangu, Ambaye Amekuja Kuwa Mke Wangu Hadi Leo! Ndiye Aliyenishawishi Kuacha Gambe!!
husika na mada tajwa hapo juu

leo nimemshuhudia mtu kanywa vikonyogani vidogo vitatu ndogo yake ya yule jamaa anatunisha misuli kwenye chupa(wanaviita vischana sijui) ndo mara ya kwanza halafu kwa sababu katapeliwa
jamaaa ameteseka sanaa alikua analia tu na hakua amekula kitu tangu asubuhi anatia huruma sana kila mda anasema anakufa ila tumemsaidia yupo vizuri sasa hivi nlikua namuelewa sana tu anavyojiskia

huyu jamaa amenikumbusha na mm kwa mara ya kwanza nilivyokunywa pombe,ilikua wine kipindi nipo boarding school siwezi sahau niliona kama deka inapaa nilitapika sanaa chumba kizima kilikua kinanuka pombe kwa kweli nilijuta na nikajiapiza sitokunywa tena,hangover yake ilinikaa kama siku mbili hivi mdomo nlikua nahisi kama una nuka wine mda wote hata nipige mswaki vipi,nikawa najihisi nanuka pombe masaa 24 nlijiskia vibaya sana nikajiapiza sitokaa ninywe pombe tena..tangu siku hiyo nikisikia harufu ya wine natamani kutapika..sikukoma

mara ya pili nilikunywa kilimanjaro nikatapika sana,nikajua haya mambo sio yangu niaachana nayo mpaka leo sijui hata bei ya bia..nashukuru mungu mwili wangu una react vibaya kwa pombe

najua kuna watu wanataka watoke huko na wengine wanataka waende ..tuanze na hawa waliotoka,kisa gani mlikutana nacho mpaka mkaacha,njia gani mlitumia kuacha
Wazee!
Shetani wa mtu ni mtu mwenyewe! Akitendacho MTU ni nafsi humtuma kuna nafsi mbili katika mwanadamu ya wema na uchafu.
Hivyo ikifikia nafsi kukutuma uache kitu sio lazima uwe umekutana na jambo nasema hivyo sababu nimeona wengi tu wanajikata katika ushabiki huo bila kuambiwa na MTU au adha yoyote.
Nafsi unaweza mtuma MTU akinywa atamani agegedwe tumewaona!
 
Wazee!
Shetani wa mtu ni mtu mwenyewe! Akitendacho MTU ni nafsi humtuma kuna nafsi mbili katika mwanadamu ya wema na uchafu.
Hivyo ikifikia nafsi kukutuma uache kitu sio lazima uwe umekutana na jambo nasema hivyo sababu nimeona wengi tu wanajikata katika ushabiki huo bila kuambiwa na MTU au adha yoyote.
Nafsi unaweza mtuma MTU akinywa atamani agegedwe tumewaona!
lakini wanakua hawaachi bila sababu,lazima kutakua na sababu nyuma hata kama ni ndogo vipi
 
Wazee!
Shetani wa mtu ni mtu mwenyewe! Akitendacho MTU ni nafsi humtuma kuna nafsi mbili katika mwanadamu ya wema na uchafu.
Hivyo ikifikia nafsi kukutuma uache kitu sio lazima uwe umekutana na jambo nasema hivyo sababu nimeona wengi tu wanajikata katika ushabiki huo bila kuambiwa na MTU au adha yoyote.
Nafsi unaweza mtuma MTU akinywa atamani agegedwe tumewaona!
Sio Kweli, Kutenda Jambo Jema Au Ovu, Ni Ushawishi Na Msukumo Toka Nje!!! Hivi Wataka Kutuambia Hapa, Eti MTU Ambaye Hajawahi Kuonja Na Wala Hajui Radha Ya Pombe Na Hana RAFIKI /MARAFIKI Wake Wa Karibu Wawe Wa Kike / Kiume, Ambao Wao Ni Wazoefu Ktk. Mambo Hayo!!!! YEYE Binafsi Anaanza Vp Kwenda Bar Na Kuagiza Pombe Na Kuanza Kunywa!?? Bila Ya Kuwa Na Kampani Ya KUMSHAWISHI!!! VIVYO Hivyo Ataanza KUSHIRIKI Ktk. Kutenda Yalio Mema, Wkt Watu Walio Karibu Yake Woote, Wapiga Gambe, Msuba, Ngada, Wazinzi N.k!!!!!??? HIVYO Ni Wazi Kuwa" IBILISI WA MTU NI MTU "WALA Halina UBISHI!!! UKIWA Ndani Ya Kundi La Marafiki Mwema, Basi Utashawishika Kuiga Mema Na Kwa Wale Wa Watenda Maovu, Kadhalika Utaiga Yale Watendayo!!!
 
