Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ulikua mshamba ba limbukeni.unahaki ya kuacha pombe kabisa maana ungeendelea ipo siku wangekufanya vibaya.unalewaje adi unajisahau ivyo???Pombe inatia hasara sana mkuu,mie nilikuwa natoka na laki moja na nikikutana na kampani yangu ndani ya masaa matatu kilo imeisha nilikuwa natembea na card mfukoni ilifikia mahala beer zikinoga nampa mtu kadi na password anaenda kuchukua pesa mie niko baa tunakula beer,kuna siku nilimuagiza Rafiki yangu akaenda akachota na yeye za kwake niliumia sana,kifupi tungi inahasara kubwa kuliko faida,nashukuru mungu alinisadia kupitia Rafiki yangu mmoja ambaye tulipokuwa tukitoka kazini ananigada na kunishawishi kwenda kucheza darts badala ya kwenda kwenye zile kampani za hatari mwisho wa siku nashukuru nilifanikiwa kuacha pombe.
Mkuu inamaana walikufanya vibaya ulevini??Mi niliacha kwa kujiuliza swali moja ambalo ni hili "je naweza kumpa matak.o yangu mwanaume mwenzangu ayachezee"nikajijibu big No hapo hapo ni conclude kama siwezi kuwa shoga basi sitaki tena Pombe.
Daa kama vile unataka kunipanikisha anyway jibu ni hapana nilimanisha msimamo wangu wa kugoma kuendelea kunywa pombe unafanana na msimamo wangu wa siku moja mimi kuwa shoga.Mkuu inamaana walikufanya vibaya ulevini??
Tulikuwa Airport tunasubiri ndege,kuna jamaa pembeni yetu alikuwa anavuta sana fegi(chain smoker),jamaa yangu akawa anakerwa sana na lile jambo la uvutaji,akamsogelea yule bwana na kuanza kumsihi sigara ni mbaya kwa afya pia kama asingekuwa mvutaji angeweza kumiliki ndege kama hiyo tunayotaka kupanda.
Kwa dharaau yule jamaa(mvutaji) huku anapuliza moshi juu akamjuza yule ndugu yangu kwamba ndege tuipandayo ni mali yake.(full stop)
Mazoezi yanakata hamu ya pombe aisee. Mimi shahidi, kuna bia nymbani kwangu kwenye friji mwezi wala sina mpango nazo.
Mwenye masikio na asikie.Ni Kazi kubwa sana Binadamu kubadili tabia,
Ulevi ni tabia ya mtu na Ulevi una hasara nyingi tukubali au Tukatae.
Mfano.
kama unakunywa Bia Tatu kila siku weekends unakunywa tano ina maana unakunywa Bia 25 kwa wiki, Na nyie wa maofisini mnaknywaga windhock na Heineken that means ni Tshs. 3000 kwa bia.
Kwea mwezi ni 100 Beers at minimum kwa mfano hii 300,000 kila mwezi ungekua unanunua hisa za CRDB leo ungekua na hisa ngapi?
Ni mambo mangapi umefanya kwaajili ya ulevi yakakusabishia hasara?
Ukiajiangalia kwenye kioo huoni adhari za pombe usoni mwako?
Ni dini ipi inarhusu ulevi?
Muda unaotumia kulewa ungekua unasoma vitabu leo IQ yako ingekuwa tofauti kabisa!!!
Ni mara ngapi pombe imekupeleka kwenye mchepuko.
Ni mara ngapi unatoka Mbezi unaenda kunywa Tabata? hiyo gharama ya usafiri unaipigiaga mahesabu.
Hatua ya kwanza kuacha kunywa ni kuyawaza hayo hapo juu na mengine, ukishachukua hatua sasa naacha au napumzika jiwekee malengo.
Anza mazoezi, jioni unapotoka kibaruani fanya jogging! uchoshe mwili, ukienda kuangalia mpira bar agiza chupa yako kubwa ya maji ya kilimanjaro, au coka na maji mdodo mdogo unazoea.
Hali ni ngumu wazee, tupunguze matumizi yasiyo ya lazima
Nauza viwanja Chanika majumba sita...homboza...hatua 20 kwa 20 ni 3.5milion..nichek kama unahitaji..0756761698
Mkuu eb tuweke waz kidogo au walishawai kukutest ukiwa umebwia vyupa nini[emoji23][emoji23]
sawa mimi nilikuwa mshamba kwa hiyo wewe ujanja wako wooote unawaza kufirwa tu basi,blood cameron.Wewe ulikua mshamba ba limbukeni.unahaki ya kuacha pombe kabisa maana ungeendelea ipo siku wangekufanya vibaya.unalewaje adi unajisahau ivyo???