Young fadson
JF-Expert Member
- Nov 6, 2017
- 1,177
- 1,406
Nina kampuni yangu(Co ownership) ambayo officially imesajiliwa BRELA, kwakuwa kampuni bado changa nami pia bado ni underdog ktk mifumo ya uendeshaji wa kampuni na namna bora ya kufuata ili kupata tenda ktk taasisi binafsi hata zile za serikali,
Naomba walau npate elimu kutoka kwa wajuvi wa mambo.
Naomba walau npate elimu kutoka kwa wajuvi wa mambo.