More than 20 years nakula monde na sijawahi kufikiri kutengana nalo halijawahi nipa balaa na sitaki hata kusikia dawa ya kuacha nisije nikajaribu bure acha niendelee kulipa kodi ili lami na dawa hosp zipatikane.
 
More than 20 years nakula monde na sijawahi kufikiri kutengana nalo halijawahi nipa balaa na sitaki hata kusikia dawa ya kuacha nisije nikajaribu bure acha niendelee kulipa kodi ili lami na dawa hosp zipatikane.
bora yako ww sisi imetukataa
 
Wazoefu wanasema kama unania ya kuacha pombe basi wewe amua kuacha tu wala usisubiri mpaka ukumbwe na matukio, Matukio ya ulevi mengine yanakuwa mabaya sana.
Kunakipindi flani kisosora Tanga kulikuwa kunajamaa anakunywa mpaka analewa chakariii,
Sasa bwana sikunahiyo alikuwa ametoka zake kulewa mida ya night kali akawa anarudi zake hom, inasemekana alipokuwa njiani pombe zilimzidi nguvu akajikuta anaangusha gari(kulala) njiani.
Basi unaambiwa wakatokea watoto wa kitaa wakamfi.r.a.. na kumuacha uch.i mpaka asubuhi.
Yule jamaa alihama mtaa na inavosemekana mpaka hivisasa Halewi tena.
 
Wazoefu wanasema kama unania ya kuacha pombe basi wewe amua kuacha tu wala usisubiri mpaka ukumbwe na matukio, Matukio ya ulevi mengine yanakuwa mabaya sana.
Kunakipindi flani kisosora Tanga kulikuwa kunajamaa anakunywa mpaka analewa chakariii,
Sasa bwana sikunahiyo alikuwa ametoka zake kulewa mida ya night kali akawa anarudi zake hom, inasemekana alipokuwa njiani pombe zilimzidi nguvu akajikuta anaangusha gari(kulala) njiani.
Basi unaambiwa wakatokea watoto wa kitaa wakamfi.r.a.. na kumuacha uch.i mpaka asubuhi.
Yule jamaa alihama mtaa na inavosemekana mpaka hivisasa Halewi tena.
hahahaha duuu bonge la aibu
 
Wazoefu wanasema kama unania ya kuacha pombe basi wewe amua kuacha tu wala usisubiri mpaka ukumbwe na matukio, Matukio ya ulevi mengine yanakuwa mabaya sana.
Kunakipindi flani kisosora Tanga kulikuwa kunajamaa anakunywa mpaka analewa chakariii,
Sasa bwana sikunahiyo alikuwa ametoka zake kulewa mida ya night kali akawa anarudi zake hom, inasemekana alipokuwa njiani pombe zilimzidi nguvu akajikuta anaangusha gari(kulala) njiani.
Basi unaambiwa wakatokea watoto wa kitaa wakamfi.r.a.. na kumuacha uch.i mpaka asubuhi.
Yule jamaa alihama mtaa na inavosemekana mpaka hivisasa Halewi tena.
Kuna msela kitaani kwetu naye alipigwa miti na wahuni baada ya kukolea ulabu lakini cha ajabu mpaka leo bado yupo kitaa hana noma wala nini...anadai hao wahuni wamef.i.ra pombe na sio yeye!.
 
Pombe mimi nakunya nikitaka, nisipotaka sinywi.

Naweza kunywa kila siku mwenzi ukaisha au miezi 2, ila ninaweza pia kukaa mwezi au miezi 2 bila kunywa.
 
Back
Top Bottom