nature boy
Senior Member
- Dec 22, 2012
- 127
- 126
Unaweza nijibu mimi...mimi nina kampuni nilisajili ili nifanye shughuli binafsMkuu samahani.ila.nitakuuliza swali muhimu sana ili niweze kukupa ABC za namna ya kuendesha kampuni. Ukiona inafaa utanijibu.
Kwanini mmesajili kampuni?
Majibu ya hili swali yataniambia nikushauri nini Mkuu.
Karibu.