Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Maji tena? Yanahusikaje?
Kuna mwanamke alikuwa anapigwa kila siku na mme wake, na kipigo haswa mpaka kwenda kujitibu majeraha hospital.

Dr akawa kila wakati anamtibu na mama kila wakati alikuwa anamwambia sababu yote ni pombe.

Mara ya tatu Dr akamwambia sintakupa dawa yoyote ila ukifika nyumbani andaa maji yaweke karibu yako.
Mme wako akigonga mlango tu piga fundo moja la maji na usimeze yawe mdomoni tu
Na kila wakati fanya hivyo kwa wiki moja halafu uje kuniona


Baada ya wiki alikwenda kumuona Dr akiwa mzima wa afya na hajapigwa wiki nzima
Alipouliza kulikoni sijapigwa wiki nzima
Dr akamwambia una mdomo mrefu na MAJI ndio tiba yako
Hapo vipi umeelewa HEKMA ya Dr?
 
Kuna mwanamke alikuwa anapigwa kila siku na mme wake, na kipigo haswa mpaka kwenda kujitibu majeraha hospital.

Dr akawa kila wakati anamtibu na mama kila wakati alikuwa anamwambia sababu yote ni pombe.

Mara ya tatu Dr akamwambia sintakupa dawa yoyote ila ukifika nyumbani andaa maji yaweke karibu yako.
Mme wako akigonga mlango tu piga fundo moja la maji na usimeze yawe mdomoni tu
Na kila wakati fanya hivyo kwa wiki moja halafu uje kuniona


Baada ya wiki alikwenda kumuona Dr akiwa mzima wa afya na hajapigwa wiki nzima
Alipouliza kulikoni sijapigwa wiki nzima
Dr akamwambia una mdomo mrefu na MAJI ndio tiba yako
Hapo vipi umeelewa HEKMA ya Dr?
Kidomodomo
 
Kuna mwanamke alikuwa anapigwa kila siku na mme wake, na kipigo haswa mpaka kwenda kujitibu majeraha hospital.

Dr akawa kila wakati anamtibu na mama kila wakati alikuwa anamwambia sababu yote ni pombe.

Mara ya tatu Dr akamwambia sintakupa dawa yoyote ila ukifika nyumbani andaa maji yaweke karibu yako.
Mme wako akigonga mlango tu piga fundo moja la maji na usimeze yawe mdomoni tu
Na kila wakati fanya hivyo kwa wiki moja halafu uje kuniona


Baada ya wiki alikwenda kumuona Dr akiwa mzima wa afya na hajapigwa wiki nzima
Alipouliza kulikoni sijapigwa wiki nzima
Dr akamwambia una mdomo mrefu na MAJI ndio tiba yako
Hapo vipi umeelewa HEKMA ya Dr?

Nimeelewa kwa ufasaha, asante
 
Poleni kwa miangaiko ya wiki na pilika za hapa na pale!

Naombeni msaada tiba ya kumwachisha mtu kunywa pombe.

Hili tatizo la ulevi analo Baba mzazi ambapo akilewa tu , Mama anakosa amani kwa sababu anakuwa anapigwa tu, pasipo na sababu za msingi .

Lakini asipo kunywa pombe anakuwa ni mtu mwenye busara tu. Hivi karibuni amekuwa akilewa mfululizo kiasi ambacho vurugu nyumbani haziishi.

Kwa hyo kutokana na hili tatizo linapelekea Mama kukosa amani pale nyumbani, mpaka ndugu wa mama wamekuja juu kutaka kumwondoa dada yao pale nyumbani!

Nilishasikia tiba ya kumwachisha mtu pombe ni kumchanyia mkojo wake mwenyewe kwenye pombe!
Hili bado sijalifanyia kazi kwa kukosa ushuhuda thabiti kwa watu waliojaribu au kutibiwa!

