this is theory...kumrudia ndio kufanyaje....Mbona ni rahisi kuacha pombe? Mrudie Mungu naye atakata kabisa kiu ya pombe na utakuwa mtu mpya,kuwa mtu wa sala na maombi na utakuwa umejengeka KISAIKOLOJI na kuishinda tamaa ya pombe.
Hongera mkuu, crew zinaumiza sana... Zoez nimeanza. Bahati mbaya uwanja umejaa maji. Sasa hiv nafanya light exercises push ups na pia baiskel ya mazoez.huna pepo, wala nini, Fanya hivi amua kuacha, ulishawahi waza ukifungwa gerezani au ukiumwa utaendelea kunywa? Jipe majukumu makubwa mfano kununua assets ili ubakiwe na hela ya kula tu afu tuone kama utaenda kukopa hela ya kunywea.
Jiweke busy cheza mpira au jogging kabla hujaenda kulala Fanya haya haujawa addicted bado maana kuna stage mi ilifika nikawa natetemeka mikono ila nilipambana kuanza zoezi, kukimbia Makundi ya pombe na sasa nina miezi minne
bro mi nakukubali sana...manake wewe ukiongea tu....yaani unakuwa nywiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiFrom Beyond the tenth by lobsang rampa. Page 149;
One of the most common queries I get is:"My husband is alcoholic. He is the kindest man alive when he is sober,but that is becoming more and more infrequent. I shall have to divorce him. What do you advise?" Jibu linafuatia.stay tuned.
mkuu siyo utumwa wa pesa ila kuna gharama zinatakiwa kurudi.Mkuu anaweza kusema yupo Wapi, na connection nchi nzima. Naweza nika mu assign ampe mtu, au atage jina nita download au kununua bookshop. Tusiwe watumwa wa pesa Aneth Joseph, hujui unaemsaidia akiwa na problem Mungu atakupa vingapi....
Wakati mwingine kufa kuumizana mark my words.
Well said mkuu, nime catch points za muhimu....Tatizo kubwa nadhani haukobize vyakutosha na pia hauna vipaumbele
=Jaribu kuwa na committment weekdays kiasi kwamba unakuwa umechoka siku ikiisha unarudi home kulala
= Tafuta binti unaempenda umuweke kwenye ratiba zako, mara nyingi ile idleness ndio inafanya kwenda kujiunga na wanywaji ila ukiwa nae anaekufuatilia ukowapi etc inasaidia sana kuregulate schedule. Ila angalia usije pata mpenda bata akafanya spending ikawa double.
= Jiwekee malengo ya maana ya kifedha. Kwa mfano kununua kiwanja, kujenga etc kiasi kwamba pesa yako inatumika vilivyo unakuwa huna pesa ya kukesha baa.
= rekodi matumizi yako, andika kila siku matumizi yako kwa makundi mbali mbali utashangaa kwa mwezi umetumia kiasi gani kwenye bata kisha weka budget mfano maximum 10% ya income ya mwezi ndio entertainment na hii sio kunywa tu.
= fanya hobby zenye matokeo chanya, mfano jiunge gym enroll shule za jioni (postgraduate etc) kutokana na level yako hii itakupa discpline pia utakutana na watu ambao ukijilanganisha nao utaona umeachwa nyuma kimaendeleo.
=Pia waone watu wanaitwa lifestyle consultant watakusaidia namna ya kujipanga.
= Mwisho kunywa weekends na ikiwezekana usinywe bia au kwneye low income bar.
mkuu vipi wewe hautaki kitabu.Siku hizi hata kwenye ATM hauendi. Unaingia Simbanking unahamisha kwenda mpesa au tigopesa then unatafuta kibanda cha karibu unarejea.
Mkuu nakuelewa sana. Tuko kwenye mashua moja.
ngoja niendelee kupiga debe. kina mambo mengi hiki kitabu.Hongera mkuu, crew zinaumiza sana... Zoez nimeanza. Bahati mbaya uwanja umejaa maji. Sasa hiv nafanya light exercises push ups na pia baiskel ya mazoez.
Hahaaaaa mkuu@nzalendo usimkatie tamaa dogo atabadilika tu kama ana dhamira ya kweliHuyu hujamuelewa
Hata akienda na ten
Ikiisha
Atakopa!
uko vzr mkuuKama taifa linalokuwa Tanzania inahitaji kuongeza vita dhidi ya ulevi wa pombe ili kuharakisha maendeleo ambayo awamu ya tano inayotaka uchumi wa viwanda.
Ikumbukwe mwezi huu raisi ametengua(ametumbua) waziri charles kitwanga kwa tuhuma kuwa alipata kinywaji (alilewa) kabla ya kuingia bungeni na hatimaye kutojibu sahihi swali lililoulizwa bungeni.
