Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
😀😀😀 kuna baadhi ya ofisi unadai mpaka unachanganikiwaswali zuri sana hili
ilibidi uli bold kabisa
🙏🙏 nmepata mwanga, hii itasaidia hata wadau wengine wenye mawazo chanyaKwanza nikukatishe tamaa kabisa. Kama huna refa wa serikalini ambaye atakuwa anakupa kazi jiandae kisaikilojia. Hukatizi.
Hata hivyo maadam unalilia wembe ngoja nikupe.
1. Brela unayo.
2. Pata TIN
3. Pata leseni ya kuuza fenicha
Google taneps, anza kujisajili. Utapata usajili huo. Hapo zitakuja tenda kubwa kubwa za fanicha ambazo masharti yake huyawezi. Maana huna mtaji, huna VAT.
Subiri kwenye email yako iko siku utaona GPSA wametoa tenda za kujisajili kuwa wasambazaji wa vitu mbalimbali. Hapa kila mkoa una tenda yake. Kama leseni yako ni ya Dodoma lazima uchague tenda ya fanicha ya Dodoma. Utajaza watakusajili. Hapo utapata tenda ndogondogo za mkoa huo tuuuuu. Ndio utaratibu wao. Hata kiti kimoja itakuja.
Hapo utasubiria machungu. Ukitenda ukifungua utakuta mko 50 mliopeleka tenda na wewe ni wa bei yako ni ya 40.
Pambana kijana.
Changamoto mhimu sana hiiMtaji unao? Unaweza kuvumilia miezi 6 au zaidi bila kulipwa?
We nenda tu taasisi yoyote, waambie uko tayari kuvumilia miaka 2 bila malipo; utapata kazi haraka sanaChangamoto mhimu sana hii
Uvumilivu ulisha ni shinda, kuna nyuzi nyingi nazitembeleaga za maana ila nakuta patupu![emoji1787][emoji1787][emoji1787] maisha kuvumiliana ndugu
TANEPS ni OTB kila mtu anaona na anayeshinda anajulikana hadharaniKwanza nikukatishe tamaa kabisa. Kama huna refa wa serikalini ambaye atakuwa anakupa kazi jiandae kisaikilojia. Hukatizi.
Hata hivyo maadam unalilia wembe ngoja nikupe.
1. Brela unayo.
2. Pata TIN
3. Pata leseni ya kuuza fenicha
Google taneps, anza kujisajili. Utapata usajili huo. Hapo zitakuja tenda kubwa kubwa za fanicha ambazo masharti yake huyawezi. Maana huna mtaji, huna VAT.
Subiri kwenye email yako iko siku utaona GPSA wametoa tenda za kujisajili kuwa wasambazaji wa vitu mbalimbali. Hapa kila mkoa una tenda yake. Kama leseni yako ni ya Dodoma lazima uchague tenda ya fanicha ya Dodoma. Utajaza watakusajili. Hapo utapata tenda ndogondogo za mkoa huo tuuuuu. Ndio utaratibu wao. Hata kiti kimoja itakuja.
Hapo utasubiria machungu. Ukitenda ukifungua utakuta mko 50 mliopeleka tenda na wewe ni wa bei yako ni ya 40.
Pambana kijana.
[emoji115][emoji115][emoji115]Nijibuni na hii[emoji115][emoji115]Niongezee swali
Je waweza pata tenda bila kua VAT / VRN registered
Uvumilivu ulisha ni shinda, kuna nyuzi nyingi nazitembeleaga za maana ila nakuta patupu!
Huwezi sababu lazima upeleke risiti ya efd hata kama ni vat exNiongezee swali
Je waweza pata tenda bila kua VAT / VRN registered
Wana utaratibu wa hatari! Kwa mchujo huo inabidi uwe na mtu ndaniKwanza nikukatishe tamaa kabisa. Kama huna refa wa serikalini ambaye atakuwa anakupa kazi jiandae kisaikilojia. Hukatizi.
Hata hivyo maadam unalilia wembe ngoja nikupe.
1. Brela unayo.
2. Pata TIN
3. Pata leseni ya kuuza fenicha
Google taneps, anza kujisajili. Utapata usajili huo. Hapo zitakuja tenda kubwa kubwa za fanicha ambazo masharti yake huyawezi. Maana huna mtaji, huna VAT.
Subiri kwenye email yako iko siku utaona GPSA wametoa tenda za kujisajili kuwa wasambazaji wa vitu mbalimbali. Hapa kila mkoa una tenda yake. Kama leseni yako ni ya Dodoma lazima uchague tenda ya fanicha ya Dodoma. Utajaza watakusajili. Hapo utapata tenda ndogondogo za mkoa huo tuuuuu. Ndio utaratibu wao. Hata kiti kimoja itakuja.
Hapo utasubiria machungu. Ukitenda ukifungua utakuta mko 50 mliopeleka tenda na wewe ni wa bei yako ni ya 40.
Pambana kijana.
Tuna enda enda tu[emoji848][emoji1787]Hahahaha kizazi kisicho na vision, viongozi hawana historia nzuri ya kuweza kutupeleka popote, tunajipambania kwa jasho sana, safari ni ndefu sana na bahati mbaya hata urefu halisi wa safari yetu hatuujui
Sawa! Yaani nakua na mashine ya EFD ila ya biashara ndogo ambayo haijaingia kwenye VAT!!?Huwezi sababu lazima upeleke risiti ya efd hata kama ni vat ex
Kwamba ukifanya kazi na Serikali lazima uwe na VRN vinginevyo ngumu kupewa kaziSawa! Yaani nakua na mashine ya EFD ila ya biashara ndogo ambayo haijaingia kwenye VAT!!?
Duh! Hapo ndio kwenye mtihani! Na ukisha ingia kwenye VRN lazima uwe Mwizi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwamba ukifanya kazi na Serikali lazima uwe na VRN vinginevyo ngumu kupewa kazi
Miez 6 mbona michache,Mtaji unao? Unaweza kuvumilia miezi 6 au zaidi bila kulipwa?
Tenda za serikali Ni biashara kichaa kwelikweli.Serikalini?unatak afe masikini akisubiri malipo
Hii inawafanya watu wengi wafilisikeMiez 6 mbona michache,
Unaweza kaa Zaid ya miaka 3 ujalipwa na unatakiwa uendelee kutoa huduma Kama masharti ya mkataba yanavyosema.
Kama mtajinwake mdg au ndo anaanza afanye TU kudunduliza na raia maskini kwa cash kuliko kujitia kitanzi na jamuhuri[emoji4]Zabuni zile zinazolipwa kwa wakati ndio zinagombaniwa; ila zile za kusubiri miezi 6, mwaka na miaka zipo nyingi sana na hazina washindani; ni wewe tu uwe na uwezo wa kuvumilia njaa kwa kipindi hicho.