Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Jokes aside, wanasema ndizi mbivu ni dawa ya hangover. Sijui Kama unaongelea hangover ama kukata kilevi uanze upya.
 
Tulimpoteza rafiki kwa hii maneno ya kukata mji ya kutosha na kisha akachanganya na kunusa ugoro, mara jamaa akashuka na kuketi kama alie pumzika.
Kumbe ndipo roho ilikua ikigana na mwili
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
kunywa maji kila baada ya beer 3, usije ukajaribu kuchanganya redbull na pombe mkuu utakua unatafuta umauti, redbull na pombe ni mafuta na maji.

Redbull ni stimulant na wakat pombe ni depressant. Unaweza ukanywa nyingi zaidi ya uwezo wako na ukashindwa kutambua kwasbb redbull itakufanya ujione upo active while in reality umelewa to the point blood inaweza kuwa poisoned na pombe iliyozidi.
 
Salamu wakuu,

Katika mihangaiko yangu ya wiki au siku huwa napita seemu zetu kupata moja moto moja baridi,kunawakati hua najipanga kabisa ngoja leo nikapige za kutosha, lakini hua nikishapiga kadhaa,system ikifika equilibrum nakua siwezi ongeza tena,nikiongeza hata moja tu inakua ni kupoteza memory.

Kwa wazoefu wa ivi vitu,naomba kujua ni vitu gani hua vinasaidia kupunguza pombe kichwani na kukufanya urudi kua active ili uendeleze mtanange? Najua leo ni weekend hii mada itawagusa sana watu.

Nawasilisha
tapika ... anza na moja
 
kunywa maji kila baada ya beer 3, usije ukajaribu kuchanganya redbull na pombe mkuu utakua unatafuta umauti, redbull na pombe ni mafuta na maji.

Redbull ni stimulant na wakat pombe ni depressant. Unaweza ukanywa nyingi zaidi ya uwezo wako na ukashindwa kutambua kwasbb redbull itakufanya ujione upo active while in reality umelewa to the point blood inaweza kuwa poisoned na pombe iliyozidi.
kunywa maji kila baada ya beer 3, usije ukajaribu kuchanganya redbull na pombe mkuu utakua unatafuta umauti, redbull na pombe ni mafuta na maji.

Redbull ni stimulant na wakat pombe ni depressant. Unaweza ukanywa nyingi zaidi ya uwezo wako na ukashindwa kutambua kwasbb redbull itakufanya ujione upo active while in reality umelewa to the point blood inaweza kuwa poisoned na pombe iliyozidi.

poa mkuu,umeeleweka
 
Wakuu naomba ku share na nyinyi hii tabia nahitaji msaada for real.

Mimi ni kijana wa miaka 27, na tabia hii ambayo sio ya kuiificha. Weekend hii nilikuwa naona mnamsema Kitwanga lakini Kuna vitwanga wengi JF na mitaani. Kilevi/beer natumia kupita maelezo. Maisha yangu yamekuwa ya kula bata viunga vya jiji la marahaba. salary yote inaishia kwenye vyupa.

Nashindwa kuelewa tatizo ni nini, najaribu kuacha nashindwa. Nisipokunywa nakuwa very decent & smart young man. Lakin nikinywa tu nakuwa chakaramu.Mbaya zaidi imenifanya nisiwe serious kabisa hata kwenye issues ambazo ni very critical. Na offisini nimeanza ku underperform.

Nimekuwa mtu wa mawazo sana nisipokunywa. Kinachonishangaza ni kwamba mchana siwezi kugusa beer. Lakini ikifika saa tatu usiku shetani ananishawishi naondoka kwangu kuelekea viwanja vya mbali. Huko nitapiga kamnyeso mpaka kumi za usiku nikirudi hoi. Pombe ni source of all evils trust me people.Na mbaya zaidi inazeesha sana.

I wish to change, i wash to focus on life. I wish to have a beautiful family Lakin sijui nachomoka vipi. Naweza jizuia wiki Mbili lakini nikizipatia nafidia siku zote ambazo sijapata. This is not normal.

Maji haya ya Mzungu yamenikamata akili mpaka naona soon nitatumbuliwa jipu.I was handsome mpaka namaliza chuo. Nilikuwa nikitembea wasupaaaa (babies) wanani admire. But currently nipo very rough hata kesho sijui nitavaa nini kwenda officin.Sina savings, sina kiwanja, sina mchumba

Jina kubwa maendeleo zero.Nilikuwa na aminika Lakin sasa hivi hakuna anae ni trust including my family members.Nataka toroka kwenye hili pepo chafu. Kama Kuna sehemu ya maombi/tiba ya ki science ya uhakika please naombeni msaada. Na kama mpo young men wa type hii badilikeni kimea sio kitu kizuri.

Note. Hii excuse ya ku control it's not real. Pombe huwezi control, overtime itakuzidia tu.
 
Damn.....
Pole sana mkuu.
Mina pombeka ingawa sio kama wewe kiivyo aiseeee
Na kwa hii mida ulio weka hili bandiko kweli nashawishika kuamini kwamba tungi limekuharubu kabisa.
Maana mida hii ni usiku mnene ilipaswa uwe umelala fofofo lakini ona sasa usingizi umepata kwasababu ya stress
 
Back
Top Bottom