Naomba mwenye kufahamu tiba yeyote ile au mwenye ushuhuda kwa hiyo tiba ya kumwekea mkojo wake kwenye pombe! Atakuwa amenipatia mw1angaza mzuri!
Mkuu, Ukiamua unaacha kitu chochote. Inabidi uamue/ kufanya mabadiliko mwenyewe, Ni uamuzi wako. Kitu kidogo na kirahisi sana. Lakini kwa watu wengine ni baada kupoteza kila kitu ndio wanafanya maamuzi.
 
Tafuta tongotongo za digidigi mchanganyie kwenye pombe.Nakuhakikishia kuwa kama akinywa hata choo alichotumia mtu aliyekunywa pombe hataweza kukitumia jinsi atakavyoichukia pombe.
 
Aisee huyo angekuwa baba yetu tungemchangia tumpe kipondoo cha haja akalazwe hospital miez sitaaa nahis na pombe ataacha akirudia tunampa tena kipondooo akianza tu kumpiga mazaa lazima tuchangieee tumpige kisawasawaaa.

Aisee ngoja wajuvi wajee watusaidiee mbinu.
Mnaweza kupiga mkaua. Murder case iyo. Maombi tuu, ataacha
 
Yap tunampa tu makondee ya hajaaa yan familia yetu ukifanya kosaa kubwa unawekwa mtu kati unapigwaa kama mwiziii unapelekwa hospital alafu wanakuacha ukirudia habar ile ileee so hatunaga matukio ya ajabu ni mbinu aliyotupa babu yetu so heshima ipo kwenye mstari.
Mshana jr jiandae kipondo cha haja ki karibu ..!!!
 
Tiba ya kwanza ni kujikana nafsi kwa kuacha baada ya kuona madahara ya kiafya na kiuchumi
Tiba ya pili ni kumfanya kuwa bussy mpaka muda wa kulala
Tiba ya tatu ni kuangalia hobbies zake kama ni mpenzi wa mpira, movie, miziki mwekee DSTV awe busy kufuatilia ligi na michezo zinazoendelea
Tiba ya nne ni kumweka mbali na company, marafiki,maswaiba ambao ni walevi, watamshawishi mpaka akanywe bure hata kama hana ela
Tiba ya tano, msafirisheni kwenda nje ya mkoa ambaka atakuwa mgeni na kukutana na sura geni
Tiba ya sita ni kuokoka kama ni mkristo, aache uovu na kumrudia Mungu
Tiba ya saba ni kumpa kwa undani madhara yanatokana na unywaji wa pombe kwa kumwonyesha kwa mifano ya watu, video, n.k
Tiba ya nane ni kumwombea kwa Mungu pamoja na kutekeleza yote ya hapo juu
 
Poleni kwa miangaiko ya wiki na pilika za hapa na pale!

Naombeni msaada tiba ya kumwachisha mtu kunywa pombe.

Hili tatizo la ulevi analo Baba mzazi ambapo akilewa tu , Mama anakosa amani kwa sababu anakuwa anapigwa tu, pasipo na sababu za msingi .

Lakini asipo kunywa pombe anakuwa ni mtu mwenye busara tu. Hivi karibuni amekuwa akilewa mfululizo kiasi ambacho vurugu nyumbani haziishi.

Kwa hyo kutokana na hili tatizo linapelekea Mama kukosa amani pale nyumbani, mpaka ndugu wa mama wamekuja juu kutaka kumwondoa dada yao pale nyumbani!

Nilishasikia tiba ya kumwachisha mtu pombe ni kumchanyia mkojo wake mwenyewe kwenye pombe!
Hili bado sijalifanyia kazi kwa kukosa ushuhuda thabiti kwa watu waliojaribu au kutibiwa!

Naomba mwenye kufahamu tiba yeyote ile au mwenye ushuhuda kwa hiyo tiba ya kumwekea mkojo wake kwenye pombe! Atakuwa amenipatia mwangaza mzuri!
Aisee..kumbe ni wengi hupitia haya
 
Back
Top Bottom