Hiyo imeonekana bungeni lakini ni ishara tosha kuwa ulevi umekithiri Tanzania na unaadhiri utendaji wa wafanyakazi maofisioni.Bila ya kusahau familia nyingi zinaharibikiwa kutokana na ulevi na ndio kiini cha uzalishaji katika taifa yani familia ndio zitatengeneza taifa la viwanda kwa utendaji wao.
Kwa kuwa ulevi umeonekana ni ugonjwa kama magonjwa mengine basi serikali inabidi ichukue hatua za haraka ili kufanikisha taifa la viwanda kujengwa.Hii imekuwa aibu ya taifa ya ndani na nje ya nchi kwa skendo ya ulevi wa waziri wetu.
kutokana na nia ya dhati ya serikali ya kuanzisha taifa la viwanda na uwajibikaji basi vita dhidi ya ulevi unaoonekana kuathiri uwajibikaji na utendaji wa wafanyakazi, serikali inashauriwa:
1:kupitia upya na kurekebisha sheria zinazohusu vilevi/pombe ili kuipa nguvu zaidi serikali na kuibana jamii katika uwajibikaji.
2: Kuanzisha specifed helping centres for alcoholism only kwa wale walioathirika zaidi na ulevi.Ulevi ni ugonjwa kama magonjwa mengine ambapo inabidi muathirika apewe medical assistance pamoja na pschological treatment chini ya uangalizi ili kuacha kama ilivyo kwa watumiaji wa madawa kulevya kule sober house bagamoyo.
Mfamo: Japani kuna kuna hospitali inayoitwa Kurihama Alcolism centre ambayo inatumika kuwapa msaada waathirika wa pombe na hivyo kusaidia taifa hilo kwa kiwango cha hali ya juu sana katika maendeleo.
Naomba kwa hili tujifunze japani au USA.Na tumeona watu wengi maarufu wakipelekwa huko na kufanikiwa.Tanzania tuna pschologists wengi sana na madoctor wa akili.hivyo serikali ichukue jukumu hilo.
3: Kuziongeza na kuzipa nguvu NGOs ili kuelimisha umma kuhusu ulevi.serikali ishawishi wadau kuanzisha NGOs na kuzipa kipaumbele ili kutoa elimu katika jamii na hatimaye tupate jamii iliyo makini na mafanikio.
4: kuanzisha Forums na debate(mijadala) ya kitaifa kuhusu ulevi na kuipa jamii uwanja wakutoa maoni yao juu ya jambo hili.
5:Kuendesha kampeni dhidi ya ulevi kwa kutumia vyombo vya habari kama magazeti,Tv na Redio.Kwa kuwashirikisha wadau wa habari tutakuwa tumepiga hatua kubwa sana dhidi ya ulevi na kupunguza tatzo la uwajibikaji.
6:Kuongeza vyombo vya upimaji kilevi na sio tu kwa madereva pia hata ofisi kubwa za serikali kama bunge, askari pamoja na hospitali kubwa.mfano: madoctor wengi wanalewa hasa wakati wa upasuaji(operation)
Sheria pekee haitoshi kudhibiti suala la ulevi bali ukombozi wa kifikra ndani ya jamii.kuna baadhi ya watumishi hawafanyi kazi bila kunywa pombe (kulewa) kwa hiyo hata wafukuzwe au kupewa maonyo wanashindwa kujizuia kwani ulevi ni ugonjwa na unawasumbua sana.
mawazo yako pia muhimu ..mkuuuko vzr mkuu
wakiacha itakuwa vizuri lakini lengo ni kupunguza na uwajibikaji ili kuleta maendeleoSawa wataacha kunywa.
Na ni vema pombe isiwe chanzo kimojawapo kikuu cha ukusanyaji kodi. Litafutwe eneo lingine la kufidia.wakiacha itakuwa vizuri lakini lengo ni kupunguza na uwajibikaji ili kuleta maendeleo
Ni sawa kila mtu anapenda hivyo, ila ujue pombe na sigara ndio vitu vinakuza sana uchumi wa nchi, kuanzia kodi, mauzo ya malighafi kama sukari, shayir, ngano, mahindi, tumbaku nk. Pia ajira nyingi sana zimetengezwa kwa ajili ya pombe kuanzia breweries kwenyewe, wauzaj wa jumla mawakala mpaka ma bar maid na tender. Kwa hiyo generally pombe na sigara (hukuisema but i assume) ina athar kubwa sana kichumi kuliko unavyoweza kufikiri na dunia hii wameshindwa kuzuia.
Amin nakwambia wakisema wazuie leo hii Tanzania hata ww mleta mada source yako ya kipato itashake kidogo.