raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Kuna mashirika hayakupi zabuni kama ww huna vatNiongezee swali
Je waweza pata tenda bila kua VAT / VRN registered
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mashirika hayakupi zabuni kama ww huna vatNiongezee swali
Je waweza pata tenda bila kua VAT / VRN registered
Yashanikuta mkuu[emoji4]😀😀😀 kuna baadhi ya ofisi unadai mpaka unachanganikiwa
kuna mahala nimefanya kazi miezi mitano natembelea rim 😅😅swali zuri sana hili
ilibidi uli bold kabisa
😅 🤣 🤣 🤣 🤣 🙌kuna mahala nimefanya kazi miezi mitano natembelea rim 😅😅
naishi kama shetani 😃😃😅 🤣 🤣 🤣 🤣 🙌
😅 😬 Pole sana mzeenaishi kama shetani 😃😃
kuna kupoa basi mzee, ni mwendo wa kufunga tu simu, kukimbia madeni.. unawasha simu kwa machale 🤣🤣🤣😅 😬 Pole sana mzee
Muhimu ni kutokufanya nao kazi tuYashanikuta mkuu[emoji4]
Unapata na huwa wanapata; iwapo kama sio moja ya sifa katika uchambuziNiongezee swali
Je waweza pata tenda bila kua VAT / VRN registered
Kunufaika ni kuongeza 0 kila mahalaFanya yote ila achana kabisa na tenda za serikali, Vingenevyo nawe uwe fisadi au mtu wa serikali au una namna flani unafaidika na mifumo ya serikali.
Ahaa ok!Unapata na huwa wanapata; iwapo kama sio moja ya sifa katika uchambuzi
Nafuatlia huu mdahalo kwa ukaribu ndugu, elimu ya familia hii hupatikana pasipo itoaji adaHakika kwa majibu mliyompa bila shaka makaratasi ya usajili wa hiyo kampuni yake kashafungia vitumbua vya mama Kidawa.
🤣🤣🤣 Pole aisee, jambo hili ni pasua kichwakuna kupoa basi mzee, ni mwendo wa kufunga tu simu, kukimbia madeni.. unawasha simu kwa machale 🤣🤣🤣
Kuna ndugu yangu alipataga tenda kwenye taasisi moja ya serikali hadi leo hawajamlipa tangu mwaka 2014 anawadai 20+MMtaji unao? Unaweza kuvumilia miezi 6 au zaidi bila kulipwa?
We acha tuSerikalini?unatak afe masikini akisubiri malipo
Usipokuwa makini unafilisikaKuna ndugu yangu alipataga tenda kwenye taasisi moja ya serikali hadi leo hawajamlipa tangu mwaka 2014 anawadai 20+M
Unaweza nijibu mimi...mimi nina kampuni nilisajili ili nifanye shughuli binafsMkuu samahani.ila.nitakuuliza swali muhimu sana ili niweze kukupa ABC za namna ya kuendesha kampuni. Ukiona inafaa utanijibu.
Kwanini mmesajili kampuni?
Majibu ya hili swali yataniambia nikushauri nini Mkuu.
Karibu.