Mtoto Wabibi
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 451
- 294
Ni sawa kila mtu anapenda hivyo, ila ujue pombe na sigara ndio vitu vinakuza sana uchumi wa nchi, kuanzia kodi, mauzo ya malighafi kama sukari, shayir, ngano, mahindi, tumbaku nk. Pia ajira nyingi sana zimetengezwa kwa ajili ya pombe kuanzia breweries kwenyewe, wauzaj wa jumla mawakala mpaka ma bar maid na tender. Kwa hiyo generally pombe na sigara (hukuisema but i assume) ina athar kubwa sana kichumi kuliko unavyoweza kufikiri na dunia hii wameshindwa kuzuia.
Amin nakwambia wakisema wazuie leo hii Tanzania hata ww mleta mada source yako ya kipato itashake kidogo.
Acha watu wanywe pombee...wewe kama hunywii tuliaa. Umasikini wa nchi hii umeletwa na mafisadi, mikataba mibovu, ubinafsi wa viongozi, rushwa nk...na utakuta hao wanaofanya hayo wala hawaonji pombe. Yaan kwa ajili ya Kitwanga pombe ndo imeonekana kitu kibaya sana. Acha kukurupuka. Tuna matatizo mengi nchi hii badala ya kuyaongelea kwa kina watu km mleta mada wanaya dilute kwa kujenga hoja km hizi. HIVI SAKATA LA LUGUMI LIMEFIKIA WAPI?? .....save water drink beer....Asante mkuu kwa kutambua hilo.Lengo ni kudhibiti utumiaji wa hovyo wa hivyo vilevi lakini kama kureflesh siku moja moja ambapo utakuwa haupo bize na kazi ni sawa.pia tunaweza kuwa na vyanzo vingine vya mapato nje ya pombe.
Pombe inaadhiri akili moja kwa moja tofauti na sigara.angalia
familia zimetelekezwa kwa sababu ya pombe, uwajibikaji umeshuka,utu wa mtu unapotea,heshima,kupoteza kazi, madoctor wanauwa watu kwenye upasuaji sababu ya ulevi watu hawapo makini na kazi zao kwa sababu ya pombe.
why pombe? kwani hatuna vyanzo vingine?
Faida kwa mzalishaji(brewaries) na sio kwa jamii( kwa afya ya jamii) japo wanalipa kodi na kuajiri. yani muuza majeneza mtaji wake ni vifo vya binadamu.na anafurahi na kukukaribisha tena na kesho.
Acha watu wanywe pombee...wewe kama hunywii tuliaa. Umasikini wa nchi hii umeletwa na mafisadi, mikataba mibovu, ubinafsi wa viongozi, rushwa nk...na utakuta hao wanaofanya hayo wala hawaonji pombe. Yaan kwa ajili ya Kitwanga pombe ndo imeonekana kitu kibaya sana. Acha kukurupuka. Tuna matatizo mengi nchi hii badala ya kuyaongelea kwa kina watu km mleta mada wanaya dilute kwa kujenga hoja km hizi. HIVI SAKATA LA LUGUMI LIMEFIKIA WAPI?? .....save water drink beer....
Aisee kama unataka tusahau issue ya lugumi kwa kisingizio cha pombe....!!!!
Samahani mkuu kumbe Ni walewale.Ishu ya lugumi msikilize MM... hapa tunataka tuwapunguze akina amada na kuwajibika
funguka mkuuSamahani mkuu kumbe Ni walewale.
Hahahaaa....tunataka mkataba wa lugumi kwanza ndo tutaenda sawa... Madhara ya pombe yako wazi kiafya kijamii na kiuchumi na elimu inatolewa tangu mashulen, kwa waumini, taasisi mbalimbali na hata kupewa adhabu kwa kuvunja sheria mbalimbali . Labda useme wewe una NGO ambayo unaipigia debe. Onyo kwenye chupa na mabango ya matangazo na maonyo mengi tu...kama kuendesha ukiwa umelewa utasema hujapewa elimu kuwa don't drink and drive??? TINGIIISHAA KAMA IMEISHAAAAUnatumia kitwanga? naona unakuja na kasi ya kitwanga kujibu swali mjengoni
Hahahaaa....tunataka mkataba wa lugumi kwanza ndo tutaenda sawa... Madhara ya pombe yako wazi kiafya kijamii na kiuchumi na elimu inatolewa tangu mashulen, kwa waumini, taasisi mbalimbali na hata kupewa adhabu kwa kuvunja sheria mbalimbali . Labda useme wewe una NGO ambayo unaipigia debe. Onyo kwenye chupa na mabango ya matangazo na maonyo mengi tu...kama kuendesha ukiwa umelewa utasema hujapewa elimu kuwa don't drink and drive??? TINGIIISHAA KAMA IMEISHAAAA
Sawa mkuu nimekuelewaMkuu anaweza kusema yupo Wapi, na connection nchi nzima. Naweza nika mu assign ampe mtu, au atage jina nita download au kununua bookshop. Tusiwe watumwa wa pesa Aneth Joseph, hujui unaemsaidia akiwa na problem Mungu atakupa vingapi....
Wakati mwingine kufa kuumizana mark my words.
daah aisee,kweli duniani wawili wawili,na mimi nina tatizo kama lako!! em njoo hapa mikasa pub riverside tujadili namna ya kujinasuaKwenu wana jamvi nimejaribu kuacha tungi nimeshindwa hivyo nimekuja kwenu ninyi kama kuna mtu anafahamu chakufanya tafadhali anisaidie nimeshindwa kuacha kabisa<hapa nilipo natamani kwenda kugonga moko!